Skip to main content

BALAA ZA MVUA ZINAZONYEESHA JIJINI DAR






Na Francis Peter



JESHI la Polisi nchini limesema watu 9 wamefariki kutokana na mvua 
zinazoendelea  kunyesha katika maeneo  mbali mbali ya jiji la Dar es 
Salaam.
Kamandawa kanda maalum ya Dar es salaam Lazaro Mambosasa 

Hayo yamesemwa  jijini hapa jana na  kamanda wa Polisi kanda maaalum ya 
Dar es Salaam SACP Lazaro Mambosasa alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari
ambapo alisema Aprili 14 majira ya 21:45  huko maeneo ya Segerea mataa wa
mjimwema  watu wawili  ambao ni Grace au mama Elias (30) na Abdulrazak Ally
(4) wamefariki baada ya kuangukiwa  na uzio wa ukuta wakati wamelala  ndani ya
nyumba.

Alisema ukuta huo wa uzio wa nyumba uliangukia nyumba ya  ya vyumba  vitano inayokaliwa
na wapangaji ambapo katika tukio hilo watu  wanne walijeruhiwa  na kupelekwa
hospitali ya amana  kwa matibabu.

"Miili ya marehemu ilipelekwa  hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa hifadhi na pia
mnamo Aprili 2018 majira ya saa 22:20 huko maeneo ya Gga Salasala nyumba ya chumba
kimoja ilianguka na kusababisha kifo cha mtu mmoja aitwaye Mikidadi Hija(44),"alisema
SACP Mambosasa.

SACP Mambosasa alisema katika tukio lingine  mnamo Aprili mwaka huu majira ya saa 13:00
huko maeneo ya  kigogo Mwanaidi  Seif (24) aliangukiwa na ukuta  wa nyumba  akiwa ndani
na kusambabisha  kifo.


Aidha Jeshi la Polisi limesema kuwa mnamo Aprili 15 mwaka huu majira ya saa 16:00 huko
maeneo ya Temeke Sadick Ally (36)aliteleza  na kutumbukia katika daraja la mto Kizinga
lililokuwa limejaa maji na kusababisha kifo ambapo jitihada za kuutafuta  mwili wa marehemu
bado zinaendelea.


Pia SACP Mambosasa aliendelea kupambanua katika taarifa hiyake kuwa mnamo Aaprili 
16 mwaka huu majira ya saa 05:45 maeno ya Mbagala  misheni mtu mmoja Nasri Ally Haji 9
mwanafunzi wa shule ya msingi Bbokorani alifariki baada ya kuangukiwa na ukuta wa 
nyumba akiwa amelala.

Vile vile kamanda huyo wa Polisi Kanda maalum Dar es Salaam alisema kuwa mnamo
Aprili 15  majira ya saa 11:00 mwaka huu huko Kinyerezi  kwenye  bonge la mto
Kinyerezi mtu mmoja  wenye jinsia ya kiume ambaye jina lake halikufahamika,
anaye kadiriwa  kuwa na umri wa miaka 25 hadi 35 alikutwa amekufa  kutokana na
kusombwa na maji.

Taarifa hiyo ya mvua zinazoendele kunyesha jijini Dar es Salaam zimeeleza kuwa
mtu mmoja jinsia  ya kiume ambaye jina lake halikufahamika anayekadiriwa kuwa
na umri kati ya miaka 25 hadi 35 alikutwa amekufa huko Kawe Mezi Beach A, baada ya
kusombwa na maji ambapo mwili huo umehifadhiwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.


Hli hiyo ya mwendelezo wa mvua imetaja kuwa Aprili 16 mwaka huu huko Kawe Salasala
Amina Said (28) amefariki baada ya kuangukiwa  na ukuta wa nyumba akiwa amelala nyumbani
kwake.


wakati huo huo taarifa ya Kikosi Cha Usalama Bara Barani Kanda Maalum ya 
ukamataji wa makosa ya barabarani kuanzia Machi 30 mwaka huu  hadi  Aprili 12 mwaka
huu kimetaja idadi ya magari yaliyokamatwa kuwa ni 32,361  ambapo idadi ya Pikipiki
zilizo kamatwa ni 906 huku Dala Dala zikiwa ni 12,321 magari mengine binafsi na Malori
ni 20,040.

Bodaboda  zilizofikishwa mahakamani kwa makosa ya kutovaa helment na kupakia mshikaki
zimetajwa kuwa ni 60  na kuwa jumla ya makosa yaliyokamatwa  ni 35,115 ambapo
fedha na tozo zilizopatikana ni 1,053,450,000/=.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.