Skip to main content

MIKATABA MIWILI YA MRADI WA UKARABATI WA BARABARA YA KOROGWE-MKUMBARA-SAME YASAINIWA LEO JIJINI DAR


 
Baadhi wa wakandarasi kutoka kampuni ya ya Strabag International Gmbh ya Ujerumani wakisubiri kuweka saini mkataba wa ukarabati wa barabara ya kutoka Korogwe- Mkumbara- Same katika hafla iliyofanyika Makao Makuu ya ofisi za Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS ) jijini Dar es Salaam Jan,26.2012. (Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO).
Mtendaji Mkuu wa TANROADS Mhandisi Patrick Mfugale (kushoto) akitoa taarifa ya mradi wa ukarabati wa barabara ya Korogwe- Mkumbara- Same (km 172) jijini Dar es salaam katika hafla ya uwekaji saini Jan,26,2012, (Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO).
Mtendaji Mkuu wa TANROADS Mhandisi Patrick Mfugale (kushoto) akiwekeana saini mkataba wa ukarabatiwa barabara ya Korogwe- Mkumbara- Same pamoja na Mkandarasi kutoka kampuni ya Strabag International GmbH ya Ujerumani Meneja Biashara kwa Afrika Mashariki Bw Karl Henz Schneder, (kulia) leo jijini Dar es Salaam, Hafla hiyo pia imeshudiwa na Waziri wa Ujenzi Dkt, John Magufuli (katikati alievaa miwani) akifuatiwa na Makamu Mwenyekiti Kamati ya Miundombinu ambae pia na Mbunge wa Same Mashariki Anne Kilango Malecela, pamoja na watendaji wa ngazi za juu wa Wizara ya Ujenzi na wadau wa sekta hiyo,Ukarabati huo wa km 172 utagharimu zaidi ya shilingi bilioni 128 za kitanzania, ambapo kampuni hii itakarabati kipande kutoka Korogwe- Mkumbara (76 km) na kugharimu zipatazo shilingi bilioni 63 Hafla hiyo imefanyika Jan, 26,2012( Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO).
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara (TANROADS) Mhandisi Patrick Mfugale (kushoto) pamoja na Mkandarasi kutoka ya DOTT Services Ltd kutoka Uganda ambae ni Meneja Mkuu Bw.G,Prudhvi Raj wakiwekeana saini mkataba wa ukarabati wa ujenzi wa barabara ya Korogwe- Mkumbara- Same leo jijini Dar es Salaam, Mradi huo utagharimu zaidi ya shilingi 12 bilioni. ambapo kampuni hii itakarabati kapande cha Mkumbara- Same (96 km) kwa gharama ya zaidi ya shilingi bilioni 65 za kitanzania,(Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO).
Mtendaji Mkuu wa TANROADS Mhandisi Patrick Mfugale (kushoto) akibadilishana hati na Mkandarasi , kutoka kampuni ya Strabag International GmbH ya Ujerumani ambae ni Meneja Biashara kwa Afika Mashariki Bw, Karl Henz Schneder leo jijini Dar es salaam baada ya kusaini mkataba wa ukarabati wa barabara ya Korogwe- Mkumbara- Same ya km 172 ambayo itagharimu zaidi ya shilingi bilioni 12 za kitanzania. Lakini kampuni ya Strabag itakarabati eneo la Korogwe- Mkumbara (km76) na itagharimi shilingi 62,866,110,284. Hafla hii imefanyika leo,Jan 26. 2012,(Picha na Mwanakombo Jumaa-Maelezo).
Mtendaji Mkuu wa TANROADS Mhandisi Patrick Mfugale (kushoto) wakibadilishana hati ya mkataba baada ya kusaini na Mkandarasi kutok a kampuni ya DOTT Services Ltd kutoka Uganda ambae ni Meneja Mkuu kwajili ya kukarabati Mkumbara- Same (96km) utakaogharimu shilingi 65,129,670,563,82 za kitanzania, leo jijini Dar es Salaam-Picha na Mwanakombo Jumaa-MALEZO.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...