Skip to main content

Sitabaki Nilivyo ya Joel Lwaga kusindikiza uzinduzi wa Jimmy D psalmist Jumapili Katika Ukumbi wa King Solomon

MWIMBAJI nyota wa muziki wa injili kutoka nchini Nigeria Jimmy D psalmist tayari 
ametua nchini na Jumapili hii ya mwisho wa wiki atazindua ujio wa albamu yake mpya iitwayo
'Mighty Man of War'kwenye ukumbi wa  King Solomon uliopo  mkabala na Best Bite
restaurant Namanga Dar es Salaam.


Hayo yamesemwa Jijini hapa  na mwandaaji wa onesho hilo la Injili Rose Alphonce'
Muna Lose'  amesema kuwa mwimbaji huyo ni yupo katika kiwango cha juu katika uimbaji wa
muziki na kuwa atapanda kuimba katika siku hiyo iliyopewa jina la Mwanzo Mpya.



Amesema Jumla ya waimbaji kama Joel Lwaga anaye fanya vema na wimbo wake mpya uitwao 
Sitabaki Nilivyo atakuwa ni mmoja wa waimbaji watakao pamba jukwaa la uzinduzi huo.
"Tiketi zitaanza kuuzwa siku hiyo katika ukumbi huo wa  king solomon ambapo 
wapendwa wa muziki wa Injili watatakiwa kununua tiketi hizo mapema bila usumbufu,
kwani kuchelewa kununu kunaweza kumsababisha msongamano,"amesema Muna Lose.
Lwaga

Muna Lose amesema kuwa licha ya mwimbaji mahiri Lwaga kupangwa kusapoti kwa nguvu
onesho hilo waimbaji wengine wamuziki huo kama Poul Clement ,

Joel Lwaga

Wengine Upendo Nkone ,Ambwene
Mwasongwe pamoja na Abby Chams watapanda  kusapoti onesho hilo ambapo VIP kiingilio
kimepangwa kuwa ni Sh 20,000 huku maeneo ya kawaida yakiwa ni Sh 10,000 ambapo
onesho hilo lililo pewa kauli mbiu ya  Mwanzo Mpya limepangwa kuanza saa 9:00 
mchana.

Joel Lwaga- Sitabaki nilivyo Lyrics


Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...