Skip to main content

OPARESHENI KAMATA MAHARAMIA WA KAZI ZA WASANII YAANZA KWA MAFANIKIO


Wasanii  na wadau wengine waingia Mtaani na kukamata Dvd Feki kibao Maharamia wapatikana jirani kabisa na Maduka yanayouza kazi halali, Naibu Waziri Makala asikitishwa na wizi huo wa kazi za wasanii hapa nchini .. wimbi la wizi wa kazi za wasanii wa filamu  limeshamili zaidi na kukua kila kukicha Kampuni ya Steps Entertainment kwa kushirikiana na wadau wa filamu kuendesha msako kwa maharamia wanaojinufaisha kwa kazi za wasanii bila idhini ya wenye mali, mwizi wa kwanza alikamatwa siku ya Jumanne asubuhi baada ya mtego uliowekwa kumnasa Haramia mkubwa maeneo ya Kariakoo.asubuhi katika maeneo ya mtaa wa Magila na Likoma HaramiaBaadi ya wasanii walisikika wakisema “Hawajui shida tunazopata huko location kila siku tunagombana na
wasambazaji wakidai filamu zetu haziuzi lakini mtaani tunaziona kwa wingi, tunaumiza vichwa kumbe mwizi mwenyewe yupo jirani hata hatua kumi hazifiki, ninaumia sana maisha ninayoishi kwa kufanya kazi ngumu kisha kuna wanyonyaji wanakula bila kutoka jasho, watu kama hawa ni kuwafunga maisha,”Aidha nae  Rais wa Shirikisho la filamu ameeleza kuwa kampeni za kamatakama zimeanza baada ya kupewa idhini na Mh. Amos Makala Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Michezo na Vijana.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...