Skip to main content

Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Charles Mwijage amezindua mpango mkakati wa Baraza la nafaka la nchi za ukanda wa Afrika Mashariki(EAGC

Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Bw. Charles Mwijage 
jana amezindua mpango mkakati wa Baraza la nafaka la nchi za 
ukanda wa Afrika Mashariki(EAGC)Uku lengo la mkutano  ukiwa ni
kuimarisha uhusiano wa kibiashara,kuongeza kiasi cha mauzo  
yatakayoweza kuuzwa nchi za ng'ambo  na kuboreshwa mazingira
mazuri ya biashara kati ya nchi hizo zenye ujumla wa takribani 10. 



Hayo yalisemwa Dar es Salaam jana na Bw. Charles Mwijage wakati wa
Mkutano huo wadau wa nchi hizo uliowalenga wakulima,wazalishaji pamoja na 
wasindikaji katika ukanda huo.

Alisema zao la Mbaazi limekuwa na soko kubwa katika nchini za Uarabuni
na Ulaya ambapo juhudi kubwa zimenza kuelekezwa huko pamoja na soko
lingine lenye wakazi wengi wenye asili ya Kihindi.

"Kwa sasa mpango mkakati ni kujihakikishia kuwa na soko kubwa zaidi
katika nchi za ng'ambo ambapo huu ni mkakati wa kunzia 2018 hadi kufikia
2022,"alisema Waziri Mwijage.

Mwijage alisema kuwa mpango wa EAGC kwa sasa utakuwa wenyetija
kubwa kutokana na mipango yake kuendelea kukua katika utaratibu
wa mkakati huo.


Kuhusu nchini Tanzania alisema kuwa mipango inaendelea vyema
katika taratibu za ukuaji wa kilimo ambapo ameitaja Aprili 30
mwaka huu Waziri Mkuu. Majaliwa Kassim Majaliwa atazindua ujenzi
wa magala ya chakula Mkoani Dodoma.

Ambapo Waziri huyo ameeleza kuwa ukikamilika utakuwa umeweza
kusababisha kuondoa woga wa nchi yetu kwa wakulima kuuza
nafaka zao nje ya mipaka tofauti na hali ya wakulima kwa soko
la mipakani kwa sasa. 

"Kuwa na bajeti ndogo katika suala la kilimo napo kunaweza kuwa
chanzo cha kutopeleka mbele juhudi za kufikia malengo makubwa 
ya kilimo ,"alisema Waziri Mwijage.


Alisema ujenzi wa magala katika maeneo maeneo mbali mbali kwa
sasa ni mipango ya serikali kujenga magala hayo kwani yatasaidia
sana kujua wingi wa chakula nchini kwani katika Afrika Mashariki
katika miezi tisa kila mwaka,lazima huwa linatokea eneo fulani kupata
njaa.

Nye Mkurugenzi Mtendaji wa Baraza la nafaka la nchi za ukanda wa Afrika
Mashariki(EAGC),Gerald Masila alisema taasisi hiyo imekaa kwa zaidi
ya miaka 9 hadi sasa kwa hiyo hatua za kufikia malengo makubwa ni
za mihimu wanataka kuwa na nafasi kubwa ng'ambo.

"Tanzania Kenya huwa ni wanunuzi wakubwa wa zao la nafaka EAGC 
wamekuwa wakimpambania mkulima pia kuuza mazao yake,"alisema Masila.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.