Skip to main content

Dr Mwakyembe azindua Shindano la Miss Tanzania 2018

WAZIRI   wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe Dr Harrison Mwakyembe, ameyataka makampuni mbali mbali kujitokeza katika kudhamini
Shindano maarufu la Miss Tanzania 2018 .

Hayo yalisemwa na Dr Mwakyembe juzi usiku Katika uzinduzi wa shindano hilo katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa Dar es Salaam,alisema anashukuru  uongozi  wa Kampuni ya The Look  Company Limited  kwa  kumwalika  kuwa mgeni rasmi katika  usiku huo mwaka huu .

Alisema amefurahi kusikia  kwamba waandaaji  wa awali wa Miss Tanzania  kupitia  kampuni ya LINO International Agency  wameachia ngazi  na kupisha The Look  Company Limited inayoongozwa  na Bi Basila Mwanukuzi ambaye ni mwanadada aliyenyakua taji la urembo la Miss
Tanzania  mwaka 1998.

"Naomba sasa nichukue fursa hii kuyaomba tena Makampuni  mbali mbali kujitokeza  kwa wingi  kudhamini
mashindano haya , kama vile mabenki,kampuni za mawasiliano ya simu ,hoteli pamoja Wabunifu mali mbali
wa mavazi,"alisema Dr Mwakyembe.


Dr Mwakyembe alisema kuwa mbali na kuomba makampuni mbali mbali kujitokeza ataongea  na uongozi wa Shirika la ndege la Air Tanzania kutoangaika  kutafuta warembo  wa kuhudumia ndege zetu nchini  wakati tunao waliopitia chujio  gumu  la Miss Tanzania.


Aidha alisema Mrembo  wa Taifa atakayeshinda  shindano hilo, mwakahuu, mbalina kujihakikishia ajira
Air Tanzania,atawakilisha nchi katika mashindano ya  dunia  ya urembo na hivyo kulitangaza jina la nchi.

"Basilanakutakia mafanikio makubwa  na wathibitishie wote kuiletea sifa  na heshima  nchi yetu, wanaodhani  timu mpya  ya Miis Tanzania  ni nguvu ya soda  nyie  ni hapa kazi tu,"alisema Dr Mwakyembe.


Aliongeza kuwasema kuwa alielezwa kuwa miaka yanyuma Wizara yaUtalii Kupitia Bodi ya Utalii Tanzania,
Shirika la TANAPA,iliwahi kudhamini mashindano hayo kwa miaka miwili mfululizo mwaka 2009 na 2010 .

Ambapo alisema sasa ameviomba tena  vyombo  hivyo pamoja na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (ITC) kujitokeza  kuhamasisha  mashindano hayo na hivyo kujitangaza Tanzania kwa utalii na uwekezaji nchini.

Waziri huyo wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo alieleza kuwa amesikia kutoka kwa Mkurugenzi  wa TheLook  kuwa  mashindano hayo  yanahitaji  sana  kuungwa mkono na serikali , makampuni mbali mbali na wadhamini  wa kutosha  ili kuyafanya  yawe na kiwango cha Kimataifa na upande wa serikali tayari hakuna tatizo inawahakikishia ushirikiano  wa karibu kupitia BASATA.

Dkt. Mwakyembe ameshukuru pia  mchango wa muda mrefu  wa makampuni  makubwa  kama :"White sands Hotel, Kampuni  ya Sigara Tanzania (TCC);Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),Ocean Sandals,Vodacom Tanzania.

Pia aliyataja  makampuni mengine  kama Tanzanite one,D.T.DOBBIE,Paradise Hotel,Giraffe Hotel nakuwa 
kwa sasa ni wakati mwinginewa kuendelea kujitokeza tena kudhamini.






Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.