Skip to main content

Mkataba mabadiliko ya tabia nchi nchi itanufaika kwa kupata fedha za kukabili athari za mabadiliko ya tabia nchi





BUNGE limeridhia makubaliano ya Paris kuhusu kuboresha utekelezaji wa mkataba wa makubaliano ya tabia nchi ambayo pamoja na masuala mengine, nchi itanufaika kwa kupata fedha za kukabili athari za mabadiliko ya tabia nchi.
Kupitia azimio la bunge la kuridhia makubaliano lililowasilishwa jana bungeni na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), January Makamba, fedha hizo kwa nchi zinazoendelea ikiwemo Tanzania, zitapatikana kupitia ufadhili wa mifuko ya mabadiliko ya tabia nchi na wadau wengine. “Nchi zilizoendelea zitatakiwa kutoa taarifa kila baada ya miaka miwili kuhusu kiwango cha fedha walizotoa au wanatarajia kutoa kama msaada kwa nchi ambazo ziko hatarini kuathirika na mabadiliko ya tabia nchi,” alisema Makamba.


Waziri Makamba alisema, kwa kuwa Tanzania inaingia kwenye uchumi wa viwanda, makubaliano hayo ya Paris yatasaidia kuchochea matumizi ya gesi asilia, upatikanaji wa teknolojia safi, kufunza wataalamu na kuendelea kuwa na vyanzo vya nishati endelevu kukabiliana na uchafuzi wa mazingira. Wakati huo huo, serikali imesisitiza taasisi za serikali ikiwemo shule, magereza na hospitali kuhakikisha wanaondokana na matumizi ya kuni na mkaa badala yake wanajikita katika nishati ya kupikia isiyo na athari kwa mazingira.
Kwa mujibu wa Waziri Makamba, taasisi zote zimepewa mwaka mmoja na kuagiza kuwa mtu yeyote anayetaka zabuni ya kupika chakula katika taasisi yoyote, ajipange kutotumia mkaa na kuni. Aidha waziri alisema upandaji miti utapewa msukumo mpya na wanatarajia kufanya sensa kubaini miti iliyopandwa. Katika hotuba ya Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani bungeni katika Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira, Ally Saleh Ally, kabla ya azimio hilo kupitishwa na wabunge, alishauri serikali kutenga fedha kutoka vyanzo vya ndani kukabili athari za mabadiliko ya tabia nchi. Kwa upande wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira, Makamu Mwenyekiti, Innocent Bashungwa alitaja faida zitakazopatikana kutokana na kuridhiwa kwa makubaliano hayo kuwa ni kuwezesha kupambana na changamoto za mabadiliko ya tabia nchi ikiwemo ukame na mafuriko.
Athari nyingine ni kuenea kwa magonjwa ya kuambukiza, kumezwa kwa visiwa vidogo kwenye bahari na maziwa, kuongezeka kwa ujazo wa maji, kuyeyuka kwa barafu katika kilele cha mlima Kilimanjaro na uharibifu wa miundombinu ya barabara na makazi kutokana na mafuriko. Licha ya kipengele cha upatikanaji wa fedha za utekelezaji, vipengele vingine muhimu vya makubaliano hayo ya Paris yaliyopitishwa katika bunge hili la 11 ni pamoja na vinavyotaka kila nchi mwanachama kutunza misitu inayonyonya gesijoto na kila nchi mwanachama kuwajibika kuandaa na kutekeleza mipango ya kuhimili mabadiliko ya tabia nchi. Vile vile umewekwa mfumo wa nchi zinazoendelea kupata teknolojia, kujengewa uwezo na uelewa katika kushughulikia mabadiliko ya tabia nchi, hali ambayo itaongeza uelewa wa jamii kuhusu hatua za kuchukua kupunguza athari.Source Habarileo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...