WANAFUNZI WA SHAHADA YA KWANZA YA SOSHOLOJIA YA CHUO KIKUU CHA DODOMA(UDOMSSO) WATEMBELEA HOSPITALI YA WAGONJWA WA AKILI YA MILEMBE NA KUKABIDHI MSAADA WENYE THAMANI YA SHILINGI LAKI TANO NA NUSU LEO
Wanafunzi wa Wanasoma Shahada ya
Kwanza ya Sosholojia Ya Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) walipowasili
katika hospitali ya wagonjwa wa akili ya Milembe iliyopo Dodoma
kwaajili ya Kuwatembelea na Kukabidhi misaada yenye thamani ya Jumla ya
Shiling aki tano na nusu
Muuguzi Mfawidhi wa Hospitali ya
Milembe Dk John Ndimo(Kulia) akiongea na wanafunzi wa Shahada ya Kwanza
ya Sosholojia wa Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) walipokwenda kutembelea
hospitali hiyo kwa lengo la kutoa msaada na kujifunza pia.Wa Pili Kulia
ni Msemaji wa Taasisi ya Wanafunzi wanaosoma Sosholojia ya Chuo Kikuu
Cha Dodoma (UDOMSSO) Mh Leo Joachim
Msemaji wa Taasisi ya Wanafunzi wa
Chuo Kikuu Cha Dodoma(UDOMSSO) Mh Leo Joachim akiongea na Muuguzi
mfawidhi wa Hospitali ya Milembe iliyopo Mkoani Dodoma huku
akishuhudiwa na wanafunzi wanaosoma shahada ya kwanza ya sosholojia
kutoka Chuo kikuu Cha Dodoma (hawapo pichani)
Baadhi ya Wanafunzi wanaosomea
shahada ya kwanza ya Sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma wakimsikiliza
kwa makini Muuguzi mfawidhi wa hospitali ya Milembe wakatialipokua
akieleza hali halisi ya hospitali hiyo leo
Katibu Wa taasisi ya Wanafunzi
wanaosoma Shahada ya kwanza ya Sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma Mh
Mirobo Mashauri akijiandaa kukabidhi Misaada iliyotolewa na Wanafunzi
wa Shahada ya Kwanza ya Sosholojia Ya Chuo Kikuu Cha Dodoma wakati
walipotembelea hospitali ya Milembe leo
Katibu Wa Taasisi Ya wanafunzi
wanaosoma shahada ya Kwanza ya Sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma Mh
Mirobo Mashauri akikabidh baadhi ya misaada iliyotolewa na Wanafunzi wa
Shahada ya Kwanza ya Sosholojia Ya Chuo Kikuu Cha Dodoma wakati
walipotembelea hospitali hiyo leo\
Muuguzi mfawidhi wa Hospitali ya
Milembe Dk John Ndimo (Wa tatu kutoka Kulia) akishukuru kwa misaada
iliyotolewa na Wanafunzi wanaosoma Shahada ya Kwanza ya Sosholojia ya
Chuo Kikuu Cha Dodoma wakati walipotembelea hospitali hiyo leo
Baadhi ya Wanafunzi wanaosoma
Shahada ya Kwanza ya Sosholojia Ya Chuo Kikuu Cha Dodoma Wakisikiliza
kwa makini maelezo ya Muuguzi mfawidhi wa Hospitali ya Milembe iliyopo
Mkoani Dodoma wakati wanafunzi hao walipofanya ziara
Afisa Habari wa Taasisi ya wanafunzi
wanaosoma shahada ya kwanza ya sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma
(UDOMSSO) Mh Josephat Lukaza akiongea na ITV wakati wa Ziara ya
wanafunzi wa sosholoji walipotembelea hospitali ya Milembe iliyopo
Mkoani Dodoma
Makamu Mwenyekiti Wa Taasisi ya
Wanafunzi wanaosoma Shahada ya Kwanza ya Sosholojia ya Chuo Kikuu Cha
Dodoma Gaudensia Mwakemwa akiongea na ITV wakati wa ziara ya Wanafunzi
wa Sosholojia wa Chuo Kikuu Cha Dodoma walipotembelea Hospitali ya
Milembe leo
Wanafunzi wa Shahada ya Kwanza ya Sosholojia Ya Chuo Kikuu Cha Dodoma wakiwa katika Maja
Safari
ya Kurudi Chuo Ikawadia na Hapo wanafunzi wakirejea Chuoni Mara baada
ya Kutembelea Hospitali ya Milembe iliyopo Mkoani Dodoma
Kwa Picha Zaidi <<< BOFYA HAPA >>>
Kwa Picha Zaidi <<< BOFYA HAPA >>>
Inatoka kwa mdau Lukaza.
Comments