Machalii
wa Arusha Ndugu pacha na Jambo squad wanaofahamika zaidi kama
MAALMANDO,wanakuja na pini brand new la "RAKATA" ikiwa ni genre ya
kwaito-mdundix ikiwa ni brand new style mojawapo wanayokuja nayo
wasanii hawa wenye maskani yao pande za Arachuga mtaa wa cheka na
mecca!Ngoma tumerekodi kwa Defxtro a.k.a DX pande za noizmekah.com
juu ya beat la producer Mosco wa PYG Majengo apa apa pande za
ARA,Maalmando tunawaahidi fans wetu mwendelezo mnene katika muziki huu
mwaka 2012 na mpango mzima ni hela so tuendeleze hasoling kusakanya
dinari arif...ooooooH .Hari hii kwa Inatoka Pro24.
Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Comments