Skip to main content

Dkt. Tulia Ackson azungumza na wanafunzi wa vyuo na sekondari





NAIBU Spika  wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson
leo amewahasa wanafunzi wa elimu ya juu pamoja na wanafunzi wa shule za
sekondari kujituma katika masomo yao kwa kuzingatia malengo
sahihi masomoni.
 Dkt. Tulia Naibu Spika  wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Hayo ameyasema ndani ya ukumbi wa Nkrumah wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na 
 Dkt. Tulia wakati uzinduz rasmi wa programu maalumu inayohusu maisha ya wanafunzi 
vyuoni (University Life Campus) maarufu kama UNILIFE CAMPUS.

Alisema kawaida ya mtu mwenye uwezo dhidi ya mwengine ni yule anaye jituma
hivyo mwanafunzi anatakiwa awena bidii katika masomo na katika hatua
zingine za mazingira anayoishi.

"Mkizingatia nidhamu ni dhahili mtakuwa umefikiria zaidi muda kwani ukiweza
kupangilia na kwendana na muda mambo mengi yatakuwa yameendana na wakati,
na pia wasifanye shughuli nyingine ambayo aihusiani na muda huo waliojipangia,"
alisema Dkt. Tulia.


Dkt. Tulia alisema nidhamu na kutunza muda mutu uweza kuukomboa kama ukiwa 
na nidhamu wanafunzi wasichezee wakati wajitume kwani kuwa na bidii shuleni,
bidii hiyo uendelea ata watakapokuwa ofisini na kusisi tiza kuwa kila
jambo walifanyalo katika maisha yao wanatakiwa kulifanya kwa bidii nakuwa 
miongoni mwa watanzania wenye nafasi kubwa ya kupata ajira.



kuhusiana na masuala ya wanafunzi kupata ajira anasema kuwa wasikae
kwa kusubilia ajira bali wanaomaliza chuo wanatakiwa kuanza kujibidiisha
katika kazi mbali mbali na kutolea mfano kuwa ata yeye alipo maliza
shule ya msingi wakati akisubilia matokeo alianza kuuza mchicha na
alipokua akisubilia matokea yake ya sekondari alijihusisha na
biashara ya kuuza mandazi.

Mhe Esther Michael Mmasi, Mbunge anaewakilisha vyuo vikuu nchini katika Bunge 
la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania muanzilishi rasmi wa programu hiyo yake,
maalumu inayohusu maisha ya wanafunzi vyuoni.

Kwa upande wake anasema elimu ya kujitambua na kujiamini ikiwemo 
kutumia elimu yao itawezesha kutambua fursa mbali mbali zinazowanguka.


Huku Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Utafiti Prof.Cuthbert Z.MKimambo
akisifia ujio wa University Life Campus katika siku ya leo chuoni hapo 
ambapo alibainisha programu hiyo ni nzuri kwa wanafunzi.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.