Skip to main content

Maneno ya Samatta kwa Kichuya Kuelekea Simba Vs Yanga



SIKU chache kabla ya mchezo wa watani wa jadi, winga wa Simba, Shiza Kichuya, amepewa darasa la nguvu na Mtanzania anayecheza soka la kulipwa nchini Ubelgiji, Mbwana Samatta, ambalo linaweza kuleta ‘msiba’ kwa mashabiki wa Yanga wakati timu zao zitakapokutana Aprili 29, mwaka huu, kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Mchezo huo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, unaweza kutoa picha ya ubingwa, kwani timu itakayoshinda itakuwa na nafasi kubwa kutwaa taji hilo.
Akizungumza  Dar es Salaam juzi, Kichuya, aliyekuwa miongoni mwa wachezaji walioichezea timu ya Taifa, Taifa Stars, mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), alisema kuwa, baada ya kipute hicho, alifanya mazungumzo ya nguvu na Samatta, anayekipiga katika klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji.
Kichuya alisema mbali ya kupongezwa na Samatta kutokana na kiwango alichokionyesha katika mchezo huo, pia alitakiwa na mwenzake huyo kuongeza juhudi na heshima kwa makocha ili atimize malengo aliyojiwekea.
“Alitaka kujua mipango yangu katika soka, nilipomueleza, aliniambia niongeze juhudi uwanjani na heshima katika benchi la ufundi, kwani tayari nimeshaonyesha nina muda mfupi wa kuwapo Tanzania.
“Sitaweza kuweka kila kitu nilichozungumza naye, kwani mengine natakiwa kuyafanyia kazi, nimemuahidi kuyafanyia kazi yote aliyoniambia, yeye ni mkubwa kiumri, amenitangulia kucheza na pia ana mafanikio zaidi yangu, hivyo ushauri wake nitaufanyia kazi,” alisema.
Kutokana na ‘sumu’ aliyopewa na Samatta, Kichuya anaweza kucharuka kwa kufanya mazoezi kwa bidii mno, hali inayoweza kuziponza timu atakazokutana nazo hivi karibuni, ikiwamo Yanga.
Kichuya amekuwa miongoni mwa wachezaji wa Simba wanaoogopewa na timu pinzani, kutokana na cheche zake awapo uwanjani, zaidi ikiwa ni chenga, umahiri wake wa kupiga pasi na krosi murua za mabao, lakini pia kufunga.
Winga huyo timu yake ya Simba inapokutana na Yanga, amekuwa akiwaliza mara kwa mara watani wao hao wa jadi, tena akifunga mabao ya kiufundi mno.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.