Skip to main content

BASATA NA SHINDANO LA MISS UTALII


WADAU WAIPONGEZA BASATA KURATIBU MATUKIO YA SANAA
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limepongezwa na wadau wa Sanaa kwa juhudi zake katika kusimamia na kuratibu matukio mbalimbali ya Sanaa hapa nchini na kuyafanya kudumu.
Pongezi hizo zimetolewa wiki hii na wadau wa Sanaa wakati wakichangia mjadala uliohusu miaka mitano ya shindano la miss utalii na sanaa ya urembo nchini kwenye Jukwaa la Sanaa linalofanyika kwenye Ukumbi wa BASATA uliopo Ilala, Sharif Shamba.

Akizungumza wakati akieleza historia za shindano hilo, Rais wa Miss Utalii, Gideon Chipungahelo alisema kuwa, BASATA imekuwa bega kwa bega na shindano hilo katika kuhakikisha miongozo na kanuni mbalimbali za kuendesha mashindano zinafuatwa na kusisitiza kuwa, hiyo ndiyo sababu ya shindano hilo kuweza kupata baadhi ya mafanikio ya ndani na nje ya nchi.

“Naishukuru Serikali na BASATA, kila mara wamekuwa wakitoa maelekezo na miongozo ambayo imelifanya shindano hili kufikia mafanikio haya ingawa kumekuwa na changamoto kadhaa hasa za kukosa wadhamini” alisistiza Chipungahelo.

Aliongeza kuwa, BASATA imekuwa mara kwa mara ikikutana na kamati ya miss utalii na kuipa maelekezo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kufanya tathimini na wadau wa sanaa ya urembo ambao wamekuwa wakitoa michango ya kuliboresha shindano hilo.

Awali wadau wa Jukwaa la Sanaa walipata wasanii wa kutoa maoni na ushauri kuhusu shindano la miss utalii ambapo walitoa changamoto kadhaa na kushauri jinsi ya kuzitatua na kulifanya shindano hilo lizidi kusonga mbele

“Shindano hili ni zuri na ni kiungo kizuri cha kukuza utalii kama waandaaji watalisimamia vizuri, ni vema kuwa na kamati maalum ya uendeshaji inayowajibika na wadhamini waone umuhimu wa kulifadhili shindano hili” alishauri Mzee Mwali Ibrahim ambaye ni mwandishi wa habari za uchumi wa gazeti la Majira.
Aliishauri kamati ya miss utalii kuliunganisha shindano hilo na maendeleo ya sekta ya sanaa nchini.
Rais wa Shindano la Miss Utalii, Gideon Chipungahelo (Katikati) akiongea na wadau wa Sanaa kuhusu miaka mitano ya shindano hilo kwenye Jukwaa la Sanaa linalofanyika kila wiki makao makuu ya BASATA. Kulia ni Mkurugenzi wa Utawala na Fedha wa Miss Utalii Aboubakar Omar na Mkuu wa Kitengo cha Matukio wa BASATA, Omary Mayanga

Mkurugenzi wa Mipango na Maendeleo wa Miss Utalii, Vikas Gupta akielezea mipango mipya ya shindano la miss utalii kwenye Jukwaa la Sanaa wiki hii.Kulia kwake ni Bw. Aboubakar na Chipungahelo.

Mkurugenzi wa Matukio, BASATA, Omary Mayanga akitoa ufafanuz wa masuala mbalimbali yaliyojitokeza kwenye Jukwaa la Sanaa wiki hii.

Mzee Mwali Ibrahim ambaye ni mwandishi wa habari za uchumi na utalii wa Business Times akieleza umuhimu wa shindano la Miss Utalii

Wadau wa Sanaa wakifuatilia majadiliano kuhusu miaka mitano ya shindano la Miss Utalii. Kwa hisani ya mdau Jane John.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...