Skip to main content

TCRA Yatakiwa Kushusha Gharama Za Mawasiliano


(NA VERONICA KAZIMOTO – MAELEZO)
DAR ES SALAAM

 Chama cha Wafanyakazi wa Sekta ya Huduma za Mtandao wa Mawasiliano Tanzania (TEWUTA) kimeitaka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TICRA), kupunguza tozo inayolipwa na makampuni ya simu nchini.
 
Akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dare s Salaam leo, Katibu Mkuu wa chama hicho Junus Ndaro amesema TCRA imeshindwa kusimamia na kuhakikisha gharama za huduma za mawasiliano ya simu zinapungua na kuwa na uwiano sawa kwa tozo za makampuni yote Tanzania.
 
“Mamlaka imeshindwa kuwaeleza watanzania kwa uwazi na huku ikitambua kuwa moja ya jukumu lake ni kupanga bei elekezi kwa makampuni ya simu, kitendo ambacho hakijafanyika toka mamlaka hiyo iundwe na kutangazwa kwenye vyombo vya habari”, amesema Ndaro.
 
Ameongeza kuwa pamoja na mambo mengine chombo hiki kiliundwa kwa madhumuni ya kumsaidia mteja kupata bei nafuu kila anapotumia mtandao wowote wa simu.
 
“Ni ukweli kuwa watanzania wamechoka kutembea na simu zaidi ya moja za mitandao tofauti kwa sababu ya kutafuta punguzo kwa mtandao husika, hivyo ni wajibu wa TCRA kusimamia mitandao yote ya simu nchini kuwa na bei zenye uwiano wa karibu” amesisitiza Ndaro.  
Ndaro amesema kuwa serikali imeleta Mtandao wa Mkongo (FIBRE) ambao gharama zake za uendeshaji ni mdogo sana na unafanya kazi vizuri kwa haraka zaidi hivyo kuna uwezekano mkubwa kwa TCRA kupunguza gharama wanazotoza kutoka kwenye makampuni ya simu.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.