Skip to main content

kafulila atiwa mbaroni kigoma




Anthony Kayanda, Kigoma
POLISI mkoani Kigoma wamelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya mamia ya wafuasi wa chama cha NCCR Mageuzi waliokuwa kwenye mkutano ambao ulipaswa kuhutubiwa na mbunge Kigoma Kusini, David Kafulila.

Habari zilizolifikia gazeti hili zimeeleza kuwa tukio hilo lilitokea juzi katika Kijiji cha Kazuramimba ambako Kafulila alikuwa amejiandaa kufanya mkutano wa hadhara na tayari alikuwa ameanza kuhutubia akiwa kwenye gari na madiwani wawili wa chama hicho cha upinzani.

Kafulila aliliambia gazeti hili jana kuwa polisi hao walizuia mkutano wake na kumkamata kwa mahojiano yaliyodumu kwa takriban dakika 30, kwa madai kwamba mkutano wake haukufuata taratibu za kuomba na kupata kibali.

Kafulila ambaye yuko mkoani Kigoma kwa ziara ya kichama, alisema alipofika kijijini hapo alipata taarifa kwamba polisi wa kituo kidogo kilichopo eneo hilo waliwazuia viongozi wa NCCR Mageuzi kufanya maandalizi ya mkutano huo.

Alisema baada ya kusikia uamuzi huo, alilazimisha wafanye mkutano kwa vile yeye ni mbunge halali wa jimbo hilo la Kigoma Kusini na anapaswa kuzungumza na wananchi kuelezea utendaji wake wa kazi kwa kipindi cha mwaka mmoja uliopita.

“Polisi wamenizuia kufanya mkutano wangu na wametumia nguvu kubwa kututawanya kwa madai kwamba wametumwa na Mkuu wa Polisi wa Wilaya ya Kigoma (OCD), Japhet Kibona eti sisi hatujatimiza masharti..., na pia hatujaomba kibali cha kufanya mkutano. Sasa mimi kama mbunge wa jimbo nazuiliwa kwa nini?," alihoji Kafulila na kuendelea:

"Inawezekana huyu OCD ananihujumu na tayari nimewaeleza wakuu wake wa kazi kuanzia IGP, Said Mwema na Waziri wa Mambo ya ndani, Shamsi Vuai Nahodha ili wajue hujuma ninayofanyiwa na huyu OCD wa Kigoma,"alisisitiza Kafulila..soma zaidi www.mwananchi.co.tz

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.