Mwanamuziki Beyonce
Knowles amemuandikia barua ya wazi mke wa Rais wa Marekani,Michelle
Obama akimpongeza kwa ujasiri..Beyonce ambaye ni mama wa mtoto mmoja na
ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 30,aliweka ujumbe kupitia mtandao
akimtaja Michelle ni Mwanamke mweusi wa kupigiwa mfano Nchini
Humo"Najivunia kuzaa mtoto wa kike katika Ardhi hii yenye mwanamke
mweusi Jasiri kama kuitunza familia yako na upendo wako kwa
familia,"Nyota huyo alikuwepo katika Hafla ya uchangiaji Fedha na
Michelle alisema anampenda mwanamuziki Beyonce..Mume wa Beyonce Jay-Z
ambaye ni mwimbaji maarufu Duniani kwa pamoja wanamuunga mkono Obama

Comments