Skip to main content

Sitabaki Nilivyo ya Joel Lwaga kusindikiza uzinduzi wa Jimmy D psalmist Jumapili Katika Ukumbi wa King Solomon

MWIMBAJI nyota wa muziki wa injili kutoka nchini Nigeria Jimmy D psalmist tayari 
ametua nchini na Jumapili hii ya mwisho wa wiki atazindua ujio wa albamu yake mpya iitwayo
'Mighty Man of War'kwenye ukumbi wa  King Solomon uliopo  mkabala na Best Bite
restaurant Namanga Dar es Salaam.


Hayo yamesemwa Jijini hapa  na mwandaaji wa onesho hilo la Injili Rose Alphonce'
Muna Lose'  amesema kuwa mwimbaji huyo ni yupo katika kiwango cha juu katika uimbaji wa
muziki na kuwa atapanda kuimba katika siku hiyo iliyopewa jina la Mwanzo Mpya.



Amesema Jumla ya waimbaji kama Joel Lwaga anaye fanya vema na wimbo wake mpya uitwao 
Sitabaki Nilivyo atakuwa ni mmoja wa waimbaji watakao pamba jukwaa la uzinduzi huo.
"Tiketi zitaanza kuuzwa siku hiyo katika ukumbi huo wa  king solomon ambapo 
wapendwa wa muziki wa Injili watatakiwa kununua tiketi hizo mapema bila usumbufu,
kwani kuchelewa kununu kunaweza kumsababisha msongamano,"amesema Muna Lose.
Lwaga

Muna Lose amesema kuwa licha ya mwimbaji mahiri Lwaga kupangwa kusapoti kwa nguvu
onesho hilo waimbaji wengine wamuziki huo kama Poul Clement ,

Joel Lwaga

Wengine Upendo Nkone ,Ambwene
Mwasongwe pamoja na Abby Chams watapanda  kusapoti onesho hilo ambapo VIP kiingilio
kimepangwa kuwa ni Sh 20,000 huku maeneo ya kawaida yakiwa ni Sh 10,000 ambapo
onesho hilo lililo pewa kauli mbiu ya  Mwanzo Mpya limepangwa kuanza saa 9:00 
mchana.

Joel Lwaga- Sitabaki nilivyo Lyrics


Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...