Skip to main content

BALAA ZA MVUA ZINAZONYEESHA JIJINI DAR






Na Francis Peter



JESHI la Polisi nchini limesema watu 9 wamefariki kutokana na mvua 
zinazoendelea  kunyesha katika maeneo  mbali mbali ya jiji la Dar es 
Salaam.
Kamandawa kanda maalum ya Dar es salaam Lazaro Mambosasa 

Hayo yamesemwa  jijini hapa jana na  kamanda wa Polisi kanda maaalum ya 
Dar es Salaam SACP Lazaro Mambosasa alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari
ambapo alisema Aprili 14 majira ya 21:45  huko maeneo ya Segerea mataa wa
mjimwema  watu wawili  ambao ni Grace au mama Elias (30) na Abdulrazak Ally
(4) wamefariki baada ya kuangukiwa  na uzio wa ukuta wakati wamelala  ndani ya
nyumba.

Alisema ukuta huo wa uzio wa nyumba uliangukia nyumba ya  ya vyumba  vitano inayokaliwa
na wapangaji ambapo katika tukio hilo watu  wanne walijeruhiwa  na kupelekwa
hospitali ya amana  kwa matibabu.

"Miili ya marehemu ilipelekwa  hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa hifadhi na pia
mnamo Aprili 2018 majira ya saa 22:20 huko maeneo ya Gga Salasala nyumba ya chumba
kimoja ilianguka na kusababisha kifo cha mtu mmoja aitwaye Mikidadi Hija(44),"alisema
SACP Mambosasa.

SACP Mambosasa alisema katika tukio lingine  mnamo Aprili mwaka huu majira ya saa 13:00
huko maeneo ya  kigogo Mwanaidi  Seif (24) aliangukiwa na ukuta  wa nyumba  akiwa ndani
na kusambabisha  kifo.


Aidha Jeshi la Polisi limesema kuwa mnamo Aprili 15 mwaka huu majira ya saa 16:00 huko
maeneo ya Temeke Sadick Ally (36)aliteleza  na kutumbukia katika daraja la mto Kizinga
lililokuwa limejaa maji na kusababisha kifo ambapo jitihada za kuutafuta  mwili wa marehemu
bado zinaendelea.


Pia SACP Mambosasa aliendelea kupambanua katika taarifa hiyake kuwa mnamo Aaprili 
16 mwaka huu majira ya saa 05:45 maeno ya Mbagala  misheni mtu mmoja Nasri Ally Haji 9
mwanafunzi wa shule ya msingi Bbokorani alifariki baada ya kuangukiwa na ukuta wa 
nyumba akiwa amelala.

Vile vile kamanda huyo wa Polisi Kanda maalum Dar es Salaam alisema kuwa mnamo
Aprili 15  majira ya saa 11:00 mwaka huu huko Kinyerezi  kwenye  bonge la mto
Kinyerezi mtu mmoja  wenye jinsia ya kiume ambaye jina lake halikufahamika,
anaye kadiriwa  kuwa na umri wa miaka 25 hadi 35 alikutwa amekufa  kutokana na
kusombwa na maji.

Taarifa hiyo ya mvua zinazoendele kunyesha jijini Dar es Salaam zimeeleza kuwa
mtu mmoja jinsia  ya kiume ambaye jina lake halikufahamika anayekadiriwa kuwa
na umri kati ya miaka 25 hadi 35 alikutwa amekufa huko Kawe Mezi Beach A, baada ya
kusombwa na maji ambapo mwili huo umehifadhiwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.


Hli hiyo ya mwendelezo wa mvua imetaja kuwa Aprili 16 mwaka huu huko Kawe Salasala
Amina Said (28) amefariki baada ya kuangukiwa  na ukuta wa nyumba akiwa amelala nyumbani
kwake.


wakati huo huo taarifa ya Kikosi Cha Usalama Bara Barani Kanda Maalum ya 
ukamataji wa makosa ya barabarani kuanzia Machi 30 mwaka huu  hadi  Aprili 12 mwaka
huu kimetaja idadi ya magari yaliyokamatwa kuwa ni 32,361  ambapo idadi ya Pikipiki
zilizo kamatwa ni 906 huku Dala Dala zikiwa ni 12,321 magari mengine binafsi na Malori
ni 20,040.

Bodaboda  zilizofikishwa mahakamani kwa makosa ya kutovaa helment na kupakia mshikaki
zimetajwa kuwa ni 60  na kuwa jumla ya makosa yaliyokamatwa  ni 35,115 ambapo
fedha na tozo zilizopatikana ni 1,053,450,000/=.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...