Skip to main content

Lowassa Achangia Kanisa Shilingi Milioni Kumi


Na Mwandishi Wetu,Mbeya.

WAZIRI mkuu mstaafu,Edward Lowassa ametoa Shilingi Milioni 10 taslimu kwa ajili ya ujenzi wa kanisa la EAGT lililopo mjini Tunduma wilaya ya Mbozi mkoani Mbeya.

Fedha hizo amezitoa wakati wa harambee ya kuchagia ujenzi wa kanisa hilo ililofanyika katika viwanja vya Hoteli ya High Class mjini hapa.

Lowassa ambaye alitumia takribani dakika 28 pekee kuwepo katika viwanja hivyo, alisema kuwa watanzania ni vema wakawa na wito wa kujenga nyumba za kuabudia kuliko kujenga nyumba za starehe zikiwemo Bar.

‘’Nafurahi kualikwa katika tafrija hii na niwaombe kwa pamoja tuwe na tabia za kujenga nyumba za Mungu ambazo zitakusanya waumini kuabudia na kuomba kwa pamoja kuliko hivi ilivyo wengi wanajenga Bar’’ alisema Lowassa.

Aliongeza kuwa kwa sasa nchi ipo katika kipindi kigumu cha uchumi na masuala ya katiba mpya hivyo aliwaomba wakristo kupanga ratiba ya kuiombea nchi ili iendelee kuwa na amani na watanzania kuendelea kuimarisha ushirikiano na umoja uliopo.

Alisema kuwa jambo hilo ni muhimu kwa kila mtanzania ambapo kila mmoja aliombee taifa,ili lisikumbwe naghasia na mambo kama yale yanayotokea katika nchi zingine ikiwemo  Nigeria ambako kikundi cha Boko Haramu hakiwataki Wakristo.


‘’Mimi ,familia yangu na marafiki zangu  tumeguswa na ujenzi wa nyumba ya Mungu na tunatoa Shilingi Milioni 10 na huu ni mwanzo tu’’ alisema Lowassa.

Sanjari na kutoa fedha hizo, pia alimuomba askofu wa kanisa hilo aandae tamasha la kuchagia ujenzi huo kwa kwaya zote ambazo zilihudhuria harambee hiyo na kwamba kwaya tatu zitakazoshinda zitachagua mwakilishi mmoja ambao atawagharamia kwenda nchini Israel kuona historia ya kikristo.

Alisema amefanya hivyo kwasababu anapenda sana uimbaji na kwamba alibarikiwa zaidi alipoimba pamoja na wanakwaya hao wimbo usemao ‘’Bwana Mungu nashangaa kabisa nikitazama jinsi ulivyo……..

Kwa upande wake Askofu mkuu wa Kanisa hilo,Keneth Kasunga alimshukuru Waziri Mkuu huyo mstaafu ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Monduli kuwa amejenga nyumba ya Mungu na wala si ya Mtu binafsi hivyo Mungu hawezi kumuacha katika mambo yake yote na mahitaji pia.

Kanisa hilo lilisema kuwa katika ujenzi wa kanisa hilo lenye waumini 750, walipungukiwa kiasi cha Shilingi Milioni 750, kanisa litakaloweza kuwaondolea adha waumini ambao wanasali wakiwa nje kutokana na kanisa lililopo kwa sasa kuwa dogo.Inatoka kwa mdau MJengwa.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...