Mwanamuziki Beyonce
Knowles amemuandikia barua ya wazi mke wa Rais wa Marekani,Michelle
Obama akimpongeza kwa ujasiri..Beyonce ambaye ni mama wa mtoto mmoja na
ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 30,aliweka ujumbe kupitia mtandao
akimtaja Michelle ni Mwanamke mweusi wa kupigiwa mfano Nchini
Humo"Najivunia kuzaa mtoto wa kike katika Ardhi hii yenye mwanamke
mweusi Jasiri kama kuitunza familia yako na upendo wako kwa
familia,"Nyota huyo alikuwepo katika Hafla ya uchangiaji Fedha na
Michelle alisema anampenda mwanamuziki Beyonce..Mume wa Beyonce Jay-Z
ambaye ni mwimbaji maarufu Duniani kwa pamoja wanamuunga mkono Obama
Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Comments