Skip to main content

Mchakato wa kumng’oa Waziri Mkuu waendelea Bungeni


Mbunge wa Ludewa (CCM), Deo Filikunjombe akisaini karatasi inayokusanya saini za wabunge za kutokuwa na imani na Waziri Mkuu kwa lengo la kuwasilisha kwa Spika mjini Dodoma. Kulia ni Naibu Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Kabwe Zitto.



UKUSANYAJI saini za wabunge kwa ajili ya kuwasilisha azimio la kutokuwa na imani na Waziri Mkuu umechangamkiwa lakini kuna mgawanyiko baina ya wabunge wa CCM kwa kuwa baadhi yao wanapinga azimio hilo.
Hadi jana saa 9 alasiri, wabunge watano wa CCM ndiyo walikuwa wamesaini akiwemo Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe, aliyesaini akikanusha kutumwa na mtu kwa kusema hana haja na uwaziri, kama ambavyo baadhi ya wabunge walivyowatuhumu kuwa wanaoshinikiza azimio hilo wanataka uwaziri.
Wanaoponda hoja hiyo wanasema haina mashiko, kwa kuwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda hahusiki na uteuzi wa mawaziri.
Mbunge aliyezungumza hadharani na waandishi akipinga, ni wa Simanjiro, Christopher ole Sendeka (CCM) ambaye amemtetea Pinda kwamba ni mtendaji mzuri na hajavunja maadili yoyote kiasi cha kuruhusu hoja ya kumwondoa kuwa na mashiko.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC) na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto (Chadema) ndiye aliyeongoza kazi hiyo jana na hadi saa 9, zilishakusanywa saini 66 za wabunge kutoka vyama vyote isipokuwa United Democratic Party (UDP) ambacho mbunge wake ni John Cheyo ambaye pia ni Mwenyekiti.
Akiongozana na Filikunjombe, Zitto aliwaambia waandishi wa habari kwamba hadi muda huo, idadi ya wabunge wa CCM waliosaini ni watano, CUF 12 na wengine ni waTLP, NCCR-Mageuzi na Chadema.Inatoka kwa  Mdau.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...