Skip to main content

DC Geita Ahamasisha Sensa, Na Kuupokea Mwenge wa Uhuru



MKUU wa Wilaya ya Geita, Omari Manzie Mangochie amewaasa wananchi wa jimbo hilo kutoa ushirikiano kwa makalani wa sensa, iliyoanza usiku wa mkia leo nchini kote.
Akizungumza kwa njia ya simu , Mangochie alisema kuwa, tayari maofisa mbalimbali wa Sensa wamejipanga kutekeleza majukumu yao ndani ya Wilaya hiyo na kutaka ushirikiano wa kutosha huku akiwaasa kuachana na vitendo vya kuchanganya mambo ya siasa, dini na mambo ya msingi.
“Tunaomba ushirikiano wa kutosha kwa wananchi wa Geita ilikuwasaidia makalani wa sensa watakaopita sehemu mbalimbali na kupata maelezo ya kila mwananchi, na pia suala hili si la siasa wala dini ni la maendeleo yetu sote” alisema Mangochie. Mangochie pia alisema kuwa Wilaya yake inatarajia kupokea Mwenge wa Uhuru ambao utazindua miradi 15, itakayogharimu kiasi cha Milioni 836.
“Tunatarajia kupokea Mwenge wa Uhuru kesho na utazunguka Wilayani na kuzindua miradi ya 15, yenye thamani ya zaidi ya milioni 836, hii piautakua hamasa kwa zoezi zima la kuhamasisha sensa ya makazi na watu” alisema Mangochie.
Aidha, Mangochie aliwataka wananchi kuepuka mambo ya misuguano kutoka kwa wananchi wanaopitia njia za kisiasa kwani zitaweza kuleta chuki na baadala yake wawapuuze.
Mwenge huo unatarajiwa kuingia Mkoa huo mpya wa Geita, katika Wilaya ya Geita ukitokea Sengerema, Ambapo utazunguka kwa siku hiyo moja na kisha kuingia kweney Wilaya zingine mpya za Mbogwe, Nyang’wale, Bukombwe na kisha Chato.
Mwisho

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.