Skip to main content

Mahakama Kuu Singida Yatupilia Mbali Madai Yote 11 Dhidi Ya Tundu Lissu



 Na Elisante John
Singida  
MAHAKAMA kuu kanda ya Dodoma imetupilia mbali kesi iliyofunguliwa na wanachama wawili wa CCM, kupinga ushindi uliompa ubunge wa Jimbo la Singida,Tundu Lissu (CHADEMA).
Akisoma hukumu hiyo, iliyochukua saa nne, Jaji Moses Mzuna wa Moshi, mkoani Kilimanjaro, alisema wadai wameshindwa kuthibitisha hoja 11 walizomtuhumu Lissu, msimamizi wa uchaguzi na mwanasheria wa Serikali.
Alisema, baada ya mashahidi 24 wa upande wa wadai kutoa ushahidi wao na wanne wa wadaiwa, ameona uchaguzi huo ulikuwa huru, haki na ulifuata taratibu zote, hivyo hauhitaji kutenguliwa.
Baada ya hukumu na Jaji kutoka mahakamani ,Lissu alishindwa kujizuia na alianza kulia huku akitoa machozi ya furah na kuwapa wakati mgumu,jamaa na wafuasi wa CHADEMA, kumbembeleza.
Baadhi ya wabunge wa CHADEMA waliokuwepo mahakamani kusikiliza hukumu hiyo ni Israel Natse-Karatu, Paulina Gekul na Rose Kamili wa viti maalumu, mkoa wa Manyara.
Wengine ni Christina Mughwai na Christowaja Mtinda, wote viti maalumu, mkoa Singida.
Kesi hiyo ilisikilizwa mfululizo kuanzia Machi 12, 2012, walalamikaji ni Shabani Selema Itambu na Pascal Masele Hallu, wakazi wa kijiji cha Mkiungu, Singida vijijini.
 
Wadai walitetewa na wakili Godfrey Wasonga, wa kampuni ya Wasonga $ Associates Advocates ya Dodoma, wakati Lissu alisimamia mwenyewe, akishirikiana na wanasheria watatu wa serikali, Vicent Tangoh, Juma Ramadhani na Abdallah Chavula.
   
“Matakwa ya wananchi yaweza kuheshimiwa….kupepeta tu mdomo, bila ya kuwa na ushahidi wa kuthibitisha, ukitengua matokeo hivi hivi tu, wengi utawaharibia, siyo tu uchaguzi, bali hata maisha yao ya baadaye,’alisema Jaji Mzuna.
 
Baada ya kutoka nje ya mahakama, Lissu aliishukuru mahakama na kwa maamuzi sahihi hadi kushinda kesi hiyo,huku akisema haki ya mtu haipotei.
 
Aliondoka viwanja vya mahakama akisindikizwa na magari ya polisi, wakiongozwa na OCD wilaya, msululu wa magari ya wafuasi wa CHADEMA, waliojawa na furaha kuu tele, waki wilaya mpya ya Ikungi, kwa mkutano hadhara.
 
Naye mmoja wa wadai wa kesi hiyo, Shabani Itambu, alisema kwa kuwa kesi hiyo ni ya chama chake (CCM), atakutana na viongozi wake na wakili, wajue cha kufanya.Inatoka kwa Mjengwa.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...