Skip to main content

Watuhumiwa wote kasoro mmoja EPA wapewa dhamana


NI mtuhumiwa mmoja tu ambaye amesalia mahabusu kati ya watuhumiwa 20 walioshtakiwa katika kashfa ya wizi wa fedha za Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA), baada ya Farijala Hussein kutimiza masharti na kuachiwa huru jana.
NI mtuhumiwa mmoja tu ambaye amesalia mahabusu kati ya watuhumiwa 20 walioshtakiwa katika kashfa ya wizi wa fedha za Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA), katika Benki Kuu (BoT) baada ya Farijala Hussein kutimiza masharti na kuachiwa huru jana.
Masharti yaliyokuwa yakimzuia kutoka mahabusu ni pamoja na kuwasilisha hati ya mali yenye thamani ya Sh500 milioni. Kutoka kwake sasa kunamfanya kaimu katibu wa BoT, Imani Mwakosya kusalia pekee mahabusu.
Mwakosya anaendelea kusota rumande kutokana na kushindwa kutimiza masharti ya dhamana ambayo ni pamoja na kutoa fedha taslimu Sh104milioni.
Katika kesi hiyo, Maranda na mwenzake wanadaiwa kuiba zaidi ya Sh2.2 bilioni baada ya kughushi na kuwasilisha hati ya uongo katika Benki ya Biashara na kujipatia kiasi hicho cha fedha toka BoT.
Watuhumiwa hao wanadaiwa kuwa Septemba 8 mwaka 2005 waliwasilisha hati ya uongo kutoka Kampuni ya B Gracery and Co. Ltd ya Ujerumani na kampuni ya Money baada ya kuonyesha kampuni hizo zilikuwa zimesajiliwa na kwamba wao ndiyo walikuwa wakurugenzi.
Katika hatua nyingine kwa mara nyingine kesi ya wizi wa mabilioni ya fedha EPA inayomkabili mfanyabiashara na kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rajabu Maranda na mwenzake Farijala Hussein, jana haikuweza kusikilizwa.
Kesi hiyo namba 1163, ambayo ilikuwa isikilizwe katika hatua ya awali (Preliminary Hearing-PH) mbele ya Hakimu Anyimilile Mwaseba, jana pia haikuweza kusikilizwa baada ya wakili wa washtakiwa hao, Mark Anthony kushindwa kufika mahakamani na hivyo Hakimu Hezron Mwankenja kuiahirisha.
Hiyo ni mara ya pili kwa Wakili Anthony kushindwa kufika mahakamani hapo kwa ajili ya kesi hiyo baada juzi pia kushindwa kufika kutokana na kile kilichoelezwa baadaye na Maranda, ambaye ni mshtakiwa wa kwanza katika kesi hiyo, kuwa wakili huyo alikuwa na kesi nyingine Mahakama Kuu.
Kutokana na hali hiyo, kesi hiyo iliahirishwa hadi Januari 21 mwakani itakapoendelea tena mahakamani hapo.
Katika hatua nyingine, kesi nyingine namba 1172 inayowakabili ndugu wawili, Jay Somani na Ajay Somani, jana iliahirishwa hadi Januari 13 itakapokuja tena mahakamani hapo kwa ajili ya kutajwa kwa kuwa upelelezi bado haujakamilika.Chanzo ni Gazeti la Mwananchi.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...