Skip to main content

Dkt. Tulia Ackson azungumza na wanafunzi wa vyuo na sekondari





NAIBU Spika  wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson
leo amewahasa wanafunzi wa elimu ya juu pamoja na wanafunzi wa shule za
sekondari kujituma katika masomo yao kwa kuzingatia malengo
sahihi masomoni.
 Dkt. Tulia Naibu Spika  wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Hayo ameyasema ndani ya ukumbi wa Nkrumah wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na 
 Dkt. Tulia wakati uzinduz rasmi wa programu maalumu inayohusu maisha ya wanafunzi 
vyuoni (University Life Campus) maarufu kama UNILIFE CAMPUS.

Alisema kawaida ya mtu mwenye uwezo dhidi ya mwengine ni yule anaye jituma
hivyo mwanafunzi anatakiwa awena bidii katika masomo na katika hatua
zingine za mazingira anayoishi.

"Mkizingatia nidhamu ni dhahili mtakuwa umefikiria zaidi muda kwani ukiweza
kupangilia na kwendana na muda mambo mengi yatakuwa yameendana na wakati,
na pia wasifanye shughuli nyingine ambayo aihusiani na muda huo waliojipangia,"
alisema Dkt. Tulia.


Dkt. Tulia alisema nidhamu na kutunza muda mutu uweza kuukomboa kama ukiwa 
na nidhamu wanafunzi wasichezee wakati wajitume kwani kuwa na bidii shuleni,
bidii hiyo uendelea ata watakapokuwa ofisini na kusisi tiza kuwa kila
jambo walifanyalo katika maisha yao wanatakiwa kulifanya kwa bidii nakuwa 
miongoni mwa watanzania wenye nafasi kubwa ya kupata ajira.



kuhusiana na masuala ya wanafunzi kupata ajira anasema kuwa wasikae
kwa kusubilia ajira bali wanaomaliza chuo wanatakiwa kuanza kujibidiisha
katika kazi mbali mbali na kutolea mfano kuwa ata yeye alipo maliza
shule ya msingi wakati akisubilia matokeo alianza kuuza mchicha na
alipokua akisubilia matokea yake ya sekondari alijihusisha na
biashara ya kuuza mandazi.

Mhe Esther Michael Mmasi, Mbunge anaewakilisha vyuo vikuu nchini katika Bunge 
la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania muanzilishi rasmi wa programu hiyo yake,
maalumu inayohusu maisha ya wanafunzi vyuoni.

Kwa upande wake anasema elimu ya kujitambua na kujiamini ikiwemo 
kutumia elimu yao itawezesha kutambua fursa mbali mbali zinazowanguka.


Huku Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Utafiti Prof.Cuthbert Z.MKimambo
akisifia ujio wa University Life Campus katika siku ya leo chuoni hapo 
ambapo alibainisha programu hiyo ni nzuri kwa wanafunzi.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...