Skip to main content

Bi Mkora Alonga: Mwanamke Akikukubalia Haraka Si Kwamba Ni ' Mrahisi', Amekuzimia Muda Mrefu!



Na nyie kina kaka punguzeni kuchagua, kwa mfano huoni kuwa ni risk kuanza kutaka kufanya mapenzi na msichana mapema hii na kwa yule aliyesema kuwa wengine wanakubali kirahisi, sasa kwa nini umuombe tendo la ndoa?

 Kwanini usifanye urafiki wa kawaida kwanza bila kufanya mapenzi, mkazoeana mkajuana tabia kama ni wa dizaini ya kutaka mali au wa kujenga, kisha ndio mkaenda stage nyingine? Hivi ngoja leo niwape dillema mnayowatwisha kina dada.

Kwa mfano dada wa watu keshakaa wee miaka hatokei mtu wa kumuomba uchumba, mara leo hii umetokea wewe unamtaka urafiki na mara unatanguliza kuomba ngono, hapo anakuwa kwenye dillema, akikukatalia utaingia mitini kimoja na yeye kubaki mpweke. Sasa akupe ngono au abaki mpweke? Na pengine huko nyuma alishakutana na kina kaka maguberi yakataka ngono akakataa ana kaachwa solemba! Sasa hapo afanyeje akukubali umtose vile vile kwa kumuona yu rahisi au akukatalie a risk loneliness!

Kisha swali la kizushi, kama mtu umempenda kwa nini umtie hiyo mitihani ya kuanza kumuomba ngono? Ndio kujionyesha Urijali au? Na kwa kuwa umeomba mwenyewe kwa nini ukipewa uanze kuwa na mashaka kama si unafiki ni nini? Sasa ulikuwa unaomba ili ukataliwe? Na msichana akikukubalia haina maana kuwa ni mrahisi bali pengine amekuzimia muda ila ameshindwa kukwambia anasubiri golden chance na hiyo umeileta sasa afanyaje?

Cha msingi ni kuwa muwazi na mkweli.  Mweleze wazi mwenzako, kusiwe na unafiki, kama kuna mpango wa kuoana basi na muwe marafiki kama ni mpango wa kuchezeana basi na mwambie aanze mbele ili asikuzibie wengine wakafikiri una  mtu kumbe huna kitu! Lakini pia ukiwa bold wanaume wengine wanashangaa wanataka wao ndio waanze kutangaza ndoa!

Bi Mkora, Msamvu. Inatoka kwa mjengwa.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.