Skip to main content

SINTAH THE UNSTOPABLE’ AONGELEA SABABU YA KUTUMIA JINA LA ‘JLO’ KWENYE MUVI YAKE MPYA…!!


 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 


WADAU wengi wa tasnia ya filamu bongo wameanza kuingiwa na shaka kubwa, baada ya msanii wa filamu Christine John ‘Sintah’, kutumia jina la msanii wa Marekani Jennifer Lopez aka JLO, kwenye filamu yake na kazi hiyo inakwenda kwa jina la ‘The Return Of JLO’.

Mtandao mmoja , ulifanya mazungumzo na wadau kadhaa wa tasnia hiyo na wote walionekana kuwa na mawazo tofauti kuwa wanshindwa kuelewa ni kitu gani kilimfanya hadi mwanadada huyo kutumia jina mtu bila idhini yake.

Mwandishi alimtafuta ‘Sintah’, ili aweze kuwajibu wadau hao, katika kujibu kwake alidai kuwa ameamua kutumia jina hilo kwani huo ndiyo wakati wake yenye kwani anakuja kwa kishindo kikubwa katika tasnia cha filamu hivyo mashabiki wake waondoe shaka juu ya hilo.

Hata hivyo aliongeza kuwa sababu kutumia jina hilo kingine ni kwamba anampenda sana mwanadada huyo na haoni kama inaweza kuleta matatizo ingawa ni kweli hakuzugumza naye juu ya hilo.

“Ni kweli kwa msanii mwigine anaweza kunishtaki kwani nimetumia jina lake pasipo mwenyewe kujua, lakini nachowaomba watanzania wajue kila kitu kipo sawa na kazi yangu imetulia hivyo waitazame kwa umakini ili wajue kitu gani kinachozungumzwa,” alisema.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.