Skip to main content

SIMBA, YANGA, AZAM ZAFANYIANA UMAFIA, MSIMBAZI WAMSAJILI REDONDO KWA MIL 30/-

Klabu za Simba, Yanga na Azam sasa zimeamua kufanyiana vurugu kwa kuchukuliana wachezaji bila kufuata na kuheshimu taratibu za usajili.


Vurugu hizo zilianza jana baada ya kuwepo na taarifa kwamba, Simba imeamua kumsajili kiungo Ramadhani Chombo Redondo kutoka Azam wakati mchezaji huyo bado ana mkataba na klabu yake.


Habari kutoka ndani ya Simba zimeeleza kuwa, wameamua kumsajili Redondo baada ya mchezaji huyo kuwaeleza kuwa, mkataba wake na Azam umemalizika.

Redondo, ambaye aliondoka Simba takribani miaka 3 iliyopita, amesaini Simba kwa ada ya millioni 30. Kiungo huyo amepewa shilingi millioni 20, na millioni 10 zilizobaki atamaliziwa baadae.

Hata hivyo, kiongozi mmoja wa Azam amesema leo kuwa, mkataba wa Redondo kuichezea Azam unatarajiwa kumalizika Juni mwakani, hivyo Simba imecheza pata potea kumsajili mchezaji huyo.

Wakati Simba ikimsajili Redondo, watani wao wa jadi Yanga walibisha hodi katika Jiji la Kampala nchini Uganda wakisaka saini ya mshambuliaji Emmanuel Okwi wa wekundu hao wa Msimbazi.

Okwi alirejea Uganda wiki iliyopita akitokea Austria alikokwenda kufanya majaribio ya kucheza soka ya kulipwa na imeelezwa kwamba ameshafuzu majaribio hayo.

Mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Uganda alirejea kwao kwa ajili ya kupatiwa matibabu ya ugonjwa wa malaria alioupata Austria.

Habari za uhakika kutoka Yanga zimeeleza kuwa, mjumbe wake wa kamati ya utendaji, Abdala bin Kleb ndiye aliyetumwa nchini humo kushughulikia usajili wa Okwi.

Yanga imeamua kumuwinda Okwi baada ya kuzidiwa kete na Simba katika usajili wa beki Mbuyi Twite kutoka APR ya Rwanda. Yanga imesema lazima ilipe kisasi Simba kwa kumnyakua Okwi.

Mbali na Yanga, kuna habari pia kuwa, Azam nayo imetinga mjini Kampala, lengo lao kuu likiwa ni kumuwinda Okwi baada ya kupata taarifa kwamba, Simba imemsajili Redondo.

Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.