Skip to main content

SIMBA, YANGA, AZAM ZAFANYIANA UMAFIA, MSIMBAZI WAMSAJILI REDONDO KWA MIL 30/-

Klabu za Simba, Yanga na Azam sasa zimeamua kufanyiana vurugu kwa kuchukuliana wachezaji bila kufuata na kuheshimu taratibu za usajili.


Vurugu hizo zilianza jana baada ya kuwepo na taarifa kwamba, Simba imeamua kumsajili kiungo Ramadhani Chombo Redondo kutoka Azam wakati mchezaji huyo bado ana mkataba na klabu yake.


Habari kutoka ndani ya Simba zimeeleza kuwa, wameamua kumsajili Redondo baada ya mchezaji huyo kuwaeleza kuwa, mkataba wake na Azam umemalizika.

Redondo, ambaye aliondoka Simba takribani miaka 3 iliyopita, amesaini Simba kwa ada ya millioni 30. Kiungo huyo amepewa shilingi millioni 20, na millioni 10 zilizobaki atamaliziwa baadae.

Hata hivyo, kiongozi mmoja wa Azam amesema leo kuwa, mkataba wa Redondo kuichezea Azam unatarajiwa kumalizika Juni mwakani, hivyo Simba imecheza pata potea kumsajili mchezaji huyo.

Wakati Simba ikimsajili Redondo, watani wao wa jadi Yanga walibisha hodi katika Jiji la Kampala nchini Uganda wakisaka saini ya mshambuliaji Emmanuel Okwi wa wekundu hao wa Msimbazi.

Okwi alirejea Uganda wiki iliyopita akitokea Austria alikokwenda kufanya majaribio ya kucheza soka ya kulipwa na imeelezwa kwamba ameshafuzu majaribio hayo.

Mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Uganda alirejea kwao kwa ajili ya kupatiwa matibabu ya ugonjwa wa malaria alioupata Austria.

Habari za uhakika kutoka Yanga zimeeleza kuwa, mjumbe wake wa kamati ya utendaji, Abdala bin Kleb ndiye aliyetumwa nchini humo kushughulikia usajili wa Okwi.

Yanga imeamua kumuwinda Okwi baada ya kuzidiwa kete na Simba katika usajili wa beki Mbuyi Twite kutoka APR ya Rwanda. Yanga imesema lazima ilipe kisasi Simba kwa kumnyakua Okwi.

Mbali na Yanga, kuna habari pia kuwa, Azam nayo imetinga mjini Kampala, lengo lao kuu likiwa ni kumuwinda Okwi baada ya kupata taarifa kwamba, Simba imemsajili Redondo.

Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. SÅ‚awomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...