Skip to main content

Mahakama Kuu Singida Yatupilia Mbali Madai Yote 11 Dhidi Ya Tundu Lissu



 Na Elisante John
Singida  
MAHAKAMA kuu kanda ya Dodoma imetupilia mbali kesi iliyofunguliwa na wanachama wawili wa CCM, kupinga ushindi uliompa ubunge wa Jimbo la Singida,Tundu Lissu (CHADEMA).
Akisoma hukumu hiyo, iliyochukua saa nne, Jaji Moses Mzuna wa Moshi, mkoani Kilimanjaro, alisema wadai wameshindwa kuthibitisha hoja 11 walizomtuhumu Lissu, msimamizi wa uchaguzi na mwanasheria wa Serikali.
Alisema, baada ya mashahidi 24 wa upande wa wadai kutoa ushahidi wao na wanne wa wadaiwa, ameona uchaguzi huo ulikuwa huru, haki na ulifuata taratibu zote, hivyo hauhitaji kutenguliwa.
Baada ya hukumu na Jaji kutoka mahakamani ,Lissu alishindwa kujizuia na alianza kulia huku akitoa machozi ya furah na kuwapa wakati mgumu,jamaa na wafuasi wa CHADEMA, kumbembeleza.
Baadhi ya wabunge wa CHADEMA waliokuwepo mahakamani kusikiliza hukumu hiyo ni Israel Natse-Karatu, Paulina Gekul na Rose Kamili wa viti maalumu, mkoa wa Manyara.
Wengine ni Christina Mughwai na Christowaja Mtinda, wote viti maalumu, mkoa Singida.
Kesi hiyo ilisikilizwa mfululizo kuanzia Machi 12, 2012, walalamikaji ni Shabani Selema Itambu na Pascal Masele Hallu, wakazi wa kijiji cha Mkiungu, Singida vijijini.
 
Wadai walitetewa na wakili Godfrey Wasonga, wa kampuni ya Wasonga $ Associates Advocates ya Dodoma, wakati Lissu alisimamia mwenyewe, akishirikiana na wanasheria watatu wa serikali, Vicent Tangoh, Juma Ramadhani na Abdallah Chavula.
   
“Matakwa ya wananchi yaweza kuheshimiwa….kupepeta tu mdomo, bila ya kuwa na ushahidi wa kuthibitisha, ukitengua matokeo hivi hivi tu, wengi utawaharibia, siyo tu uchaguzi, bali hata maisha yao ya baadaye,’alisema Jaji Mzuna.
 
Baada ya kutoka nje ya mahakama, Lissu aliishukuru mahakama na kwa maamuzi sahihi hadi kushinda kesi hiyo,huku akisema haki ya mtu haipotei.
 
Aliondoka viwanja vya mahakama akisindikizwa na magari ya polisi, wakiongozwa na OCD wilaya, msululu wa magari ya wafuasi wa CHADEMA, waliojawa na furaha kuu tele, waki wilaya mpya ya Ikungi, kwa mkutano hadhara.
 
Naye mmoja wa wadai wa kesi hiyo, Shabani Itambu, alisema kwa kuwa kesi hiyo ni ya chama chake (CCM), atakutana na viongozi wake na wakili, wajue cha kufanya.Inatoka kwa Mjengwa.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.