Skip to main content

Maneno ya Samatta kwa Kichuya Kuelekea Simba Vs Yanga



SIKU chache kabla ya mchezo wa watani wa jadi, winga wa Simba, Shiza Kichuya, amepewa darasa la nguvu na Mtanzania anayecheza soka la kulipwa nchini Ubelgiji, Mbwana Samatta, ambalo linaweza kuleta ‘msiba’ kwa mashabiki wa Yanga wakati timu zao zitakapokutana Aprili 29, mwaka huu, kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Mchezo huo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, unaweza kutoa picha ya ubingwa, kwani timu itakayoshinda itakuwa na nafasi kubwa kutwaa taji hilo.
Akizungumza  Dar es Salaam juzi, Kichuya, aliyekuwa miongoni mwa wachezaji walioichezea timu ya Taifa, Taifa Stars, mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), alisema kuwa, baada ya kipute hicho, alifanya mazungumzo ya nguvu na Samatta, anayekipiga katika klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji.
Kichuya alisema mbali ya kupongezwa na Samatta kutokana na kiwango alichokionyesha katika mchezo huo, pia alitakiwa na mwenzake huyo kuongeza juhudi na heshima kwa makocha ili atimize malengo aliyojiwekea.
“Alitaka kujua mipango yangu katika soka, nilipomueleza, aliniambia niongeze juhudi uwanjani na heshima katika benchi la ufundi, kwani tayari nimeshaonyesha nina muda mfupi wa kuwapo Tanzania.
“Sitaweza kuweka kila kitu nilichozungumza naye, kwani mengine natakiwa kuyafanyia kazi, nimemuahidi kuyafanyia kazi yote aliyoniambia, yeye ni mkubwa kiumri, amenitangulia kucheza na pia ana mafanikio zaidi yangu, hivyo ushauri wake nitaufanyia kazi,” alisema.
Kutokana na ‘sumu’ aliyopewa na Samatta, Kichuya anaweza kucharuka kwa kufanya mazoezi kwa bidii mno, hali inayoweza kuziponza timu atakazokutana nazo hivi karibuni, ikiwamo Yanga.
Kichuya amekuwa miongoni mwa wachezaji wa Simba wanaoogopewa na timu pinzani, kutokana na cheche zake awapo uwanjani, zaidi ikiwa ni chenga, umahiri wake wa kupiga pasi na krosi murua za mabao, lakini pia kufunga.
Winga huyo timu yake ya Simba inapokutana na Yanga, amekuwa akiwaliza mara kwa mara watani wao hao wa jadi, tena akifunga mabao ya kiufundi mno.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...