Skip to main content

MISS UTALII KINONDONI KUFANYIKA SAN SIRRO


Warembo Miss Utalii Kinondoni msimu uliopita
Shindano la kumpata Binti wa Utalii Kinondoni 2011/2012(Miss Utalii Kinondoni 2011/2012 ngazi ya wilaya limepangwa kufanyika katika ukumbi wa kisasa na Club ya kimataifa ya San Siro, iliyoko Shekilango Sinza.Shindano hilo limepangwa kufanyika siku ya Ijumaa tarehe 25 Mei 2012 na kushirikisha mabinti 25 kutoka katika majimbo yote ya wilaya ya Kinondoni.

Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari na mkurugenzi wa Miss Tourism Tanzania Organisation wilaya ya Kinondoni Pius Yalula,ambao ndio waratibu na waandaaji wa shindano hilo, washiriki wote wanatarajia kuanza kambi ya mazoezi katika ukumbi huo siku ya Jumatatu Mei 1,2012. Miss Utalii Kinondoni 2010/2011 Sophia Dioa ambaye pia ni Miss Utalii Dar es Salaam 2010/2011 na Miss Utalii Tanzania 2010/2011.

Piusi Yalula alibainisha kuwa ni mpango mkakati wa Miss Tourism Tanzania organisation mwaka huu, wa kuwafuata watanzania hususani vijana katika maeneo yao ya burudani,ili kuwahamasisha juu ya utalii wa ndani. Ndio maana fainali za mwaka za Miss Utalii Kinondoni ,tumeamua kuzifanyia katika Club ya Sunciro, ambako tunaamini kuwa vijana na watu wa rika mbalimbali wanapenda kwenda katika kumbi na club za aina hiyo kwa ajili ya burudani na mapumziko ya wikendi. Utafitin uliofanywa na kitengo chetu cha masoko umebaini kuwa ili dhana ya utalii wa ndani iweze kufanikiwa ni lazima tuanze na watu hususani vijana ambao tayali ni wapenzi wa burudani na wako tayali kutumia sehemu ya pato lao kwaajili ya burudani na mapumziko ya mwishoni mwa wiki. Tutatumia shindano hili la Miss Utalii Kinondoni 2010/2012 kuwahamasisha wapenzi wa burudani, vijana na watu wa rika zote kujenga tabia ya kwenda kuembelea vivutio vya utalii nchini ,hususani vya wilaya ya kinondoni na pia kuwaelimisha wao na jamii kuwa Utalii na Burudani kama zilivyo burudani nyingine na ni fulsa nzuri ya mapumziko ya mwishoni mwa wiki, tena wakati mwingine kwa garama ndogo,kwani Serikali na mamlaka ya Hifadhi za Taifa (TANAPA) wameweka bei isiyo zidi shilingi 1500 kwa mtu mzima na shilingi 500 kwa watoto.
Fomu kwaajili ya kushiriki shindano hilo zinapatikana katika maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam ikiwemo Sunsiro Club Shekilango, Zizzu Fashion Victori,Sea Boys Magomeni,BM Saloon Kinondoni, Dar es Salaam City Collage Kimara,Chicken Hut mlimani City, Angel Saoon Sinza,Coco Beach OyterBay na katika ofisi za Miss Tourism Tanzania Organisation zilozoko Ilala Bungini na Kimara Dar es Salaam.
Pous aliongeza kuwa fainali za mwaka huu za Binti/Miss Utalii kinondoni 2011/12 zitakuwa ni za kipekee kutikana na kamati ya maandalizi kujipanga vilivyo ,ili kuhakikisha huwa taji la Miss/Binti Utalii Dar es Salaam linabaki kinondoni na pia kuhakikisha tunachukua taji la taifa la Miss /Binti Utalii Tanzania 2011/12 mwaka huu. Sifa za kushiriki shindano la Miss /Binti utalii Tanzania ni pamoja na Elimu isiyo pungua kidato cha sita au yenye kulingana nayo, uwezo wa kuzungumza kiswahili fasaha,urefu wa angalau setimita 160 au zaidi, raia wa tanzania, ngozi na rangi asili,jinsia halosi ya kike, umri usio pungua miaka 18 wala kuzidi miaka 27 na awe ni mwenye tabia na mwenendo ,tabia njeama na mfano wa kuigwa katika jamii.
Asante,
Pius Yalula
Mkurugenzi Miss Utalii Kinondoni

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...