Skip to main content

SMZ haitakivumilia Kikundi chochote kitakachoonekana kuhatarisha Amani, Utulivu na Umoja wa Visiwa hivi vya Unguja na Pemba.


Kauli hiyo imetolewa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi wakati akifunga Mkutano wa Saba wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar huko Mbweni nje kidogo ya Mji wa Zanzibar. Balozi Seif alitahadharisha kwamba Serikali haitasita kukizuia Kikundi chochote kinachoendesha mihadhara au Makongamano yatakayobainika yanahatarisha usalama wa Nchi.
Alisema Serikali haikatazi Kuendeshwa kwa mihadhara na Makongamano na ndio maana ikavumilia ikidhani kuwa nia ya mihadhara hiyo ni kuelimisha Jamii. Alisema hivi karibuni kipo kikundi kinachoendesha Mihadhara na Makongamano inayotishia hali ya Amani na Utulivu kwa kuhamasisha kwa nguvu watu kuukataa Muungano huku wakitukana kwa nguvu zote Viongozi wa Taifa hili wakiwemo wanaounga Muungano. 
“Mihadhara hiyo imebadilika sura na badala ya kuelimisha imekuwa ni uwanja wa kashfa, kejeli na matusi ya nguoni kwa Viongozi wetu, jambo ambalo ni kinyume kabisa na utamaduni wa Mzanzibari na Misingi ya Kidemokrasia. Kwa hili hatutokuwa na muhali a Mtu wals Kikundi chochote” Alikemea Balozi Seif. Balozi Seif aliwaomba Wananchi kuwa fursa iliyotolewa na Serikali zote mbili kwa kuleta mchakato wa Katiba mpya ni jambo la Kihistoria na linaonyesha kukua kwa Demokrasia Nchini Tanzania. 
Akizungumzia uimarishaji wa Zao la Karafuu Serikali imejiandaa kuhakikisha miche ya Mikarafuu inapatikana katika Vitalu vyake vyote na kwamba wakulima wote Nchini watapatiwa Miche hiyo bila ya malipo. 

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.