Skip to main content

Full Mtifuano Ndauka na Mchumba wake Wasome Hapa

 

 

Shakoor Jongo na Musa Mateja
Staa wa filamu Bongo, Rose Ndauka hivi karibuni amedaiwa kutwangana makonde na mchumba wake aitwaye Maliki Bandawe, chanzo kikidaiwa ni safarisafari za Rose,Risasi Jumamosi limenyetishiwa
Mtoa habari wetu ambaye alishuhudia mtiti huo alisema, tukio la wawili hao ‘kuzibuana’ lilitokea katika baa moja iliyopo pande za Manzese jijini Dar.
Alisema, akiwa maeneo hayo alimuona Rose akishuka kwenye gari kisha kuingia kwenye baa hiyo na kuungana na wenzake ambapo haikufahamika kama walikuwa na kikao au walikuwa ‘wakila bata’ zao tu.
“Baada ya Rose kuingia pale, wakati wanaendelea kupata moja baridi, moja moto ghafla akaingia jamaa mmoja (Malick) na kumfuata Rose ambapo tuliona wakirushiana maneno kabla ya timbwili la aina yake kutokea.
“Yule jamaa alimpiga Rose kwa maelezo kuwa, alimuaga anakwenda kwa ndugu zake Sinza lakini cha ajabu akamuona maeneo hayo, lilitokea varangati, walichapana vibao hadi watu wakawaamulia,” alisema mtoa habari huyo.
Katika kupata ukweli zaidi wa tukio hilo, waandishi wetu walimsaka Malick bila mafanikio lakini Rose alipopatikana alikiri mtiti huo kutokea na kusema aliyempiga ni mchumba wake na ugomvi ni sehemu ya mapenzi.
“Ni kweli tukio hilo lilitokea lakini kaa ukijua kuwa, wivu na ugomvi ni sehemu ya mapenzi, msipogombana wala kuoneana wivu basi hamna mapenzi ya dhati,” alisema Rose.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.