Skip to main content

KOFFI OLOMIDE APATA KIBALI CHA KUIMBA NYIMBO ZA TABU LEY


Baada ya Concert yake iliyofana ya Koffi Chante Tabu Ley na Koffi chante Lutumba mwanamuziki nguli Koffi Olomide ameomba ruhusa kwa watoto na familia ya marehemu Franko Luambo Luanzo Makiadi ili aweze kupiga Concert na huku akiimba nyimbo za mwanamuziki huyo mahiri aliyetamba na bendi ya T.P Ok Jazz
Koffi amesema kuwa kutokana na Matukio yaliyojiri kwa wanamuziki wa Congo waliokuwa wakim support Rais Kabila huko Europe ameamua kuongeza show zake nchini Congo na anataka awaridhishe mashabiki wake kwa kuwapa ladha na kile kitu roho inapenda.
Akiongea na Digital Congo Koffi amesema kuwa anajiimarisha kwenye ziara za Africa zaidi kwa mwaka huu ambapo amepanga kufanya maonyesho kadhaa.
Kwa mujibu wa habari ambazo zimetolewa na Koffi mwenyewe anasema kuwa amepanga onyesho hilo la kumuenzi Luambo limepangwa kufanyika July 7, 2012, kwenye bwawa la kuogelea la Hoteli maarufu ya The Grand huko Kinshasa.Koffi amesema kuwa mazungumzo yameshafanywa ya awali na tayari familia ya marehemu iliwakilishwa na Emongo ambaye anasema kuwa alimuandikia yeye binafsi na kumuomba aziimbe hizo nyimbo za marehemu baba yao na mazungumzo yakaanzia hapo.Haikuwa jitihada zangu bali ni wanafamilia ya Mareemu hasa baada ya kuona picha na video za show ya Simaro Lutumba na Tabu Ley.
“Nisingeweza kukataa nafasi hiyo adhimu ya kuiimba sauti ya yule mzee kwakweli hata ungekuwa wewe ndio mwenye kipaji kama changu usingekataa aliongeza Koffi”...Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.