Skip to main content

Hollande ashinda duru ya kwanza ya uchaguzi Ufaransa


Francois Hollande, Socialist Party candidate for the 2012 French presidential election, waves to supporters in Tulle before his speech, after early results in the first round vote of the 2012 French presidential election // Eingestellt von wa
Francois Hollande kutoka chama cha Kisoshalisti nchini Ufaransa ambaye anataka kuwahudumia vizuri zaidi watu masikini na wale wasiokuwa na ajira anaiingia duru ya pili ya uchaguzi wa rais dhidi ya Rais Nicolas Sarkozy.
Uchaguzi huu unaweza kubadili ramani ya kisiasa na kiuchumi barani Ulaya.Katika uchaguzi huo uliofanyika Jumapili (22.04.2012) nchini Ufaransa hakuweza kupatikana mshindi wa moja kwa moja na hiyo kulazimika kufanyika kwa duru ya pili ya uchaguzi hapo tarehe 6 Mei.
Huyo ni Francois Hollande ambaye anaingia duru ya pili ya uchaguzi wa rais wa Ufaransa akiwa anaongoza katika kura kwa kumpita chupuchupu mhafidhina Sarkozy alienadi kampeni yake kwa kutumia ilani ya kudhibiti uhamiaji katika dura ya kwanza ya uchaguzi huo.
Mshangao mkubwa kabisa wa uchaguzi huo ni kwamba katika kila wapiga kura watano mmoja amemchaguwa mgombea wa sera kali za mrengo wa kulia Marine Le Pen na kumfanya ashike nafasi ya tatu na pia nafasi ya kuwa na usemi katika siasa za Ufaransa kwa kutumia ilani ya kupinga uhamiaji ambayo inawalenga mamilioni ya Waislamu wa Ufaransa.
Ikiwa asilimia 93 ya kura zikiwa tayari zimekwishahesabiwa Hollande amejipatia asilimia 28.4 ya kura,Sarkozy amejipatia asilimia 27 na Le Pen ambaye ameshika nafasi ya tatu amejipatia asilimia 18.3 ya kura ,ambayo ni matokeo mazuri kabisa kuwahi kushuhudiwa na chama cha National Front kilichoasisiwa na baba yake Jean- Marie Le Pen. Idadi ya watu waliojitokeza kupiga kura ni kubwa ambapo imepindukia asilimia 80 katika uchaguzi huo wa urais uliokuwa na wagombea 10.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...