Skip to main content

Mahakama Kuu Singida Yatupilia Mbali Madai Yote 11 Dhidi Ya Tundu Lissu



 Na Elisante John
Singida  
MAHAKAMA kuu kanda ya Dodoma imetupilia mbali kesi iliyofunguliwa na wanachama wawili wa CCM, kupinga ushindi uliompa ubunge wa Jimbo la Singida,Tundu Lissu (CHADEMA).
Akisoma hukumu hiyo, iliyochukua saa nne, Jaji Moses Mzuna wa Moshi, mkoani Kilimanjaro, alisema wadai wameshindwa kuthibitisha hoja 11 walizomtuhumu Lissu, msimamizi wa uchaguzi na mwanasheria wa Serikali.
Alisema, baada ya mashahidi 24 wa upande wa wadai kutoa ushahidi wao na wanne wa wadaiwa, ameona uchaguzi huo ulikuwa huru, haki na ulifuata taratibu zote, hivyo hauhitaji kutenguliwa.
Baada ya hukumu na Jaji kutoka mahakamani ,Lissu alishindwa kujizuia na alianza kulia huku akitoa machozi ya furah na kuwapa wakati mgumu,jamaa na wafuasi wa CHADEMA, kumbembeleza.
Baadhi ya wabunge wa CHADEMA waliokuwepo mahakamani kusikiliza hukumu hiyo ni Israel Natse-Karatu, Paulina Gekul na Rose Kamili wa viti maalumu, mkoa wa Manyara.
Wengine ni Christina Mughwai na Christowaja Mtinda, wote viti maalumu, mkoa Singida.
Kesi hiyo ilisikilizwa mfululizo kuanzia Machi 12, 2012, walalamikaji ni Shabani Selema Itambu na Pascal Masele Hallu, wakazi wa kijiji cha Mkiungu, Singida vijijini.
 
Wadai walitetewa na wakili Godfrey Wasonga, wa kampuni ya Wasonga $ Associates Advocates ya Dodoma, wakati Lissu alisimamia mwenyewe, akishirikiana na wanasheria watatu wa serikali, Vicent Tangoh, Juma Ramadhani na Abdallah Chavula.
   
“Matakwa ya wananchi yaweza kuheshimiwa….kupepeta tu mdomo, bila ya kuwa na ushahidi wa kuthibitisha, ukitengua matokeo hivi hivi tu, wengi utawaharibia, siyo tu uchaguzi, bali hata maisha yao ya baadaye,’alisema Jaji Mzuna.
 
Baada ya kutoka nje ya mahakama, Lissu aliishukuru mahakama na kwa maamuzi sahihi hadi kushinda kesi hiyo,huku akisema haki ya mtu haipotei.
 
Aliondoka viwanja vya mahakama akisindikizwa na magari ya polisi, wakiongozwa na OCD wilaya, msululu wa magari ya wafuasi wa CHADEMA, waliojawa na furaha kuu tele, waki wilaya mpya ya Ikungi, kwa mkutano hadhara.
 
Naye mmoja wa wadai wa kesi hiyo, Shabani Itambu, alisema kwa kuwa kesi hiyo ni ya chama chake (CCM), atakutana na viongozi wake na wakili, wajue cha kufanya.Inatoka kwa Mjengwa.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...