Skip to main content

Wasiolipa Ada Kutofanya Mitihani Ya Chuo Kikuu Cha Taifa Cha Zanzibar (SUZA)



Wanafunzi wa Chuo Kikuu ch Taifa Zanzibar SUZA, wakiwa nje ya Ofisi ya Mhasibu wa Chuo wakisubiri hatma yao, kuweza kufanya mitihani yao inayotarajiwa kufanyika wiki ijayo. 
Kiongozi wa Serekali ya Wanafunzi akimuunesha orodha ya Wanafunzi ambao majina yao yanasubiri malipo yao kutoka Bodi ya Mkopo ya Elimu ya Juu .

Na Mwanajuma Mmanga
UONGOZI wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimezuwiya kufanya mitihani kwa wanafunzi wote ambao hawajakamilisha ada za masomo hali ambayo imepelekea mgongano na mizozo baina ya wanafunzi na uongozi wa chuo hicho.

Kauli hiyo imetolewa na wanafunzi wa chuo hicho walipokuwa katika maandamano ya kudai haki yao kufanya mitihani hiyo.

Mmoja miongoni mwa wanafunzi wa chuo hicho Ali Kombo alisema wiki moja baadae tunatarajia kufanya mitihani hiyo ghafla wanapokea taarifa ya kuwa kila mwanafunzi hajakamilisha malipo ya ada hatomruhusu kufanya mtihani jambo ambalo ni kinyume na matakwa yao.

Pia alisema kuna baadhi ya wanafunzi wanalipiwa na bodi ya mikopo la taifa lakini mpaka sasa hawajaingiziwa fedha hizo hali ambayo inarejesha nyuma masomo yao.

"Sisi baadhi yetu tushalipiwa na bodi kwa asilimia 90 na kumebaki asilimia 10 tu kwanini wakatuzuilia kutofanya mitihani hiyo. hii fedha kama asilimia 80 ishalipiwa na bodi wakati hela hiyo inakuja moja kwa moja inaingia kwenye akaunti" alisema.

Kwa upande wa Rais wa Serikali ya wanafunzi wa chuo hicho Ali Sharifu Kombo, alisema kuwa yeye binafsi kwa kushirikiana na uongozi wa serikali yake wameshafuatilia kwenye bodi ya mikopo Tanzania na kuhakikishiwa kuwa fedha hizo tayari wameshaingiziwa.

Makamu Mkuu wa chuo hicho Profesa Idrisa Rai alisema fedha za wanafunzi hao bado hazijaingizwa nao kama uongozi wanalalamikia kudai ada za masomo ya wanafunzi kwa lengo la maendeleo ya chuoni hapo.

Sambamba na hilo Nae Kaimu Meneja wa Bodi ya Mikopo Tanzania, Patric Show alisema fedha za wanafunzi hao tayari zimeshaingiziwa katika akaunti zao na hivyo inawezekana ikawa ni kuchelewa kwa mawasiliano baina ya bodi na Uongozi wa chuo hicho.

Meneja huyo wa bodi hiyo alisema mchakato mzima uliosababisha kuchelewa kwa kufika barua hiyo katika bodi ya mikopo Dar es Salaam kwa muhusika mkuu ni Sajent wa bodi, lakini kumbe kabla ya hapo Mhasibu wa chuo hicho, Rukia tayari ameshaingiziwa tokea jana.

Kutokana na kuchelewa kwa kupelekwa kwa barua hiyo tayari zimeshaingizwa ndani ya akaunti zao kwa kila mwanafunzi ambae yuko chuoni hapo.

Meneja huyo amekiri kuwa fedha hizo tayari zimeshaingizwa ndani ya akaunti hizo jumla ya shilingi milioni 13, kwa orodha ya wanafunzi 58 wa chuo SUZA.

Hivyo amewataka wanafunzi hao kuwa wastahamilivu katika kuvuta subra na kuwa wasikivu kwani mipango yote ishakaa sawa na kila mmoja atapata haki yake na atafanya mtihani huo.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...