Skip to main content

Soma hapa mtoto ni haki ya wazazi au ndugu wa karibu wa baba au mama kuchagua jina walipendalo


Wakati dunia nzima ikiamini kuwa jina la mtoto ni haki ya wazazi au ndugu wa karibu wa baba au mama  kuchagua jina walipendalo, Hii ni tofauti kabisa na wanandoa wawili mjini Toulouse nchini Ufaransa ambao wamejikuta wakifikishwa kwa pilato kwa kumbatiza mtoto wao wa kiume jina la ‘JIHAD’ na kuamriwa kufuta jina hilo kwenye cheti cha kuzaliwa cha mtoto wao na kumbatiza upya.
Tokeo la picha la a beatiful black baby muslim
Uamuzi huo uliofanywa na Mahakama mjini Toulouse umekuja baada ya askari polisi mjini humo kubaini jina la mtoto huyo la ‘JIHAD’ ni jina litakaloharibu maisha ya mtoto huyo baadaye na usalama wa taifa. Na kuamua kuwapeleka wazazi hao mahakamani kujibu mashtaka baada ya kufanya nao mahojiano kwa miezi kadhaa.
Wazazi hao walifikishwa mahakamani mjini Toulouse wiki iliyopita kwa kumbatiza mtoto majina ambayo yamekatazwa kutumika nchini humo na polisi kwa sababu za kiusalama. Mfano wa majina hayo ni Nutella, Fraise na mengine unaweza kusoma zaidi HAPA .
Mahakama hiyo imewaamuru wazazi hao kufuta jina hilo kwenye cheti cha kuzaliwa cha mtoto huyo na kumbatiza ‘JAHID’ badala ya jina la ‘JIHAD’ kama wangependa kufanya hivyo.
Kwa mujibu wa mtandao wa Local.fr tayari wazazi hao jana Aprili 16, 2018 walikubaliana na ombi la Mahakama kubadilisha jina hilo na tayari mtoto kasajiliwa kwa jina Jahid.
Hii sio kesi ya kwanza nchini Ufaransa kwa wazazi kukamatwa na polisi kisha kufikishwa mahakamani kwa kuwabatiza watoto wao majina ya kichochezi au yenye kushabihiana na uvunjifu wa amani, ambapo mwaka 2013 mzazi mmoja mjini Roubaix aliyembatiza mtoto wake jina la JIHAD na kisha kumvalisha fulana yenye maandishi yaliyosomeka ‘Je suis une bombe’ yaani ‘Mimi ni bomu’, kufungwa jela mwezi mmoja na kulipa faini ya dola $2,000 kwa kuchochea uhalifu.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...