Skip to main content

Hotuba ya Balozi Seif kufunga mkutano wa nane wa Baraza la wawakilishi

HOTUBA YA MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR, MHE. BALOZI
SEIF ALI IDDI KATIKA UFUNGAJI WA MKUTANO WA NANE WA BARAZA LA NANE LA WAWAKILISHI, ZANZIBAR TAREHE 10 AGOSTI, 2012

MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi 
Seif Ali Iddi, akisoma hutuba ya kufunga Kikao
 cha Bajeti kwa mwaka 2012/2013 bada ya kupitisha 
Bajeti za Wizara za Serekali ya Mapinduzi Zanzibar.
1.Mheshimiwa Spika, awali ya yote napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujaalia uzima, afya njema na kutujaalia amani na utulivu katika Taifa letu. 

Naomba pia nikushukuru wewe binafsi Mheshimiwa Spika, kwa busara zako za kuweza kuliendesha Baraza lako Tukufu kwa umakini na mafanikio makubwa. 

Pia nawashukuru na kuwapongeza Naibu Spika na Wenyeviti wote kwa namna wanavyokusaidia

Mheshimiwa Spika katika kuliongoza Baraza hili. Vile vile, nawashukuru Wenyeviti na Wajumbe wa Kamati mbali mbali za kudumu kwa kazi zao nzuri wanazozifanya katika kufuatilia utekelezaji wa Taasisi mbali mbali za Serikali na kufanikisha mkutano huu.

2. Mheshimiwa Spika, Mkutano huu wa Nane wa Baraza la nane umekuwa wa kihistoria katika nchi yetu kutokana na mashirikiano makubwa ya Viongozi na Wajumbe wa Baraza na Watendaji wa Taasisi za Serikali. Nawashukuru wote na naomba tuendelee na mashirikiano haya mazuri.

3. Mheshimiwa Spika, kwa namna ya kipekee napenda kuchukua fursa hii kumshukuru Rais wetu mpendwa Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kwa uongozi wake wa busara, hekima na unaozingatia maslahi ya wananchi. Ni dhahiri kuwa bidii za Rais Shein zinaendelea kuzaa matunda ya maendeleo katika sekta za kiuchumi, kisiasa na kijamii.

4. Mheshimiwa Spika, vile vile niwapongeze Waheshimiwa Mawaziri kwa kuwasilisha bajeti zao vizuri na kuweza kujibu hoja mbali mbali zilizojitokeza kwa umahiri na uelewa mkubwa.

5. Mheshimiwa Spika, napenda pia niwashukuru Waheshimiwa Wawakilishi wenzangu wa Baraza lako Tukufu kwa kujadili, kudadisi na hatimae kupitisha bajeti za mapato na matumizi ya Wizara zetu. Naelewa kwamba hoja zao mbali mbali walizoziibua zilikuwa na mwelekeo mzuri na nia njema ya kuisaidia Serikali yetu ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.