Skip to main content

Imesisi titwa kujiwekea mazoea kutembelea kutembelea maeneo pamoja na nyumba zenye historia



Picha ya Mussa Khalid
sehemu ya Mbele ya Nyumba ya Makumbusho ya Mwalimu Julius Nyerere
Picha ya Mussa Khalid
Nyumba ya Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere


Watanzania wametakiwa kujiwekea mazoea kutembelea maeneo pamoja  na nyumba zenye historia ili kuweza kufahamu historia ya nchini hususani Nyumba ya kumbukizi ya Mwalimu Nyerere.

Leo Arpili 6,2018 nimefika mpaka Magomeni  jijini Dar es salaam sehemu iliyopo Nyumba hiyo ambapo nimezungungumza na Mhifadhi Mkuu wa Nyumba Kumbukizi ya Mwalimu Nyerere,Neema Mbwana  ambapo amesema nyumba hiyo imesheheni historia mbalimbali zitakazosaidia watu kufanya utalii.

Aidha Mhifadhi Neema amesema wanakumbana na changamoto kutokana na watanzania kutokuwa na muamko wa kwenda kufanya utalii kwenye nyumba hiyo ili kuweza kujifunza pamoja na kuyatizama matukio mbalimbali ya kihistoria aliyoyafanya Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.

Amewataka watanzania kufika kwenye nyumba hiyo kwani wataweza kufahamu historia kamili ya nchi yao ikiwemo kujionea baadhi ya vitu ambavyo alikuwa kivitumia wakati wa uhai wake.

Nyumba ya Mwalimu Nyerere ilijengwa mwaka 1959 ambapo ilikuwaKingine ambacho kinaifanya nyumba hii kuwa ya kihistoria ni pamoja na kuwa alijinyima wakati akijenga, aliishi kwa muda wa miezi minane tu kabla ya kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanganyika Januari 1, 1960.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.