Skip to main content

Pierre Lechantre:Habari nyingine Aisee..soma alichowafanya akina Mo Ibrahim


MFARANSA wa Simba, Pierre Lechantre buana, kumbe hataki utani kabisa, kwani jana asubuhi wakati kikosi chake kikianza safari kuelekea Njombe kuwafuata Njombe Mji aliamua kufanya jambo moja ambalo mashabiki wa Simba huenda wasiamini.

Kocha huyo mapema asubuhi kabla ya safari hiyo watakayofikia kwanza Iringa kabla ya kuutafuta mji wa Njombe, alitangaza majina ya wachezaji 22 na kuwapiga chini wengine wanne waliokuwa na matumaini ya kuwepo kwenye msafara huo.
Mastaa hao wanne ambao Lechantre hakuwajumuisha ni pamoja na kiungo mkongwe, Mwinyi Kazimoto, mabeki wa pembeni, Jamali Mwambeleko na Ally Shomary, Kipa Emmanuel Mseja na kiungo mshambuliaji Mohammed Ibrahim ‘MO’ waliobaki jijini Dar.
Wachezaji hao ambao walitemwa wanaungana na waliotoka majeruhi akiwamo Haruna Niyonzima na Salum Mbonde ambao wanaendelea kukusanya nguvu kabla ya kuanza kupewa majukumu katika mechi zilizosalia za VPL.
Wachezaji wao walikuwa na matumaini ya kuambatana na timu kutokana na mazoezi makali waliyopiga mara ya mwisho juzi jioni kabla ya timu kujichimbia kambi ya muda mfupi ya Sea Scape na baadhi yao akiwamo Mwambeleko amekubali yaishe.
Mwambeleko aliyetua Msimbazi msimu huu akitokea Mbao FC, alisema hana kauli kwa kuwa maamuzi ya kocha juu ya nan i awepo kikosini ni kocha, japo alikuwa na hamu ya kuitumikia timu yake katika mechi hiyo ya ugenini itakayopigwa Jumanne.
“Kwa upande wangu nilikuwa nafanya mazoezi kwa nguvu zote ili Lechantre aweze kunifikiria, huenda hajaridhishwa na kiwango na sasa naendelea kujifua mazoezi binafsi ili wakirudi safari niweze kumridhisha mwalimu, nina hamu ya kuingia kikosini,” alisema.
“Kiukweli nimeumia, ila sina jinsi zaidi ya kupambana zaidi na kuhakikisha napata nafasi ya kucheza ingawa nafasi ambayo nacheza tupo wachezaji watatu,” alisema.
OKWI KATISHA
Katika mazoezi ya Simba ambayo walifanya kwa mara ya mwisho juzi Ijumaa jioni katika uwanja wa Boko Veterans kinara wa mabao wa Ligi Kuu Bara, Emmanuel Okwi hakuwepo kwa maelezo alikuwa kwao Uganda lakini alitua na kuwepo katika msafara.
Okwi aliwasili kambini katika Hotel ya Sea Scape usiku wa juzi na jana aliungana katika msafara na wenzake na kuondoka wote Njombe.
“Kweli hakuwepo mazoezi ya mwisho tuliofanya Dar es Salaam lakini tulishawasilina nae na aliingia kambini na tupo naye kwenye msafara, ila sijui kwanini Juuko Murshid alichelewa japo waliondoka wote kwenda kulitumikia taifa lao,” alisema mmoja wa vigogo wa Simba.
MSIKIE MRUNDI
Kocha Msaidizi wa Simba, Masudi Djuma alisema walikaa na Lechantre waliona ni vyema kufikia Iringa kwa siku moja ili wachezaji wazoee mazingira ya baridi na siku inayofuata yaani kesho waingie Njombe kwani si mbali na hapo. Lengo ni kuhakikisha tunashinda mchezo wetu muhimu.”

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.