Skip to main content

Soma hapa mtoto ni haki ya wazazi au ndugu wa karibu wa baba au mama kuchagua jina walipendalo


Wakati dunia nzima ikiamini kuwa jina la mtoto ni haki ya wazazi au ndugu wa karibu wa baba au mama  kuchagua jina walipendalo, Hii ni tofauti kabisa na wanandoa wawili mjini Toulouse nchini Ufaransa ambao wamejikuta wakifikishwa kwa pilato kwa kumbatiza mtoto wao wa kiume jina la ‘JIHAD’ na kuamriwa kufuta jina hilo kwenye cheti cha kuzaliwa cha mtoto wao na kumbatiza upya.
Tokeo la picha la a beatiful black baby muslim
Uamuzi huo uliofanywa na Mahakama mjini Toulouse umekuja baada ya askari polisi mjini humo kubaini jina la mtoto huyo la ‘JIHAD’ ni jina litakaloharibu maisha ya mtoto huyo baadaye na usalama wa taifa. Na kuamua kuwapeleka wazazi hao mahakamani kujibu mashtaka baada ya kufanya nao mahojiano kwa miezi kadhaa.
Wazazi hao walifikishwa mahakamani mjini Toulouse wiki iliyopita kwa kumbatiza mtoto majina ambayo yamekatazwa kutumika nchini humo na polisi kwa sababu za kiusalama. Mfano wa majina hayo ni Nutella, Fraise na mengine unaweza kusoma zaidi HAPA .
Mahakama hiyo imewaamuru wazazi hao kufuta jina hilo kwenye cheti cha kuzaliwa cha mtoto huyo na kumbatiza ‘JAHID’ badala ya jina la ‘JIHAD’ kama wangependa kufanya hivyo.
Kwa mujibu wa mtandao wa Local.fr tayari wazazi hao jana Aprili 16, 2018 walikubaliana na ombi la Mahakama kubadilisha jina hilo na tayari mtoto kasajiliwa kwa jina Jahid.
Hii sio kesi ya kwanza nchini Ufaransa kwa wazazi kukamatwa na polisi kisha kufikishwa mahakamani kwa kuwabatiza watoto wao majina ya kichochezi au yenye kushabihiana na uvunjifu wa amani, ambapo mwaka 2013 mzazi mmoja mjini Roubaix aliyembatiza mtoto wake jina la JIHAD na kisha kumvalisha fulana yenye maandishi yaliyosomeka ‘Je suis une bombe’ yaani ‘Mimi ni bomu’, kufungwa jela mwezi mmoja na kulipa faini ya dola $2,000 kwa kuchochea uhalifu.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.