Skip to main content

OPARESHENI KAMATA MAHARAMIA WA KAZI ZA WASANII YAANZA KWA MAFANIKIO


Wasanii  na wadau wengine waingia Mtaani na kukamata Dvd Feki kibao Maharamia wapatikana jirani kabisa na Maduka yanayouza kazi halali, Naibu Waziri Makala asikitishwa na wizi huo wa kazi za wasanii hapa nchini .. wimbi la wizi wa kazi za wasanii wa filamu  limeshamili zaidi na kukua kila kukicha Kampuni ya Steps Entertainment kwa kushirikiana na wadau wa filamu kuendesha msako kwa maharamia wanaojinufaisha kwa kazi za wasanii bila idhini ya wenye mali, mwizi wa kwanza alikamatwa siku ya Jumanne asubuhi baada ya mtego uliowekwa kumnasa Haramia mkubwa maeneo ya Kariakoo.asubuhi katika maeneo ya mtaa wa Magila na Likoma HaramiaBaadi ya wasanii walisikika wakisema “Hawajui shida tunazopata huko location kila siku tunagombana na
wasambazaji wakidai filamu zetu haziuzi lakini mtaani tunaziona kwa wingi, tunaumiza vichwa kumbe mwizi mwenyewe yupo jirani hata hatua kumi hazifiki, ninaumia sana maisha ninayoishi kwa kufanya kazi ngumu kisha kuna wanyonyaji wanakula bila kutoka jasho, watu kama hawa ni kuwafunga maisha,”Aidha nae  Rais wa Shirikisho la filamu ameeleza kuwa kampeni za kamatakama zimeanza baada ya kupewa idhini na Mh. Amos Makala Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Michezo na Vijana.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.