Skip to main content

BIA YA NDOVU SPECIAL MALT YASHINDA TENA TUZO YA DHAHABU YENYE HADHI YA JUU YA UBORA KIMATAIFA


Meneja wa Bia ya Ndovu Special Malt,Pamela Kikuli (katikati) akiongea na waandishi wa habari (wahapo pichani) wakati wa kutangaza Tuzo ya dhahabu yenye hadhi ya juu zaidi ya ubora wa bidhaa za kimataifa ijulikanayo kama “Grand Gold Quality Award” waliyoipata kwa mara ya pili sasa,kwenye mkutano uliofanyika leo kwenye ukimbi wa Mikutano wa TBL jijini Dar es Salaam.Kulia ni Meneja wa Mambo ya Nje na Mawasiliano wa TBL,Emma Orio na Kushoto ni Mpishi Mkuu wa Bia wa TBL,Mzee Gaudence Mkolwe.


Bia ya Ndovu Special Malt inayotengenezwa na kusambazwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), imedhihirisha ubora wake kimataifa baada ya kushinda kwa mara nyingine tena tuzo ya dhahabu yenye hadhi ya juu zaidi ya ubora wa bidhaa kimataifa ijulikanayo kama “Grand Gold Quality Award”
Akizungumza na waandishi wa habari, meneja wa Bia ya Ndovu Bi. Pamela Kikuli alisema; Tunayo furaha kubwa sana kuwajulisha wadau wa Bia hii ya Ndovu Special Malt juu ya ushindi huu mkubwa ambao Bia hii imenyakua katika tuzo za bidhaa za kimataifa zinazotolewa na Taasisi ya kimataifa inayoangalia ubora wa bidhaa ya “Monde Selection International Quality Institute” iliyopo Brussels, Ubelgiji (Belgium).
Tuzo hii yenye hadhi ya juu kabisa katika ubora wa bidhaa kimataifa inajulikana kama “Grand Gold Quality Award” na hushindanisha bidhaa toka Mataifa mbalimbali ambapo mwezi huu Aprili taasisi hiyo imetangaza rasmi kuwa “Ndovu Special Malt” imeshinda tena tuzo ya “Grand Gold” kwa mwaka 2012. Alisema Pamela.
Akizungumzia Ubora wa bia ya Ndovu Special Malt, Mpishi mkuu wa Bia wa TBL Bwn. Gaudence Mkolwe alisema; Tunakumbuka kuwa mwaka 2010 Bia hii ya Ndovu Special Malt ilishinda kwa mara ya kwanza tuzo hii ya Grand Gold ikiwa na umri wa miezi tisa tu sokoni toka ibuniwe, na kuweka historia kwa nchi yetu kuwa ndio Bia ya kwanza kushinda tuzo hiyo hapa Tanzania, na leo Bia ya Ndovu Special Malt inawadhihirishia wadau wake na watanzania wote kwa ujumla kuwa imeendeleza ubora wake kitaifa na kimataifa hadi kupata tuzo hii kwa mara ya pili.
Haya ni mafanikio makubwa na ya kujivunia si tu kwa wapenzi wa Bia hii, bali kwa Taifa zima kwa kuwa na bidhaa zinazotingisha anga za kimataifa kwa Ubora, na ukizingatia kuwa Bia hii imebuniwa na watanzania na inatengenezwa na watanzania. Haya ni mafanikio makubwa ya kujivunia.
Nae Meneja wa miradi maalum na Mawasiliano wa TBL Bi. Emma Oriyo alitoa utaratibu wa upokeaji wa tuzo hizo; Tuzo hizi za mwaka 2012, zitakabidhiwa rasmi mwezi Juni 2012 katika hafla kubwa iliyoandaliwa huko Athens, Ugiriki na kufuatiwa na hafla mbalimbali zitakazofanyika hapa nyumbani mara tu tuzo hii itakapowasili nchini.
Tunawapongeza wapenzi wote wa Bia hii ya Ndovu Special Malt, kwa kufanya chaguo sahihi kwa kutumia Bia inayoongoza kwa ubora wenye hadhi ya juu na tunawaahidi kuendelea kuwapatia ubora huu siku zote. Alisema Bi. Emma.Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...