Skip to main content

Sophia Mjema:Azinduzi wa ujenzi wa soko la Kisutu




Picha ya Mussa Khalid
Mkuu wa Wilaya ya Ilala jijini Dar es salaam Sophia Mjema(Aliyekaa kwenye picha akiandika)
Picha ya Mussa Khalid
Baadhi ya viongozi mbalimbali wa Halmashauri waliokuwepo kwenye uzinduzi huo aliyekaa wa pili kushoto kavalia tisheti nyeupe ni Afisa Habari na Mahusiano Manispaa ya Ilala Tabu Shaibu
Picha ya Mussa Khalid
wafanyabiashara waliohudhuria kwenye uzinduzi huo
Picha ya Mussa Khalid
ramani ya soko hilo la kisutu linalotarajiwa kujengwa
Na Mussa.N.Khalid
Mkuu wa Wilaya ya Ilala jijini Dar es salaam Sophia Mjema leo amefanya uzinduzi wa ujenzi wa soko la Kisutu litakalokuwa na gorofa nne pamoja na kuwa na uwezo wa kuchukua wafanyabiashara zaid ya 1,500.

Mkuu wa Wilaya Mjema amefanya uzinduzi huo na kuzungumza na wafanyabiashara mbalimbali ambapo amewataka kuonyesha ushirikiano ikiwemo kuweza kupisha ujenzi wa soko hilo kwani mpaka sasa mkandarasi ameshapatikana na anatarajiwa kuanza kazi tar 15/4 mwaka huu.

Aidha DC Mjema amesema lengo la serikali ni kuziwezesha halmashauri kuweza kujitegemea zenyewe katika mapato yake ya ndani katika kujiendesha yenyewe ambapo ameeleza kuwa wameazimia kujenga masoko matatu makubwa likiwemo hilo la Kisutu.

Amewaambia wafanyabiashara wa kisutu kuwa soko lao litakuwa bora na la kisasa hivyo waendeleea kufanya kazi kwa bidii kwani fursa ndio hiyo wameipata.

Soko la Kisutu lilianzishwa mwaka 1964 likiwa na idadi ndogo ya wafanyabishara,kwa sasa soko hilo linajumla ya wafanyabishara 633 wa nje na ndani ambapo inajumuisha wafanyabiashara 201 ni wa kuku hai na kuchinja na wafanyabiashara wengine za nafaka,mbogamboga na matunda jumla yao ni 432.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...