Skip to main content

Watuhumiwa wote kasoro mmoja EPA wapewa dhamana


NI mtuhumiwa mmoja tu ambaye amesalia mahabusu kati ya watuhumiwa 20 walioshtakiwa katika kashfa ya wizi wa fedha za Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA), baada ya Farijala Hussein kutimiza masharti na kuachiwa huru jana.
NI mtuhumiwa mmoja tu ambaye amesalia mahabusu kati ya watuhumiwa 20 walioshtakiwa katika kashfa ya wizi wa fedha za Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA), katika Benki Kuu (BoT) baada ya Farijala Hussein kutimiza masharti na kuachiwa huru jana.
Masharti yaliyokuwa yakimzuia kutoka mahabusu ni pamoja na kuwasilisha hati ya mali yenye thamani ya Sh500 milioni. Kutoka kwake sasa kunamfanya kaimu katibu wa BoT, Imani Mwakosya kusalia pekee mahabusu.
Mwakosya anaendelea kusota rumande kutokana na kushindwa kutimiza masharti ya dhamana ambayo ni pamoja na kutoa fedha taslimu Sh104milioni.
Katika kesi hiyo, Maranda na mwenzake wanadaiwa kuiba zaidi ya Sh2.2 bilioni baada ya kughushi na kuwasilisha hati ya uongo katika Benki ya Biashara na kujipatia kiasi hicho cha fedha toka BoT.
Watuhumiwa hao wanadaiwa kuwa Septemba 8 mwaka 2005 waliwasilisha hati ya uongo kutoka Kampuni ya B Gracery and Co. Ltd ya Ujerumani na kampuni ya Money baada ya kuonyesha kampuni hizo zilikuwa zimesajiliwa na kwamba wao ndiyo walikuwa wakurugenzi.
Katika hatua nyingine kwa mara nyingine kesi ya wizi wa mabilioni ya fedha EPA inayomkabili mfanyabiashara na kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rajabu Maranda na mwenzake Farijala Hussein, jana haikuweza kusikilizwa.
Kesi hiyo namba 1163, ambayo ilikuwa isikilizwe katika hatua ya awali (Preliminary Hearing-PH) mbele ya Hakimu Anyimilile Mwaseba, jana pia haikuweza kusikilizwa baada ya wakili wa washtakiwa hao, Mark Anthony kushindwa kufika mahakamani na hivyo Hakimu Hezron Mwankenja kuiahirisha.
Hiyo ni mara ya pili kwa Wakili Anthony kushindwa kufika mahakamani hapo kwa ajili ya kesi hiyo baada juzi pia kushindwa kufika kutokana na kile kilichoelezwa baadaye na Maranda, ambaye ni mshtakiwa wa kwanza katika kesi hiyo, kuwa wakili huyo alikuwa na kesi nyingine Mahakama Kuu.
Kutokana na hali hiyo, kesi hiyo iliahirishwa hadi Januari 21 mwakani itakapoendelea tena mahakamani hapo.
Katika hatua nyingine, kesi nyingine namba 1172 inayowakabili ndugu wawili, Jay Somani na Ajay Somani, jana iliahirishwa hadi Januari 13 itakapokuja tena mahakamani hapo kwa ajili ya kutajwa kwa kuwa upelelezi bado haujakamilika.Chanzo ni Gazeti la Mwananchi.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.