Skip to main content

WANAFUNZI WA SHAHADA YA KWANZA YA SOSHOLOJIA YA CHUO KIKUU CHA DODOMA(UDOMSSO) WATEMBELEA HOSPITALI YA WAGONJWA WA AKILI YA MILEMBE NA KUKABIDHI MSAADA WENYE THAMANI YA SHILINGI LAKI TANO NA NUSU LEO


Wanafunzi wa Wanasoma Shahada ya Kwanza ya Sosholojia Ya Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) walipowasili katika hospitali ya wagonjwa wa akili ya Milembe iliyopo Dodoma kwaajili ya Kuwatembelea na Kukabidhi misaada yenye thamani ya Jumla ya Shiling aki tano na nusu
 Muuguzi Mfawidhi wa Hospitali ya Milembe Dk John Ndimo(Kulia) akiongea na wanafunzi wa Shahada ya Kwanza ya Sosholojia wa Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) walipokwenda kutembelea hospitali hiyo kwa lengo la kutoa msaada na kujifunza pia.Wa Pili Kulia ni Msemaji wa Taasisi ya Wanafunzi wanaosoma Sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOMSSO) Mh Leo Joachim
Msemaji wa Taasisi ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Dodoma(UDOMSSO) Mh Leo Joachim akiongea na Muuguzi mfawidhi wa Hospitali ya Milembe iliyopo Mkoani Dodoma huku akishuhudiwa na wanafunzi wanaosoma shahada ya kwanza ya sosholojia kutoka Chuo kikuu Cha Dodoma (hawapo pichani)
Baadhi ya Wanafunzi wanaosomea shahada ya kwanza ya Sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma wakimsikiliza kwa makini Muuguzi mfawidhi wa hospitali ya Milembe wakatialipokua akieleza hali halisi ya hospitali hiyo leo
Katibu Wa taasisi ya Wanafunzi wanaosoma Shahada ya kwanza ya Sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma Mh Mirobo Mashauri akijiandaa kukabidhi Misaada iliyotolewa  na Wanafunzi wa Shahada ya Kwanza ya Sosholojia Ya Chuo Kikuu  Cha Dodoma wakati walipotembelea hospitali ya Milembe leo
Katibu Wa Taasisi Ya wanafunzi wanaosoma shahada ya Kwanza ya Sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma Mh Mirobo Mashauri akikabidh baadhi ya misaada iliyotolewa na Wanafunzi wa Shahada ya Kwanza ya Sosholojia Ya Chuo Kikuu Cha Dodoma wakati walipotembelea hospitali hiyo leo\
 Muuguzi mfawidhi wa Hospitali ya Milembe Dk John Ndimo (Wa tatu kutoka Kulia) akishukuru kwa misaada iliyotolewa na Wanafunzi wanaosoma Shahada ya Kwanza ya Sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma wakati walipotembelea hospitali hiyo leo
Baadhi ya Wanafunzi wanaosoma Shahada ya Kwanza ya Sosholojia Ya Chuo Kikuu Cha Dodoma Wakisikiliza kwa makini maelezo ya Muuguzi mfawidhi wa Hospitali ya Milembe iliyopo Mkoani Dodoma wakati wanafunzi hao walipofanya ziara
Afisa Habari wa Taasisi ya wanafunzi wanaosoma shahada ya kwanza ya sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOMSSO) Mh Josephat Lukaza akiongea na ITV wakati wa Ziara ya wanafunzi wa sosholoji walipotembelea hospitali ya Milembe iliyopo Mkoani Dodoma
Makamu Mwenyekiti Wa Taasisi ya Wanafunzi wanaosoma Shahada ya Kwanza ya Sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma Gaudensia Mwakemwa akiongea na ITV wakati wa ziara ya Wanafunzi wa Sosholojia wa Chuo Kikuu Cha Dodoma walipotembelea Hospitali ya Milembe leo
Wanafunzi wa Shahada ya Kwanza ya Sosholojia Ya Chuo Kikuu Cha Dodoma wakiwa katika Maja
 Safari ya Kurudi Chuo Ikawadia na Hapo wanafunzi wakirejea Chuoni Mara baada ya Kutembelea Hospitali ya Milembe iliyopo Mkoani Dodoma
Kwa Picha Zaidi <<< BOFYA HAPA >>> 
 
Inatoka kwa mdau Lukaza. 

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...