Skip to main content

Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Charles Mwijage amezindua mpango mkakati wa Baraza la nafaka la nchi za ukanda wa Afrika Mashariki(EAGC

Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Bw. Charles Mwijage 
jana amezindua mpango mkakati wa Baraza la nafaka la nchi za 
ukanda wa Afrika Mashariki(EAGC)Uku lengo la mkutano  ukiwa ni
kuimarisha uhusiano wa kibiashara,kuongeza kiasi cha mauzo  
yatakayoweza kuuzwa nchi za ng'ambo  na kuboreshwa mazingira
mazuri ya biashara kati ya nchi hizo zenye ujumla wa takribani 10. 



Hayo yalisemwa Dar es Salaam jana na Bw. Charles Mwijage wakati wa
Mkutano huo wadau wa nchi hizo uliowalenga wakulima,wazalishaji pamoja na 
wasindikaji katika ukanda huo.

Alisema zao la Mbaazi limekuwa na soko kubwa katika nchini za Uarabuni
na Ulaya ambapo juhudi kubwa zimenza kuelekezwa huko pamoja na soko
lingine lenye wakazi wengi wenye asili ya Kihindi.

"Kwa sasa mpango mkakati ni kujihakikishia kuwa na soko kubwa zaidi
katika nchi za ng'ambo ambapo huu ni mkakati wa kunzia 2018 hadi kufikia
2022,"alisema Waziri Mwijage.

Mwijage alisema kuwa mpango wa EAGC kwa sasa utakuwa wenyetija
kubwa kutokana na mipango yake kuendelea kukua katika utaratibu
wa mkakati huo.


Kuhusu nchini Tanzania alisema kuwa mipango inaendelea vyema
katika taratibu za ukuaji wa kilimo ambapo ameitaja Aprili 30
mwaka huu Waziri Mkuu. Majaliwa Kassim Majaliwa atazindua ujenzi
wa magala ya chakula Mkoani Dodoma.

Ambapo Waziri huyo ameeleza kuwa ukikamilika utakuwa umeweza
kusababisha kuondoa woga wa nchi yetu kwa wakulima kuuza
nafaka zao nje ya mipaka tofauti na hali ya wakulima kwa soko
la mipakani kwa sasa. 

"Kuwa na bajeti ndogo katika suala la kilimo napo kunaweza kuwa
chanzo cha kutopeleka mbele juhudi za kufikia malengo makubwa 
ya kilimo ,"alisema Waziri Mwijage.


Alisema ujenzi wa magala katika maeneo maeneo mbali mbali kwa
sasa ni mipango ya serikali kujenga magala hayo kwani yatasaidia
sana kujua wingi wa chakula nchini kwani katika Afrika Mashariki
katika miezi tisa kila mwaka,lazima huwa linatokea eneo fulani kupata
njaa.

Nye Mkurugenzi Mtendaji wa Baraza la nafaka la nchi za ukanda wa Afrika
Mashariki(EAGC),Gerald Masila alisema taasisi hiyo imekaa kwa zaidi
ya miaka 9 hadi sasa kwa hiyo hatua za kufikia malengo makubwa ni
za mihimu wanataka kuwa na nafasi kubwa ng'ambo.

"Tanzania Kenya huwa ni wanunuzi wakubwa wa zao la nafaka EAGC 
wamekuwa wakimpambania mkulima pia kuuza mazao yake,"alisema Masila.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...