Skip to main content

Wasanii watakiwa kuzijua Sheria za Filamu na Michezo ya Kuigiza


Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania, Joyce Fissoo akionesha Sheria namba 4 ya mwaka 1976 ya Utengenezaji wa Filamu na Michezo ya Kuigiza kwa waandishi wa habari ambao hawapo pichani wakati akitoa ufafanuzi wa kuhusu sheria hyo kwa vyombo vya vya habari leo jijini Dares Salaam.
Benjamin Sawe
Maelezo
Dar es Salaam
Wasanii wa Filamu na Michezo ya Kuigiza wameshauriwa kuzisoma nyaraka mbalimbali za Bodi ya Filamu ili wajue sheria na kanuni zinazohusu tasnia ya hiyo.
Hayo yamesemwa leo jijini Dar es Salaam na Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu nchini Joyce Fissoo alipokuwa akitoa ufafanuzi juu ya Sheria namba 4 ya Utengenezaji wa Filamu na Michezo ya Kuigiza ya mwaka 1976.
Akifafanua juu ya sheria hiyo, Bi Fissoo alisema ndiyo inayoendelea kutumika mpaka sasa na kukanusha tuhuma zilizosambazwa na baadhi ya vyombo vya habari kuwa ya uwepo wa matumizi ya sheria mpya.
“Hakuna Sheria mpya ya Filamu na Michezo ya Kuigiza iliyotungwa, Sheria inayoendelea kutumika ni ile ya mwaka 1976 bali kilichofanyika ni utekelezaji wa kanuni za sheria ya filamu na michezo ya kuigiza ambapo mchakato wake ulianza mwaka 2011.
Akizungumzia juu ya malalamiko ya baadhi ya wasanii kushindwa kuhimili kulipa ada ya Sh. 500,000(laki tano) Bi. Fissoo alisema kifungu cha 8 cha sheria hiyo kinampa Waziri mwenye dhamana husika kutoa msamaha wa malipo kwa msanii mchanga atakayeshindwa kulipa kiasi cha fedha hizo.
“Ada wanayolipa wasanii ya Sh.500, 000 (laki tano) ipo toka siku za nyuma ambapo Sheria namba 4 ya Filamu na Michezo ya kuigiza inampa mamlaka Waziri husika kutoa msamaha kwa msanii mchanga atakayeshindwa kulipa ada hiyo”.alifafanua.
Alisema kwamba msamaha wa ada ya sh. 500,000 utatatolewa pale tu msanii atakapotoa taarifa kwa Waziri husika na mara baada ya kujiridhisha ndipo msamaha utatolewa na kutangazwa kwenye gazeti la Serikali.
Amewashauri wasanii wa Filamu kuwa Wazalendo kwa kutengeneza filamu zenye maadili ya Mtanzania na si kutengeneza Filamu zenye maudhui ya kimagharibi.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...