Skip to main content

MIKATABA MIWILI YA MRADI WA UKARABATI WA BARABARA YA KOROGWE-MKUMBARA-SAME YASAINIWA LEO JIJINI DAR


 
Baadhi wa wakandarasi kutoka kampuni ya ya Strabag International Gmbh ya Ujerumani wakisubiri kuweka saini mkataba wa ukarabati wa barabara ya kutoka Korogwe- Mkumbara- Same katika hafla iliyofanyika Makao Makuu ya ofisi za Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS ) jijini Dar es Salaam Jan,26.2012. (Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO).
Mtendaji Mkuu wa TANROADS Mhandisi Patrick Mfugale (kushoto) akitoa taarifa ya mradi wa ukarabati wa barabara ya Korogwe- Mkumbara- Same (km 172) jijini Dar es salaam katika hafla ya uwekaji saini Jan,26,2012, (Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO).
Mtendaji Mkuu wa TANROADS Mhandisi Patrick Mfugale (kushoto) akiwekeana saini mkataba wa ukarabatiwa barabara ya Korogwe- Mkumbara- Same pamoja na Mkandarasi kutoka kampuni ya Strabag International GmbH ya Ujerumani Meneja Biashara kwa Afrika Mashariki Bw Karl Henz Schneder, (kulia) leo jijini Dar es Salaam, Hafla hiyo pia imeshudiwa na Waziri wa Ujenzi Dkt, John Magufuli (katikati alievaa miwani) akifuatiwa na Makamu Mwenyekiti Kamati ya Miundombinu ambae pia na Mbunge wa Same Mashariki Anne Kilango Malecela, pamoja na watendaji wa ngazi za juu wa Wizara ya Ujenzi na wadau wa sekta hiyo,Ukarabati huo wa km 172 utagharimu zaidi ya shilingi bilioni 128 za kitanzania, ambapo kampuni hii itakarabati kipande kutoka Korogwe- Mkumbara (76 km) na kugharimu zipatazo shilingi bilioni 63 Hafla hiyo imefanyika Jan, 26,2012( Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO).
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara (TANROADS) Mhandisi Patrick Mfugale (kushoto) pamoja na Mkandarasi kutoka ya DOTT Services Ltd kutoka Uganda ambae ni Meneja Mkuu Bw.G,Prudhvi Raj wakiwekeana saini mkataba wa ukarabati wa ujenzi wa barabara ya Korogwe- Mkumbara- Same leo jijini Dar es Salaam, Mradi huo utagharimu zaidi ya shilingi 12 bilioni. ambapo kampuni hii itakarabati kapande cha Mkumbara- Same (96 km) kwa gharama ya zaidi ya shilingi bilioni 65 za kitanzania,(Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO).
Mtendaji Mkuu wa TANROADS Mhandisi Patrick Mfugale (kushoto) akibadilishana hati na Mkandarasi , kutoka kampuni ya Strabag International GmbH ya Ujerumani ambae ni Meneja Biashara kwa Afika Mashariki Bw, Karl Henz Schneder leo jijini Dar es salaam baada ya kusaini mkataba wa ukarabati wa barabara ya Korogwe- Mkumbara- Same ya km 172 ambayo itagharimu zaidi ya shilingi bilioni 12 za kitanzania. Lakini kampuni ya Strabag itakarabati eneo la Korogwe- Mkumbara (km76) na itagharimi shilingi 62,866,110,284. Hafla hii imefanyika leo,Jan 26. 2012,(Picha na Mwanakombo Jumaa-Maelezo).
Mtendaji Mkuu wa TANROADS Mhandisi Patrick Mfugale (kushoto) wakibadilishana hati ya mkataba baada ya kusaini na Mkandarasi kutok a kampuni ya DOTT Services Ltd kutoka Uganda ambae ni Meneja Mkuu kwajili ya kukarabati Mkumbara- Same (96km) utakaogharimu shilingi 65,129,670,563,82 za kitanzania, leo jijini Dar es Salaam-Picha na Mwanakombo Jumaa-MALEZO.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.