Skip to main content

CHUO CHA TAIFA CHA UTALII CHAANDAA SIKU YA TAALUMA


Picha ya Mussa Khalid
Kaimu Mkurugenzi wa Mafunzo na shughuli za kitaalam katika chuo hicho,Stephen Madenge akizungumzia kuelekea 
siku ya taalum.

Ili kuendelea kukuza ukuzaji wa sekta ya utalii na ajira nchini,Chuo 
cha Taifa cha Utalii kimeandaa tamasha la siku ya taaluma lenye ujumbe 
wa fursa za Ajira kwa vijana kupitia taaluma ya Ukarimu na utalii.

Hayo yameelezwa leo na Kaimu Mkurugenzi wa Mafunzo na shughuli za 
kitaalam katika chuo hicho,Stephen Madenge wakati akikzungumza na
 waandishi wa habari jijini Dar es salaam,ambapo amesema lengo ni 
kuhakikisha wanawaleta wadau mbalimbali karibu kupitia sekta ya utalii.

Magenge amesema sekta ya utalii nchini haijapungua kwani imeendelea kufanya 
vizuri kwa kuweza  kujipatia watalii ukilinganisha na nchi zinazozunguka 
Afrika Mashariki hivyo wataendelea kutoa elimu ya utalii kwa watanzania.

"Kwa kutumia tamasha hili wanafunzi wataonesha kwa vitendo uhodari wa taaluma
 zitolewazo chuoni ikiwa ni pamoja na Live Cooking,Cocktail na pastry product
 makini,wine testing and testing preparatioin lakini pamoja na hayo kutakuwa
 na uwasilishwaji wa mada za ukarimu na utalii kutoka kwa wataalamu mahiri wa
 sekta ya ukarimu na utalii wa hapa nchini"amesem Mkurugenzi Madenge

Amesema kupitia tamasha hilo wanategemea kuwaunganisha na kuwaleta kwa 
pamoja wadau mbalimbali wa chuo kama hotel,kampuni za kitalii,banki,kampuni
 za mawasiliano,taasisi,idara na wizara mbalimbali wanafunzi wa shule za 
sekondari,wazazi na jamii kwa ujumla.

Kwa upande wake Mratibu wa tamasha hilo la siku ya Taaluma Eunice Ulomi 
amesema wataendelea kuwafundisha wanafunzi elimu ya utalii ikiwemo ya
 utamaduni ili kuweza kutangaza asili ya mtanzania jambo litakalosaidia 
kuwavutia watalii.

Martina Hagweti ni Mkuu wa kampasi ya Temeke jijini hapa amesema 
wanawahamasisha watanzania kuwa na dhana ya kujiewekea mazoea ya 
kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo nchini ili kuifahamu nchi yao.

Chuo cha Taifa cha Utalii (NCT) ni wakala uliopo chini ya Wizara ya 
Maliasili na Utalii wenye dhamana ya kutoa mafunzo ya ukarimu na utalii 
nchini lakini pia kinatoa ushauri wa kufanya tafiti katika fani ya ukarimu
 na utalii na hivyo tamasha ya siku ya taaluma linatarajiwa kufanyika tar 
27/4 mwaka huu ambapo mgeni anatarajiwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili
 na Utalii Generali Gaudence Milanzi.


Baadhi ya masomo ya kuendelea kukuza ukuzaji wa sekta ya utalii 
na ajira nchini yanayotajwa kutolewa na chuo hicho ni  . 
CERTIFICATE COURSE IN HOTEL MANAGEMENT (miezi 9)ambapo kozi zakeni
1.1. Accomodation Operation.1.2 Front Office Operation,1.3. Food and Beverage
 Services,1.4 Introduction to Tourism kwa ada nafuu ya Tsh. 800,000/=

Mambo mengine katika masomo ni pamja na  2.0 HOUSE KEEPING MANAGEMENT 
(mwezi mmoja ). kwa ya Tsh 100,000/=,3.0 CERTIFICATE COURSE IN 
TOURISM MANAGEMENT (miezi 9).

Kozi zingine zimetajwa kuwa ni Introduction to Tourism  3.1, Travel and Air 
Ticketing 3.2, Tour Planning 3.3.pamoja na  Customer care 3.4,Communication 
skills 3.5 kwa ada ya Tsh.700,000/=.




Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.