Skip to main content

Sophia Mjema:Azinduzi wa ujenzi wa soko la Kisutu




Picha ya Mussa Khalid
Mkuu wa Wilaya ya Ilala jijini Dar es salaam Sophia Mjema(Aliyekaa kwenye picha akiandika)
Picha ya Mussa Khalid
Baadhi ya viongozi mbalimbali wa Halmashauri waliokuwepo kwenye uzinduzi huo aliyekaa wa pili kushoto kavalia tisheti nyeupe ni Afisa Habari na Mahusiano Manispaa ya Ilala Tabu Shaibu
Picha ya Mussa Khalid
wafanyabiashara waliohudhuria kwenye uzinduzi huo
Picha ya Mussa Khalid
ramani ya soko hilo la kisutu linalotarajiwa kujengwa
Na Mussa.N.Khalid
Mkuu wa Wilaya ya Ilala jijini Dar es salaam Sophia Mjema leo amefanya uzinduzi wa ujenzi wa soko la Kisutu litakalokuwa na gorofa nne pamoja na kuwa na uwezo wa kuchukua wafanyabiashara zaid ya 1,500.

Mkuu wa Wilaya Mjema amefanya uzinduzi huo na kuzungumza na wafanyabiashara mbalimbali ambapo amewataka kuonyesha ushirikiano ikiwemo kuweza kupisha ujenzi wa soko hilo kwani mpaka sasa mkandarasi ameshapatikana na anatarajiwa kuanza kazi tar 15/4 mwaka huu.

Aidha DC Mjema amesema lengo la serikali ni kuziwezesha halmashauri kuweza kujitegemea zenyewe katika mapato yake ya ndani katika kujiendesha yenyewe ambapo ameeleza kuwa wameazimia kujenga masoko matatu makubwa likiwemo hilo la Kisutu.

Amewaambia wafanyabiashara wa kisutu kuwa soko lao litakuwa bora na la kisasa hivyo waendeleea kufanya kazi kwa bidii kwani fursa ndio hiyo wameipata.

Soko la Kisutu lilianzishwa mwaka 1964 likiwa na idadi ndogo ya wafanyabishara,kwa sasa soko hilo linajumla ya wafanyabishara 633 wa nje na ndani ambapo inajumuisha wafanyabiashara 201 ni wa kuku hai na kuchinja na wafanyabiashara wengine za nafaka,mbogamboga na matunda jumla yao ni 432.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.