Skip to main content

Wapinga Muungano 12 wafikishwa Mahakamani Zanzibar


Na Mwinyi Sadallah.

Watu 12 wamefikishwa Mahakamani Zanzibar na kusomewa mashitaka matatu ikiwemo kupinga Muungano.
Washitakiwa hao walifikishwa katika mahakama ya Wilaya Mwanakwerekwe wakiwa katika Ulinzi mkali wa Jeshi la Polisi Zanzibar, wakiwemo wanaharakati wanaotetea kuvunja Muungano. Walifikishwa mbele ya hakimu Omar Mcha Hamza.
Waliyofikishwa mahakamani ni Rashid Salum Ali (48) mkaazi wa Kikwajuni, Khamis Hassan Hamadi (51) wa Jang'ombe, Rashid Ali Rashid (21) Mombasa, Hashim Juma Issa (54) mkaazi wa Mbweni, Suleiman Mustafa Suleiman (31) wa Mombasa na Haji Sheha Hamadi (49) wa Chumbuni.
Wengine ni Rami Mbaraka Ahmed (48) wa Michenzani, Salum Massoud Juma (38)wa Rahaleo, Mussa Omar Kombo (67) wa Mpendae, Omar Kombo Is-hak (21) wa Magogoni, Ali Omar Omar (54) Bububu na Massoud Faki Massoud (31) mkaazi wa Kilimahewa.
Mwendesha mashitaka, Said Ahmed Mohammed alidai washitakiwa hao wanadaiwa kukusanyika barabarani wakiwa na mabango ya kupinga Muungano wa Tanganyika Zanzibar. Aidha, alidai washitakiwa hao wanadaiwa kufanya mkusanyiko usio halali, pamoja kufanya vitendo vya uhuni na uzururaji kinyume na sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai ya mwaka 2004 na vifungu vya 55 (1) (2) (3) na 56.
Alidai kuwa Aprili 20, 2012 saa 2:30 za asubuhi, huko Mbweni Wilaya ya Magharibi Unguja, walijikusanya katika barabara ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar na kusababisha hofu kwa watu wa maeneo hayo..
Alidai kuwa pamoja na Jeshi la Polisi kutoa tangazo lakuwataka washitakiwa hao kutawanyika waligoma. Washitakiwa walikana mashitaka yao, lakini uapande wa mashitaka ulisema upelelezi haujakamilika na kuomba kuiahirisha kesi na kupanga tarehe nyingine ya kutajwa.
Hata hivyo, watuhumiwa hao waliomba mahakama hiyo iwapatie dhamana ombi ambalo hakimu alilikubali. Kila mmoja anatakiwa kuwasilisha dhamana ya fedha taslimu Sh. 500,000 na wadhamini wawili wenye vitambulisho kikiwemo cha Mzanzibari Mkaazi, na mmoja kati ya wadhamini awe ni mtumishi wa Serikali.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.