Skip to main content

Pierre Lechantre:Habari nyingine Aisee..soma alichowafanya akina Mo Ibrahim


MFARANSA wa Simba, Pierre Lechantre buana, kumbe hataki utani kabisa, kwani jana asubuhi wakati kikosi chake kikianza safari kuelekea Njombe kuwafuata Njombe Mji aliamua kufanya jambo moja ambalo mashabiki wa Simba huenda wasiamini.

Kocha huyo mapema asubuhi kabla ya safari hiyo watakayofikia kwanza Iringa kabla ya kuutafuta mji wa Njombe, alitangaza majina ya wachezaji 22 na kuwapiga chini wengine wanne waliokuwa na matumaini ya kuwepo kwenye msafara huo.
Mastaa hao wanne ambao Lechantre hakuwajumuisha ni pamoja na kiungo mkongwe, Mwinyi Kazimoto, mabeki wa pembeni, Jamali Mwambeleko na Ally Shomary, Kipa Emmanuel Mseja na kiungo mshambuliaji Mohammed Ibrahim ‘MO’ waliobaki jijini Dar.
Wachezaji hao ambao walitemwa wanaungana na waliotoka majeruhi akiwamo Haruna Niyonzima na Salum Mbonde ambao wanaendelea kukusanya nguvu kabla ya kuanza kupewa majukumu katika mechi zilizosalia za VPL.
Wachezaji wao walikuwa na matumaini ya kuambatana na timu kutokana na mazoezi makali waliyopiga mara ya mwisho juzi jioni kabla ya timu kujichimbia kambi ya muda mfupi ya Sea Scape na baadhi yao akiwamo Mwambeleko amekubali yaishe.
Mwambeleko aliyetua Msimbazi msimu huu akitokea Mbao FC, alisema hana kauli kwa kuwa maamuzi ya kocha juu ya nan i awepo kikosini ni kocha, japo alikuwa na hamu ya kuitumikia timu yake katika mechi hiyo ya ugenini itakayopigwa Jumanne.
“Kwa upande wangu nilikuwa nafanya mazoezi kwa nguvu zote ili Lechantre aweze kunifikiria, huenda hajaridhishwa na kiwango na sasa naendelea kujifua mazoezi binafsi ili wakirudi safari niweze kumridhisha mwalimu, nina hamu ya kuingia kikosini,” alisema.
“Kiukweli nimeumia, ila sina jinsi zaidi ya kupambana zaidi na kuhakikisha napata nafasi ya kucheza ingawa nafasi ambayo nacheza tupo wachezaji watatu,” alisema.
OKWI KATISHA
Katika mazoezi ya Simba ambayo walifanya kwa mara ya mwisho juzi Ijumaa jioni katika uwanja wa Boko Veterans kinara wa mabao wa Ligi Kuu Bara, Emmanuel Okwi hakuwepo kwa maelezo alikuwa kwao Uganda lakini alitua na kuwepo katika msafara.
Okwi aliwasili kambini katika Hotel ya Sea Scape usiku wa juzi na jana aliungana katika msafara na wenzake na kuondoka wote Njombe.
“Kweli hakuwepo mazoezi ya mwisho tuliofanya Dar es Salaam lakini tulishawasilina nae na aliingia kambini na tupo naye kwenye msafara, ila sijui kwanini Juuko Murshid alichelewa japo waliondoka wote kwenda kulitumikia taifa lao,” alisema mmoja wa vigogo wa Simba.
MSIKIE MRUNDI
Kocha Msaidizi wa Simba, Masudi Djuma alisema walikaa na Lechantre waliona ni vyema kufikia Iringa kwa siku moja ili wachezaji wazoee mazingira ya baridi na siku inayofuata yaani kesho waingie Njombe kwani si mbali na hapo. Lengo ni kuhakikisha tunashinda mchezo wetu muhimu.”

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...