Skip to main content

Vodacom Tanzania yapunguza gharama za kutoa fedha katika huduma yake ya m-pesa hadi asilimia 20.



TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Dar es Salaam 16.4.2012: Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania imepunguza gharama zake za  kutoa fedha kwa kupitia huduma yake ya m-pesa hadi asilimia 20 ambapo mteja anapotoa fedha kutoka kwa wakala yeyote wa m-pesa. Gharama hizi zimepunguzwa rasmi kuanzia tarehe 16 Aprili, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Bw. Rene Meza alisema wateja wa Vodacom sasa wanao uwezo wa kutoa fedha kutoka kwa wakala yeyote nchini na watatozwa kwa hizi gharama mpya na nafuu zitakazosaidia zaidi shughuli za kiuchumi na kijamii za watu waliosajiliwa na huduma ya Vodacom M-PESA .
“Tunaelewa hali ya uchumi nchini na tunafahamu jinsi m-pesa ilivyokua huduma muhimu na bora katika maisha ya kila siku ya Watanzania, Hivyo tumeamua kuifanya iwe nafuu zaidi na rahisi kwa wateja wetu ”, alisema Mkurugenzi huyo katika taarifa iliyotolewa ya kutambulisha gharama mpya za kutoa fedha.  ‘Hili ni lengo letu muhimu mwaka huu na zaidi” alisisitiza Bw. Meza. 
Upunguzaji huu umekuja miezi michache baada ya Kampuni  kupunguza gharama za kutuma fedha na kuwa ndogo kwa kiasi cha kuanzia shilingi 50 kwa muamala na kuzindua promosheni ya siku 90 iitwayo ‘tuma na ushinde’ ambapo shilingi milioni 480 zitashindaniwa kwa kipindi chote cha promosheni.
Jukumu  letu ni kuhakikisha kwamba wateja wetu wana furaha na wanajiwezesha kupitia huduma  ya m-pesa. Tutaendelea kuboresha bidhaa na huduma zetu ambazo tunatoa kwenye m-pesa ili  kuhakikisha  umuhimu kwa maisha ya kila siku ya wateja alisisitiza Bw Meza.
Vodacom m-pesa inatoa huduma mbalimbali ikiwa ni pamoja na malipo ya bili kama vile LUKU, DAWASCO, DSTV na hata ada za mitihani ya NECTA. Vilevile inaweza kutumika kulipia  tiketi, safari za ndani  za ndege  za Precision Air na Coastal , ununuzi wa tiketi za basi, kulipa ada za shule, kuweka na kutoa fedha kupitia Benki ya CRDB, Western Union na huduma zingine nyingi.
Vodacom m-pesa ina  mtandao wa mawakala zaidi ya 20,000 Tanzania nzima, hakuna shaka kwamba Vodacom m-pesa ni huduma inayoongoza katika ufumbuzi na umaarufu na matumizi ya kuongezeka siku hadi siku na kufanya Vodacom Tanzania  iwe chaguo zaidi la ufumbuzi  wa  masuala ya fedha hapa nchini.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...