Skip to main content

Akina mama na Vijana Manispaa ya Ubungo kupatiwa bilioni 1.9 kwaajili ya mikopo

Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Jijini Dar es Salaam
imetangaza kutoa kiasi cha shilingi bilioni 1.9 kwa ajili
mikopo kwa kinamama na vijana na walemavu kuanzia leo .




Mgeni rasmi Naibu Waziri wa Nchi ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na
serikali za mitaa TAMISEMI Joseph Kakunda aliye katikati  na upande 
wa kulia ni Meyawa Manispaa ya Ubungo Boniface Jacob, na upande wa
 kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Kisare Makori.

Hayo yamesemwa na mgeni rasmi Naibu Waziri wa Nchi ofisi ya Rais
Tawala za Mikoa na serikali za mitaa TAMISEMI Joseph Kakunda katika
uzinduzi wa mikopo hiyo viwanja vya Barafu Mburahati.
Vviongozi wa CCM Ubungo wakiongozwa na Katibu wao Lucas Magonja wakifurahia wimbo wa kulipongeza Manispaa ya Ubungo ulioimbwa na kikundi cha kwaya cha Wilaya hiyo

Alisema ameishukuru Manispaa ya Ubungo kwa kutekeleza vyema Ilani
ya CCM  kwa kutenga fedha kwa ajili ya makundi ya  Wanawake,
vijana na walemavu, na kumuagiza Katibu Mkuu wa TAMISEMI 
kuiandikia  Barua ya pongezi Manispaa hiyo kwa kutekeleza
agizo la serikali.






"Ningependa Manispaa hii kutenga maeneo kwa ajili ya wafanyabiashara
wa dogo ili kuondoa usumbufu wanao upata katika maeneo ya barabara
ambapo mara nyingi huondolewa,"alisema Kakunda.

Baadhi ya wajasiriamalimali waliofika katika maonyesho ya Biashara 
katika uwanja wa Barafu
Kakunda aliwataka  vijana kujitokeza zaidi kushiriki katika
mikopo hiyo  uzinduzi  vijana wajitokeze kuomba mikopout
kwa sababu hadi sasa idadi ya waliojitokeza kuomba mikopo
ni ndogo.



Nae kaimu Mkurugenzi wa CRDB alikuja katika hafla hii kwa
niaba ya Mkurugenzi wa CRDB ndg.Charles Kimei amesema wanayo
furaha kubwa kuona wamekuwa benki iliyochaguliwa kufanya
kazi na Manispaa ya Ubungo.

Aidha alisema kuwa  wameahidi kutoa ushirikiano na kutimiza yale yote
 waliyokubaliana katika mkataba,na wanajisikia fahari kufanya kazi na 
Manispaa hii kwani wameonyesha wako makini katika masuala mbalimbali.


Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ubungo, Mhe Boniface Jacob
alisema walisaini mkataba wa makubaliano na benki yaCRDB
ambapo mikopo hiyo itatolewa kupitia benki hiyo.


Naye Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Halmashauri ya Manispaa
imetenga asilimia 10 ya mapato yake ya ndani ya mwaka mmoja
nanusu waliyoitunza kwa uaminifu mkubwa ndio zikapatikana shilingi
1.9 Bilioni kwa ajili ya mikopo kwa kinamama na vijana.


"Uzinduzi huo ulianza sikumbili zilizopita ambapo leo ni siku ya tatu
katika viwanja hivi na jumla ya kata 14 vikundi vyote vilisha
pata semina  kuelimishwa na kuwa mradi huo upochini ya CRDB
ambao ni wadau wakubwa wa sera ya maendeleo ya viwanda,"alisema
                                                                                Kayombo




Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.