Skip to main content

IDDI SEIF NDIYE MWENYEKITI MPYA UCHAGUZI WA WATANZANIA DWV



Iddi Seif Sandaly ndiye rais mpya aliyechaguliwa kwenye mkutano wa uchaguzi wa Watanzania DMV uliofanyika katika ukumbi wa Mirage, Iddi Seif Sandaly alishinda kwa kura 205.
 Loveness Edwin Mamuya ambaye alikuwa mgombea wa Urais kwenye mkutano wa uchaguzi uliofanyika Jumapili Aprili 15, 2012 na kupata kura 119.
Jacop Kinyemi aliyekuwa kwenye kinyang'anyiro cha Ukatibu Mkuu na kuwa wa pili kwa kura 82, Amos Cherehani ndiye aliyeshinda Ukatibu Mkuu kwa kura 192 na Rhoda Kasamba kwenye nafasi ya Ukatibu Mkuu alipata kura 40.

Wajumbe wa Bodi ambao wote walipita kwenye uchaguzi huo kutoka kushoto ni Al- Amini Chande, Dr. Hamza Mwamoyo, Eliserena Kimolo, Grace Sebo Mgaza na Haruni Ulotu.

Maafisa Ubalozi wakifuatilia uchaguzi huo.
 Mgombea Uraisi Loveness Mamuya (kati) akifuatilia mkutano wa uchaguzi.
 Mselem (kushoto) na Dr. Mwamoyo Hamza, Kamati ya Kurekebisha Katiba ambayo pia ilisimamia uchaguzi wakitayarisha vitendea kazi na kuweka mambo sawa kabla ya upigaji kura.
 Mgombea wa Urais Iddi Sandaly (kati) akifuatilia mkutano wa uchaguzi.
Watanzania wa DMV wakiwa mkutanoni.
Watanzania wa DMV wakiwa mkutanoni. 
Watanzania wa DMV ambao Jumapili Aprili 15, 2012 walifika kwa wingi na kuandika historia mpya kwa kuwachagua viongozi watakaoongoza Jumuiya DMV ambayo ilikuwa inalegalega tangia 2007.
CHANZO:

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.