Skip to main content

CUF WAZINDUA KAMPENI UZINI ZANZIBAR (JANA)



 Maafisa wa jeshi la polisi wakijiandaa kutoa ulinzi kwenye mkutano

 Magari ya viongozi wa CUF
 Muda mfupi kabla ya mkutano
 Akina mama wakitumbuiza na kucheza mduara kabla ya mkutano kuanza

 Bwana Salum Bimani, mkurugenzi wa haki za binadamu CUF akiwasili jukwaani

 Naibu katibu mkuu Zanzibar na muwakilishi wa Mjimkongwe Mh.Ismail Jussa Ladhu ndiye alikuwa mgeni rasmi wakati wa mkutano wa kuzindua kampeni
Baadhi ya wananchi wakiwa kwenye mkutano wa CUF jana Kiboje jimbo la Uzini
Na mdau wa Mjengwablog,Zanzibar

Comments