Skip to main content

Gazeti la NIPASHE: Magufuli amtega Meya wa Arusha hoja ya Lema



Hoja ya kukiondoa kituo kikuu cha mabasi katikati ya jiji ambayo ilitumiwa na aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (Chadema) kujinadi katika kampeni zake za uchaguzi mkuu ulipita, sasa ametwishwa Meya wa Jiji Gaudence Lyimo (CCM).

Aliyemtwisha zigo hilo ni Waziri wa Ujenzi Dk. John Magufuli na alifanya hivyo wakati akifungua mkutano wa wadau wakuu wa Mfuko wa Bodi ya Barabara uliofanyika jijini hapa juzi.

Magufuli alikuwa akizungumzia mikakati ya kuondoa foleni inayoanza kulinyemelea jiji la Arusha ambapo alisema moja ya ufumbuzi ni kuihamisha stendi hiyo ya mabasi.

“Ni vizuri Meya upo hapa, wekeni mikakati ya kuhamisha ile stendi, hakuna haja ya mabasi yote yanayokuja Arusha lazima yaingie katikati ya jiji,” alisema na kuongeza, “tena katika jiji hili mnaweza kuwa na stendi tatu za mabasi makubwa katika maeneo tofauti kulingana na mahitaji.”

Alitaja maeneo hayo ambayo ni nje ya jiji kuwa ni kwa mabasi yanayotokea barabara ya Moshi, yanayotokea Dodoma na Babati na stendi nyingine ni kwa mabasi yanayotokea barabara ya Namanga.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...