Skip to main content

Dr Mwakyembe azindua Shindano la Miss Tanzania 2018

WAZIRI   wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe Dr Harrison Mwakyembe, ameyataka makampuni mbali mbali kujitokeza katika kudhamini
Shindano maarufu la Miss Tanzania 2018 .

Hayo yalisemwa na Dr Mwakyembe juzi usiku Katika uzinduzi wa shindano hilo katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa Dar es Salaam,alisema anashukuru  uongozi  wa Kampuni ya The Look  Company Limited  kwa  kumwalika  kuwa mgeni rasmi katika  usiku huo mwaka huu .

Alisema amefurahi kusikia  kwamba waandaaji  wa awali wa Miss Tanzania  kupitia  kampuni ya LINO International Agency  wameachia ngazi  na kupisha The Look  Company Limited inayoongozwa  na Bi Basila Mwanukuzi ambaye ni mwanadada aliyenyakua taji la urembo la Miss
Tanzania  mwaka 1998.

"Naomba sasa nichukue fursa hii kuyaomba tena Makampuni  mbali mbali kujitokeza  kwa wingi  kudhamini
mashindano haya , kama vile mabenki,kampuni za mawasiliano ya simu ,hoteli pamoja Wabunifu mali mbali
wa mavazi,"alisema Dr Mwakyembe.


Dr Mwakyembe alisema kuwa mbali na kuomba makampuni mbali mbali kujitokeza ataongea  na uongozi wa Shirika la ndege la Air Tanzania kutoangaika  kutafuta warembo  wa kuhudumia ndege zetu nchini  wakati tunao waliopitia chujio  gumu  la Miss Tanzania.


Aidha alisema Mrembo  wa Taifa atakayeshinda  shindano hilo, mwakahuu, mbalina kujihakikishia ajira
Air Tanzania,atawakilisha nchi katika mashindano ya  dunia  ya urembo na hivyo kulitangaza jina la nchi.

"Basilanakutakia mafanikio makubwa  na wathibitishie wote kuiletea sifa  na heshima  nchi yetu, wanaodhani  timu mpya  ya Miis Tanzania  ni nguvu ya soda  nyie  ni hapa kazi tu,"alisema Dr Mwakyembe.


Aliongeza kuwasema kuwa alielezwa kuwa miaka yanyuma Wizara yaUtalii Kupitia Bodi ya Utalii Tanzania,
Shirika la TANAPA,iliwahi kudhamini mashindano hayo kwa miaka miwili mfululizo mwaka 2009 na 2010 .

Ambapo alisema sasa ameviomba tena  vyombo  hivyo pamoja na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (ITC) kujitokeza  kuhamasisha  mashindano hayo na hivyo kujitangaza Tanzania kwa utalii na uwekezaji nchini.

Waziri huyo wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo alieleza kuwa amesikia kutoka kwa Mkurugenzi  wa TheLook  kuwa  mashindano hayo  yanahitaji  sana  kuungwa mkono na serikali , makampuni mbali mbali na wadhamini  wa kutosha  ili kuyafanya  yawe na kiwango cha Kimataifa na upande wa serikali tayari hakuna tatizo inawahakikishia ushirikiano  wa karibu kupitia BASATA.

Dkt. Mwakyembe ameshukuru pia  mchango wa muda mrefu  wa makampuni  makubwa  kama :"White sands Hotel, Kampuni  ya Sigara Tanzania (TCC);Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),Ocean Sandals,Vodacom Tanzania.

Pia aliyataja  makampuni mengine  kama Tanzanite one,D.T.DOBBIE,Paradise Hotel,Giraffe Hotel nakuwa 
kwa sasa ni wakati mwinginewa kuendelea kujitokeza tena kudhamini.






Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...