Skip to main content

RAIS KIKWETE ATETA NA MAXIMO BRAZIL



Kocha wa zamani wa Taifa Stars Marcio Maximo akimsalimu mke wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Mama Salma Kikwete alipokwenda kuwasalimia katika hoteli ya Tivoli jijini Sao Paulo.
Kocha wa zamani wa Taifa Stars Marcio Maximo akisalimiana na Rais Jakaya Mrisho Kikwete alipokwenda kumsalimia Rais katika hoteli ya Tivoli jijini Sao Paulo(picha na Full Shangwe Blog)

Comments