Baadhi
wa wakandarasi kutoka kampuni ya ya Strabag International Gmbh ya
Ujerumani wakisubiri kuweka saini mkataba wa ukarabati wa barabara ya
kutoka Korogwe- Mkumbara- Same katika hafla iliyofanyika Makao Makuu ya
ofisi za Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS ) jijini Dar es Salaam
Jan,26.2012. (Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO).
Mtendaji
Mkuu wa TANROADS Mhandisi Patrick Mfugale (kushoto) akitoa taarifa ya
mradi wa ukarabati wa barabara ya Korogwe- Mkumbara- Same (km 172)
jijini Dar es salaam katika hafla ya uwekaji saini Jan,26,2012, (Picha
na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO).
Mtendaji
Mkuu wa TANROADS Mhandisi Patrick Mfugale (kushoto) wakibadilishana
hati ya mkataba baada ya kusaini na Mkandarasi kutok a kampuni ya DOTT
Services Ltd kutoka Uganda ambae ni Meneja Mkuu kwajili ya kukarabati
Mkumbara- Same (96km) utakaogharimu shilingi 65,129,670,563,82 za
kitanzania, leo jijini Dar es Salaam-Picha na Mwanakombo Jumaa-MALEZO.

Comments