Skip to main content

Akina mama na Vijana Manispaa ya Ubungo kupatiwa bilioni 1.9 kwaajili ya mikopo

Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Jijini Dar es Salaam
imetangaza kutoa kiasi cha shilingi bilioni 1.9 kwa ajili
mikopo kwa kinamama na vijana na walemavu kuanzia leo .




Mgeni rasmi Naibu Waziri wa Nchi ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na
serikali za mitaa TAMISEMI Joseph Kakunda aliye katikati  na upande 
wa kulia ni Meyawa Manispaa ya Ubungo Boniface Jacob, na upande wa
 kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Kisare Makori.

Hayo yamesemwa na mgeni rasmi Naibu Waziri wa Nchi ofisi ya Rais
Tawala za Mikoa na serikali za mitaa TAMISEMI Joseph Kakunda katika
uzinduzi wa mikopo hiyo viwanja vya Barafu Mburahati.
Vviongozi wa CCM Ubungo wakiongozwa na Katibu wao Lucas Magonja wakifurahia wimbo wa kulipongeza Manispaa ya Ubungo ulioimbwa na kikundi cha kwaya cha Wilaya hiyo

Alisema ameishukuru Manispaa ya Ubungo kwa kutekeleza vyema Ilani
ya CCM  kwa kutenga fedha kwa ajili ya makundi ya  Wanawake,
vijana na walemavu, na kumuagiza Katibu Mkuu wa TAMISEMI 
kuiandikia  Barua ya pongezi Manispaa hiyo kwa kutekeleza
agizo la serikali.






"Ningependa Manispaa hii kutenga maeneo kwa ajili ya wafanyabiashara
wa dogo ili kuondoa usumbufu wanao upata katika maeneo ya barabara
ambapo mara nyingi huondolewa,"alisema Kakunda.

Baadhi ya wajasiriamalimali waliofika katika maonyesho ya Biashara 
katika uwanja wa Barafu
Kakunda aliwataka  vijana kujitokeza zaidi kushiriki katika
mikopo hiyo  uzinduzi  vijana wajitokeze kuomba mikopout
kwa sababu hadi sasa idadi ya waliojitokeza kuomba mikopo
ni ndogo.



Nae kaimu Mkurugenzi wa CRDB alikuja katika hafla hii kwa
niaba ya Mkurugenzi wa CRDB ndg.Charles Kimei amesema wanayo
furaha kubwa kuona wamekuwa benki iliyochaguliwa kufanya
kazi na Manispaa ya Ubungo.

Aidha alisema kuwa  wameahidi kutoa ushirikiano na kutimiza yale yote
 waliyokubaliana katika mkataba,na wanajisikia fahari kufanya kazi na 
Manispaa hii kwani wameonyesha wako makini katika masuala mbalimbali.


Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ubungo, Mhe Boniface Jacob
alisema walisaini mkataba wa makubaliano na benki yaCRDB
ambapo mikopo hiyo itatolewa kupitia benki hiyo.


Naye Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Halmashauri ya Manispaa
imetenga asilimia 10 ya mapato yake ya ndani ya mwaka mmoja
nanusu waliyoitunza kwa uaminifu mkubwa ndio zikapatikana shilingi
1.9 Bilioni kwa ajili ya mikopo kwa kinamama na vijana.


"Uzinduzi huo ulianza sikumbili zilizopita ambapo leo ni siku ya tatu
katika viwanja hivi na jumla ya kata 14 vikundi vyote vilisha
pata semina  kuelimishwa na kuwa mradi huo upochini ya CRDB
ambao ni wadau wakubwa wa sera ya maendeleo ya viwanda,"alisema
                                                                                Kayombo




Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...