Skip to main content

Miss Kutangaza Utalii Marekani


Miss Tanzania Mariam Hamis akiwa jukwaani
 warembo wakiwa Bagamoyo
Warembo wawili wa Miss Utalii Tanzania 2011, watawakilisha Tanzania katika Shindano la Dunia la Miss United Nation 2012, litakalo fanyika July 28 huko calfonia Marekani.Shindano hilo linashirikisha zaidi ya nchi 100 duniani kote.

Hii itakuwa ni fulsa nyingine ya pekee kwa nchi yetu kutangaza vivutio vya utalii wa Tanzania , huko nchini marekani na duniani kwa ujumla. Warembo hawa pamoja na kwenda kutangaza utalii na utamaduni wa Tanzania kwa ujumla, lakini watapeleka ujumbe mahususi kwa wamarekani na Dunia kwa ujumla juu ya mlima kilimanajaro,Seremgeti na Ngorongoro Crater kuwa viko tanzania na ni mali ya tanzania. Hii itasaidia kuondoa na kupambana na propaganda za nchi nyingine kuwa vivutio hivyo vipo kwao.

Tunafanya mpango wa kupata matilio mbalimbali kutika mamlaka ya Hifadhi za taifa (TANAPA), mamlaka ya bonde la ngorongoro (NCAA) na Bodi ya Taifa ya Utalii, za mlima kilimanjaro,serengeti na ngorongoro ikiwemo machapisho vijarida,vipeperushi, mokanda ya video,DVD na VCD zikiwa katika lugha mbalimbali, ambavyo warembo wetu watagawa kwa washiriki wa nchi zote ,na vyombo mbalimbali vya habari vya nchi hizo vitakavyo ambatana na washiriki wao,pia kupitia waandaaji hao wa dunia tutagawa katika  vituo mbalimbali vya televisheni na magazeti nchini marekani.

Aidha mchakato wa kupata wadhamini wa kugharamia safari na ushiriki huo umeanza na unaendelea vizuri.

Mariamu Hamisi ni mshindi wa Miss Utalii Dodoma 2011 na mshindi wa taifa wa tuzo ya Miss Utalii tanzania 2011 - Gender,wakati Evamary Gamba ni mshindi wa Miss Utalii tanzania Kilimanjaro 2011 na mshindi wa Taifa wa tuzo ya Miss Utalii Tanzania 2011 - Mount Kilimanjaro. Matarajio ya kutwaa taji ni makubwa kutokana na ukweli kuwa washiriki wetu wanakidhi matakwa na kanuni za kushiriki na kushinda taji la Miss United Nation World.

kabla ya kuondoka warembo hawa watafanya ziara za mafunzo kati hifadhi za Kilimanjaro,Ngorongoro na Serengeti, kwani ndo ajenda na kipaumbele cha ushiriki wetu katika mashindano hayo mwaka huu. Aidha bodi ya maandakizi ya Miss utalii tanzania ,imepitisha kuwa washiriki wote wa Miss Utalii tanzania katika mashindano ya kimataifa na dunia watatumia ligha ya kiswahili ,stejini ili kukitangaza kiswahili, kama ambavyo mataifa na washiriki wa mataifa mengine wamekuwa wakitumia lugha za nchi zao na kushinda mataji.

Miss Tourism Tanzania  Symbol Of National Heritage - Do Value Added Pageant
"Lets Visit & Promote Tanzania National Parks -Tourism is Life ,Culture is Lining"
Regard,
Gideon E.G. Chipungahelo
PRESIDENT / C.E.O
Hotline: + 255 - 715/754/773 - 318 278.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.