Skip to main content

Bi Mkora Alonga: Mwanamke Akikukubalia Haraka Si Kwamba Ni ' Mrahisi', Amekuzimia Muda Mrefu!



Na nyie kina kaka punguzeni kuchagua, kwa mfano huoni kuwa ni risk kuanza kutaka kufanya mapenzi na msichana mapema hii na kwa yule aliyesema kuwa wengine wanakubali kirahisi, sasa kwa nini umuombe tendo la ndoa?

 Kwanini usifanye urafiki wa kawaida kwanza bila kufanya mapenzi, mkazoeana mkajuana tabia kama ni wa dizaini ya kutaka mali au wa kujenga, kisha ndio mkaenda stage nyingine? Hivi ngoja leo niwape dillema mnayowatwisha kina dada.

Kwa mfano dada wa watu keshakaa wee miaka hatokei mtu wa kumuomba uchumba, mara leo hii umetokea wewe unamtaka urafiki na mara unatanguliza kuomba ngono, hapo anakuwa kwenye dillema, akikukatalia utaingia mitini kimoja na yeye kubaki mpweke. Sasa akupe ngono au abaki mpweke? Na pengine huko nyuma alishakutana na kina kaka maguberi yakataka ngono akakataa ana kaachwa solemba! Sasa hapo afanyeje akukubali umtose vile vile kwa kumuona yu rahisi au akukatalie a risk loneliness!

Kisha swali la kizushi, kama mtu umempenda kwa nini umtie hiyo mitihani ya kuanza kumuomba ngono? Ndio kujionyesha Urijali au? Na kwa kuwa umeomba mwenyewe kwa nini ukipewa uanze kuwa na mashaka kama si unafiki ni nini? Sasa ulikuwa unaomba ili ukataliwe? Na msichana akikukubalia haina maana kuwa ni mrahisi bali pengine amekuzimia muda ila ameshindwa kukwambia anasubiri golden chance na hiyo umeileta sasa afanyaje?

Cha msingi ni kuwa muwazi na mkweli.  Mweleze wazi mwenzako, kusiwe na unafiki, kama kuna mpango wa kuoana basi na muwe marafiki kama ni mpango wa kuchezeana basi na mwambie aanze mbele ili asikuzibie wengine wakafikiri una  mtu kumbe huna kitu! Lakini pia ukiwa bold wanaume wengine wanashangaa wanataka wao ndio waanze kutangaza ndoa!

Bi Mkora, Msamvu. Inatoka kwa mjengwa.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...