Skip to main content

Tanzania Kuunadi utamaduni wetu katika tamasha la Mabara

WAZIRI wa Maliasili na Utalii Dk.Hamisi Kigwangala jana alishiriki
katika mkutano wa  kamati ya maandalizi ya tamasha la mabara litakalo
fanyika nchini Ufaransa Julai mwaka huu.

Hayo yalisema na wazili Kigwangala katika mkutano huo uliofanyika 
Jjini Dar es Salaam jana ambapo alisema kuwa tanzania itakuwa ni
moja wapo katika ushiriki wa tamasha hilo ambapo jumla ya nchi 54
zitashiriki kuonesha urithi wake.

WAZIRI wa Maliasili na Utalii Dk.Hamisi Kigwangala


Alisema tamasha hilo litakuwa na utamaduni  wa urithi wa asili na
kuwa kamati hiyo imehusisha nchi 7 zikiwemo Kenya ,Tanzania ,Ivery 
Coast.


Hivi karibuni Kigwangala alisema kuwa sekta ya utalii imekuwa 
mhimili muhimu katika ukuaji wa uchumi  wa Tanzania ambapo kwa 
mwaka 2017 sekta ya  utalii imechangia dola za kimarekani Bilioni
2.1 takriban asilimia 25  ya  fedha za kigeni .

"Kupitia tamasha hilo la Mabara Urithi wa Taifa la Tanzania tutaweza
kuutangaza vema mambo kama urithi wa lugha , ngoma zetu za asili
tutaweza kuvitangaza vema,"alisema Kigwangala.


Kigwangala alisema kuwa kuelekea mwezi septemba 
tayari amezindua kamati ya kitaifa ya kuandaa Mwezi 
maalumu wa maadhimisho ya Urithi wa Taifa la Tanzania
ambapo kuppitia tamasha la mabala wataweza kujifunza
mambo zaidi.

Pia  miji ya kihistoria kama vile Bagamoyo na Kilwa, 
michoro ya miambani, Kondoa na mapango ya Amboni.

Aliongeza  Tanzania ikiwa na zaidi ya makabila 120 imejaliwa kuwa 
na anuaia za mila, desturi, vyakula, misemo, imani, mavazi, 
nyimbo, ngoma za aina mbali mbali na matumizi ya lugha ya 
Kiswahili katika  kuunganisha Watazania. 

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.