Skip to main content

Wapinga Muungano 12 wafikishwa Mahakamani Zanzibar


Na Mwinyi Sadallah.

Watu 12 wamefikishwa Mahakamani Zanzibar na kusomewa mashitaka matatu ikiwemo kupinga Muungano.
Washitakiwa hao walifikishwa katika mahakama ya Wilaya Mwanakwerekwe wakiwa katika Ulinzi mkali wa Jeshi la Polisi Zanzibar, wakiwemo wanaharakati wanaotetea kuvunja Muungano. Walifikishwa mbele ya hakimu Omar Mcha Hamza.
Waliyofikishwa mahakamani ni Rashid Salum Ali (48) mkaazi wa Kikwajuni, Khamis Hassan Hamadi (51) wa Jang'ombe, Rashid Ali Rashid (21) Mombasa, Hashim Juma Issa (54) mkaazi wa Mbweni, Suleiman Mustafa Suleiman (31) wa Mombasa na Haji Sheha Hamadi (49) wa Chumbuni.
Wengine ni Rami Mbaraka Ahmed (48) wa Michenzani, Salum Massoud Juma (38)wa Rahaleo, Mussa Omar Kombo (67) wa Mpendae, Omar Kombo Is-hak (21) wa Magogoni, Ali Omar Omar (54) Bububu na Massoud Faki Massoud (31) mkaazi wa Kilimahewa.
Mwendesha mashitaka, Said Ahmed Mohammed alidai washitakiwa hao wanadaiwa kukusanyika barabarani wakiwa na mabango ya kupinga Muungano wa Tanganyika Zanzibar. Aidha, alidai washitakiwa hao wanadaiwa kufanya mkusanyiko usio halali, pamoja kufanya vitendo vya uhuni na uzururaji kinyume na sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai ya mwaka 2004 na vifungu vya 55 (1) (2) (3) na 56.
Alidai kuwa Aprili 20, 2012 saa 2:30 za asubuhi, huko Mbweni Wilaya ya Magharibi Unguja, walijikusanya katika barabara ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar na kusababisha hofu kwa watu wa maeneo hayo..
Alidai kuwa pamoja na Jeshi la Polisi kutoa tangazo lakuwataka washitakiwa hao kutawanyika waligoma. Washitakiwa walikana mashitaka yao, lakini uapande wa mashitaka ulisema upelelezi haujakamilika na kuomba kuiahirisha kesi na kupanga tarehe nyingine ya kutajwa.
Hata hivyo, watuhumiwa hao waliomba mahakama hiyo iwapatie dhamana ombi ambalo hakimu alilikubali. Kila mmoja anatakiwa kuwasilisha dhamana ya fedha taslimu Sh. 500,000 na wadhamini wawili wenye vitambulisho kikiwemo cha Mzanzibari Mkaazi, na mmoja kati ya wadhamini awe ni mtumishi wa Serikali.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...