Skip to main content

Wasiolipa Ada Kutofanya Mitihani Ya Chuo Kikuu Cha Taifa Cha Zanzibar (SUZA)



Wanafunzi wa Chuo Kikuu ch Taifa Zanzibar SUZA, wakiwa nje ya Ofisi ya Mhasibu wa Chuo wakisubiri hatma yao, kuweza kufanya mitihani yao inayotarajiwa kufanyika wiki ijayo. 
Kiongozi wa Serekali ya Wanafunzi akimuunesha orodha ya Wanafunzi ambao majina yao yanasubiri malipo yao kutoka Bodi ya Mkopo ya Elimu ya Juu .

Na Mwanajuma Mmanga
UONGOZI wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimezuwiya kufanya mitihani kwa wanafunzi wote ambao hawajakamilisha ada za masomo hali ambayo imepelekea mgongano na mizozo baina ya wanafunzi na uongozi wa chuo hicho.

Kauli hiyo imetolewa na wanafunzi wa chuo hicho walipokuwa katika maandamano ya kudai haki yao kufanya mitihani hiyo.

Mmoja miongoni mwa wanafunzi wa chuo hicho Ali Kombo alisema wiki moja baadae tunatarajia kufanya mitihani hiyo ghafla wanapokea taarifa ya kuwa kila mwanafunzi hajakamilisha malipo ya ada hatomruhusu kufanya mtihani jambo ambalo ni kinyume na matakwa yao.

Pia alisema kuna baadhi ya wanafunzi wanalipiwa na bodi ya mikopo la taifa lakini mpaka sasa hawajaingiziwa fedha hizo hali ambayo inarejesha nyuma masomo yao.

"Sisi baadhi yetu tushalipiwa na bodi kwa asilimia 90 na kumebaki asilimia 10 tu kwanini wakatuzuilia kutofanya mitihani hiyo. hii fedha kama asilimia 80 ishalipiwa na bodi wakati hela hiyo inakuja moja kwa moja inaingia kwenye akaunti" alisema.

Kwa upande wa Rais wa Serikali ya wanafunzi wa chuo hicho Ali Sharifu Kombo, alisema kuwa yeye binafsi kwa kushirikiana na uongozi wa serikali yake wameshafuatilia kwenye bodi ya mikopo Tanzania na kuhakikishiwa kuwa fedha hizo tayari wameshaingiziwa.

Makamu Mkuu wa chuo hicho Profesa Idrisa Rai alisema fedha za wanafunzi hao bado hazijaingizwa nao kama uongozi wanalalamikia kudai ada za masomo ya wanafunzi kwa lengo la maendeleo ya chuoni hapo.

Sambamba na hilo Nae Kaimu Meneja wa Bodi ya Mikopo Tanzania, Patric Show alisema fedha za wanafunzi hao tayari zimeshaingiziwa katika akaunti zao na hivyo inawezekana ikawa ni kuchelewa kwa mawasiliano baina ya bodi na Uongozi wa chuo hicho.

Meneja huyo wa bodi hiyo alisema mchakato mzima uliosababisha kuchelewa kwa kufika barua hiyo katika bodi ya mikopo Dar es Salaam kwa muhusika mkuu ni Sajent wa bodi, lakini kumbe kabla ya hapo Mhasibu wa chuo hicho, Rukia tayari ameshaingiziwa tokea jana.

Kutokana na kuchelewa kwa kupelekwa kwa barua hiyo tayari zimeshaingizwa ndani ya akaunti zao kwa kila mwanafunzi ambae yuko chuoni hapo.

Meneja huyo amekiri kuwa fedha hizo tayari zimeshaingizwa ndani ya akaunti hizo jumla ya shilingi milioni 13, kwa orodha ya wanafunzi 58 wa chuo SUZA.

Hivyo amewataka wanafunzi hao kuwa wastahamilivu katika kuvuta subra na kuwa wasikivu kwani mipango yote ishakaa sawa na kila mmoja atapata haki yake na atafanya mtihani huo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. SÅ‚awomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...