Skip to main content

SHEREHE YA WANA KAMPENI WA MWENYEKITI WA DMV MH. RAIS IDDI SANDALY YAFANA!



Mpango mzima wa nyama choma katika sherehe za kumpongeza mwenyekiti wa jumuiya ya waTanzania DMV Mh. Rais Iddy Sandaly na uongozi mzima wa Jumuiya ya waTanzania Nchini Marekani.


Mzee njee njee katika mpango mzima wa makarangizo ya madikodiko ndani ya jiko


Muimbaji wa Bongo Flava marufu kwa jina la Suma Lee akipata picha ya pamoja na warembo wa Washington DC


Waana jumuiya wakipata picha ya pamoja


Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Mh. Iddy Sandaly akipata nyama choma ilioandaliwa kwa kupongezwakwa ushindi.


Ev. Lucas Moshi akipata picha na Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Mh.  Iddy Sandaly 

  
Mjomba Mashaka akiwa na kocha wa Yanga ya ughaibuni Yassin Randi


Dj  dave akitoa burudani ndani  ya nyumba 

  
Sherehe ndani ya hali halisi ndivyo ilivyo furaha na pongezi kwa viongozi walionyakua ushindi

Dj Dav na Dj Muddy watoa burudani kwa wana Jumuiya ya waTanzania DMV ndani ya nyumba


Wana jumuiya ya Dmv wakipata picha ya pamoja katika sherehe za kumpongeza Mh Iddy Sandaly


Latifa Ombi na Jabiri Jongo wakipata nyama choma nyuma ya nyumba mitaa ya kavurugeni muondoke Hyattsville Maryland nchini Marekani.


Suma Lee akipata flash na Rais wa Jumuiya ya waTanzania DMV Mh.  Iddy Sandaly ndani ya nyumba katika sherehe za kumpongeza   rasmi kwa ushindi wa kiti cha Urais

  
Wadau wakilisakata rumba (Picha ya kulia) Autie Shou ndani ya nyumba

Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...