Skip to main content

Hotuba ya Balozi Seif kufunga mkutano wa nane wa Baraza la wawakilishi

HOTUBA YA MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR, MHE. BALOZI
SEIF ALI IDDI KATIKA UFUNGAJI WA MKUTANO WA NANE WA BARAZA LA NANE LA WAWAKILISHI, ZANZIBAR TAREHE 10 AGOSTI, 2012

MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi 
Seif Ali Iddi, akisoma hutuba ya kufunga Kikao
 cha Bajeti kwa mwaka 2012/2013 bada ya kupitisha 
Bajeti za Wizara za Serekali ya Mapinduzi Zanzibar.
1.Mheshimiwa Spika, awali ya yote napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujaalia uzima, afya njema na kutujaalia amani na utulivu katika Taifa letu. 

Naomba pia nikushukuru wewe binafsi Mheshimiwa Spika, kwa busara zako za kuweza kuliendesha Baraza lako Tukufu kwa umakini na mafanikio makubwa. 

Pia nawashukuru na kuwapongeza Naibu Spika na Wenyeviti wote kwa namna wanavyokusaidia

Mheshimiwa Spika katika kuliongoza Baraza hili. Vile vile, nawashukuru Wenyeviti na Wajumbe wa Kamati mbali mbali za kudumu kwa kazi zao nzuri wanazozifanya katika kufuatilia utekelezaji wa Taasisi mbali mbali za Serikali na kufanikisha mkutano huu.

2. Mheshimiwa Spika, Mkutano huu wa Nane wa Baraza la nane umekuwa wa kihistoria katika nchi yetu kutokana na mashirikiano makubwa ya Viongozi na Wajumbe wa Baraza na Watendaji wa Taasisi za Serikali. Nawashukuru wote na naomba tuendelee na mashirikiano haya mazuri.

3. Mheshimiwa Spika, kwa namna ya kipekee napenda kuchukua fursa hii kumshukuru Rais wetu mpendwa Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kwa uongozi wake wa busara, hekima na unaozingatia maslahi ya wananchi. Ni dhahiri kuwa bidii za Rais Shein zinaendelea kuzaa matunda ya maendeleo katika sekta za kiuchumi, kisiasa na kijamii.

4. Mheshimiwa Spika, vile vile niwapongeze Waheshimiwa Mawaziri kwa kuwasilisha bajeti zao vizuri na kuweza kujibu hoja mbali mbali zilizojitokeza kwa umahiri na uelewa mkubwa.

5. Mheshimiwa Spika, napenda pia niwashukuru Waheshimiwa Wawakilishi wenzangu wa Baraza lako Tukufu kwa kujadili, kudadisi na hatimae kupitisha bajeti za mapato na matumizi ya Wizara zetu. Naelewa kwamba hoja zao mbali mbali walizoziibua zilikuwa na mwelekeo mzuri na nia njema ya kuisaidia Serikali yetu ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...