Skip to main content

Tanzania Kuunadi utamaduni wetu katika tamasha la Mabara

WAZIRI wa Maliasili na Utalii Dk.Hamisi Kigwangala jana alishiriki
katika mkutano wa  kamati ya maandalizi ya tamasha la mabara litakalo
fanyika nchini Ufaransa Julai mwaka huu.

Hayo yalisema na wazili Kigwangala katika mkutano huo uliofanyika 
Jjini Dar es Salaam jana ambapo alisema kuwa tanzania itakuwa ni
moja wapo katika ushiriki wa tamasha hilo ambapo jumla ya nchi 54
zitashiriki kuonesha urithi wake.

WAZIRI wa Maliasili na Utalii Dk.Hamisi Kigwangala


Alisema tamasha hilo litakuwa na utamaduni  wa urithi wa asili na
kuwa kamati hiyo imehusisha nchi 7 zikiwemo Kenya ,Tanzania ,Ivery 
Coast.


Hivi karibuni Kigwangala alisema kuwa sekta ya utalii imekuwa 
mhimili muhimu katika ukuaji wa uchumi  wa Tanzania ambapo kwa 
mwaka 2017 sekta ya  utalii imechangia dola za kimarekani Bilioni
2.1 takriban asilimia 25  ya  fedha za kigeni .

"Kupitia tamasha hilo la Mabara Urithi wa Taifa la Tanzania tutaweza
kuutangaza vema mambo kama urithi wa lugha , ngoma zetu za asili
tutaweza kuvitangaza vema,"alisema Kigwangala.


Kigwangala alisema kuwa kuelekea mwezi septemba 
tayari amezindua kamati ya kitaifa ya kuandaa Mwezi 
maalumu wa maadhimisho ya Urithi wa Taifa la Tanzania
ambapo kuppitia tamasha la mabala wataweza kujifunza
mambo zaidi.

Pia  miji ya kihistoria kama vile Bagamoyo na Kilwa, 
michoro ya miambani, Kondoa na mapango ya Amboni.

Aliongeza  Tanzania ikiwa na zaidi ya makabila 120 imejaliwa kuwa 
na anuaia za mila, desturi, vyakula, misemo, imani, mavazi, 
nyimbo, ngoma za aina mbali mbali na matumizi ya lugha ya 
Kiswahili katika  kuunganisha Watazania. 

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...