Skip to main content

MZEE KIPARA AMEFARIKI DUNIA


Fundi sudi maarufu kama Mzee Kipara amefariki Kigogo kwenye nyumba ambayo alikuwa amepangishiwa na kundi la sanaa ambalo alikuwa anafanyia kazi la Kaole. Kwa taarifa ambazo tumezipata sasa hivi kutoka kwa mtu ambaye yupo nyumbani kwa mzee Kipara, kwa sasa wanauandaa mwili wake kwenda kuupeleka Hospitali ya mwananyamala kuuhifadhi. Mazishi yake yanatarajiwa kufanyika kesho, kwa taarifa zaidi tutawaletea hapo baadae.Kwa hisani ya Full Shwangwe.

Comments