Skip to main content

Sitabaki Nilivyo ya Joel Lwaga kusindikiza uzinduzi wa Jimmy D psalmist Jumapili Katika Ukumbi wa King Solomon

MWIMBAJI nyota wa muziki wa injili kutoka nchini Nigeria Jimmy D psalmist tayari 
ametua nchini na Jumapili hii ya mwisho wa wiki atazindua ujio wa albamu yake mpya iitwayo
'Mighty Man of War'kwenye ukumbi wa  King Solomon uliopo  mkabala na Best Bite
restaurant Namanga Dar es Salaam.


Hayo yamesemwa Jijini hapa  na mwandaaji wa onesho hilo la Injili Rose Alphonce'
Muna Lose'  amesema kuwa mwimbaji huyo ni yupo katika kiwango cha juu katika uimbaji wa
muziki na kuwa atapanda kuimba katika siku hiyo iliyopewa jina la Mwanzo Mpya.



Amesema Jumla ya waimbaji kama Joel Lwaga anaye fanya vema na wimbo wake mpya uitwao 
Sitabaki Nilivyo atakuwa ni mmoja wa waimbaji watakao pamba jukwaa la uzinduzi huo.
"Tiketi zitaanza kuuzwa siku hiyo katika ukumbi huo wa  king solomon ambapo 
wapendwa wa muziki wa Injili watatakiwa kununua tiketi hizo mapema bila usumbufu,
kwani kuchelewa kununu kunaweza kumsababisha msongamano,"amesema Muna Lose.
Lwaga

Muna Lose amesema kuwa licha ya mwimbaji mahiri Lwaga kupangwa kusapoti kwa nguvu
onesho hilo waimbaji wengine wamuziki huo kama Poul Clement ,

Joel Lwaga

Wengine Upendo Nkone ,Ambwene
Mwasongwe pamoja na Abby Chams watapanda  kusapoti onesho hilo ambapo VIP kiingilio
kimepangwa kuwa ni Sh 20,000 huku maeneo ya kawaida yakiwa ni Sh 10,000 ambapo
onesho hilo lililo pewa kauli mbiu ya  Mwanzo Mpya limepangwa kuanza saa 9:00 
mchana.

Joel Lwaga- Sitabaki nilivyo Lyrics


Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.