Skip to main content

BIA YA NDOVU SPECIAL MALT YASHINDA TENA TUZO YA DHAHABU YENYE HADHI YA JUU YA UBORA KIMATAIFA


Meneja wa Bia ya Ndovu Special Malt,Pamela Kikuli (katikati) akiongea na waandishi wa habari (wahapo pichani) wakati wa kutangaza Tuzo ya dhahabu yenye hadhi ya juu zaidi ya ubora wa bidhaa za kimataifa ijulikanayo kama “Grand Gold Quality Award” waliyoipata kwa mara ya pili sasa,kwenye mkutano uliofanyika leo kwenye ukimbi wa Mikutano wa TBL jijini Dar es Salaam.Kulia ni Meneja wa Mambo ya Nje na Mawasiliano wa TBL,Emma Orio na Kushoto ni Mpishi Mkuu wa Bia wa TBL,Mzee Gaudence Mkolwe.


Bia ya Ndovu Special Malt inayotengenezwa na kusambazwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), imedhihirisha ubora wake kimataifa baada ya kushinda kwa mara nyingine tena tuzo ya dhahabu yenye hadhi ya juu zaidi ya ubora wa bidhaa kimataifa ijulikanayo kama “Grand Gold Quality Award”
Akizungumza na waandishi wa habari, meneja wa Bia ya Ndovu Bi. Pamela Kikuli alisema; Tunayo furaha kubwa sana kuwajulisha wadau wa Bia hii ya Ndovu Special Malt juu ya ushindi huu mkubwa ambao Bia hii imenyakua katika tuzo za bidhaa za kimataifa zinazotolewa na Taasisi ya kimataifa inayoangalia ubora wa bidhaa ya “Monde Selection International Quality Institute” iliyopo Brussels, Ubelgiji (Belgium).
Tuzo hii yenye hadhi ya juu kabisa katika ubora wa bidhaa kimataifa inajulikana kama “Grand Gold Quality Award” na hushindanisha bidhaa toka Mataifa mbalimbali ambapo mwezi huu Aprili taasisi hiyo imetangaza rasmi kuwa “Ndovu Special Malt” imeshinda tena tuzo ya “Grand Gold” kwa mwaka 2012. Alisema Pamela.
Akizungumzia Ubora wa bia ya Ndovu Special Malt, Mpishi mkuu wa Bia wa TBL Bwn. Gaudence Mkolwe alisema; Tunakumbuka kuwa mwaka 2010 Bia hii ya Ndovu Special Malt ilishinda kwa mara ya kwanza tuzo hii ya Grand Gold ikiwa na umri wa miezi tisa tu sokoni toka ibuniwe, na kuweka historia kwa nchi yetu kuwa ndio Bia ya kwanza kushinda tuzo hiyo hapa Tanzania, na leo Bia ya Ndovu Special Malt inawadhihirishia wadau wake na watanzania wote kwa ujumla kuwa imeendeleza ubora wake kitaifa na kimataifa hadi kupata tuzo hii kwa mara ya pili.
Haya ni mafanikio makubwa na ya kujivunia si tu kwa wapenzi wa Bia hii, bali kwa Taifa zima kwa kuwa na bidhaa zinazotingisha anga za kimataifa kwa Ubora, na ukizingatia kuwa Bia hii imebuniwa na watanzania na inatengenezwa na watanzania. Haya ni mafanikio makubwa ya kujivunia.
Nae Meneja wa miradi maalum na Mawasiliano wa TBL Bi. Emma Oriyo alitoa utaratibu wa upokeaji wa tuzo hizo; Tuzo hizi za mwaka 2012, zitakabidhiwa rasmi mwezi Juni 2012 katika hafla kubwa iliyoandaliwa huko Athens, Ugiriki na kufuatiwa na hafla mbalimbali zitakazofanyika hapa nyumbani mara tu tuzo hii itakapowasili nchini.
Tunawapongeza wapenzi wote wa Bia hii ya Ndovu Special Malt, kwa kufanya chaguo sahihi kwa kutumia Bia inayoongoza kwa ubora wenye hadhi ya juu na tunawaahidi kuendelea kuwapatia ubora huu siku zote. Alisema Bi. Emma.Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.