Skip to main content

Wanafunzi 50 wa Chuo cha Taifa cha Utalii wapewa vyeti

Image result for chuo cha taifa cha utalii dar es salaam

Jumla ya wanafunzi 50 wa Chuo cha Taifa cha Utalii leo wawepewa vyeti vya kuhitimu mafunzo ya udereva pamoja na mafunzo ya upishi katika mahali yaliyofanyika jijini Dar es salaam.

Wanafunzi hao ambao wamehitimu hii leo mafunzo hayo,kati yao wanafunzi 25 wamejifunza mafunzo ya udereva huku 25 wengine wakijifunza mafunzo ya upishi.

Akizungumza Mgeni rasmi wa hafla hiyo Mkurugenzi wa Jiji la Dar es salaam Bi.Sipora Liana amesema wanafunzi hao ni vyema wakashirikiana na jiji ili kuweza kufanya kazi kwa pamoja katika kuendeleza sekta ya utalii.

Bi Sipora amesema mafunzo hayo ambayo wameyapata kwenye chuo hicho yatawasaidia katika shughuli mbalimbali za utalii lakini pia amewataka kujiendeleza kilugha ili kuweza kuendelea kutoa huduma bora.

Awali akizungumza  Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Chuo Cha Taifa Cha Utalii DK.Shogo Mlozi Sedoyeka amesema wataendelea kutoa mafunzo ya utalii kwa wanafunzi ikiwemo mafunzo ya ukarimu ili kuendelea kukuza sekta ya utalii nchini.

Kwa upande wao baadhi ya wahitimu wa mafunzo hayo wamekishukuru chuo Cha Taifa cha Utalii pamoja na Halmashauri ya jiji kwa kuweza kuwa na ushirikiano katika kuwapatia mafunzo.

Hata hivyo wanafunzi hao ambao wamepatiwa cheti hii leo wametakiwa kuendelea kuwa wazalendo kwa nchi yao katika kutangaza utalii huku akisema ni vyema wakawa walinzi wa utalii ili kuiletea nchi heshima.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.