Skip to main content

Marenga Millers waelezea Wajasiriamali ufugaji wa tija

IMEELEZWA chakula bora  kwa Nguruwe ni moja ya suala muhimu
kwenye dhana nzima ya ufugaji wa nguruwe wenye tija na faida
kwa mfugaji kwa sababu kinagharimu kama asilimia 70 ya gharama
zote za ufugaji.



Hayo yalisemwa Dar es Salaam juzi na Shanel John ambaye ni
msemaji wa kampuni ya  Marenga Animal Feeds wakati wa semina
yenyekulenga kutoa fursa kwa wadau.

Image may contain: 1 person, standing
Marenga organized a seminar on getting better profit on your layers and your broilers! Everything you need to profit your birds is included in the feed vision!


Alisema Lishe duni ni kati ya matatizo mengi yanayosababishwa
ukosefu wa tija na ufanisi duni wa uazilishaji wa nguruwe
lakini nguruwe wakipatiwa lishe bora,tija na ufanisi wa uzali
shaji utakuwa mkubwa hivyo kuongeza faida kwa mfugaji.



"kwa mkulima akiwa na mbegu bora ya nguruwe
watoto wanakuwa tayari kuachishwa kunyonya baada
ya mwezi mmoja na hivyo kumwezesha nguruwe kupata
tena joto siku ya tano baada ya kuachishwa watoto
kunyonya,"alisema John


John alisema ilikufikia hilomkulima aongeze gram 150
ya sukari kwenye chakula cha nguruwe  kwa siku 5
mfululizo baada ya kuachishwa kunyonya na pia kuhakikisha
ukuaji wa haraka wa nguruwe na hivyo kupata uzito wa zaidi
ya kilo 100 kwa kipindi cha wastani wa miezi 6.


Aliongeza kuwa chakula kinalishe bora na kamili hivyo
kuongeza faida kwa mfugaji kwa sababu nguruwe atakula
kiasi kidogo tu cha chakula na atachukua muda mfupi
kupata uzito mkubwa na kwa sababu ya ubora wa lishe
hakuna maambukizi ya magonjwa.

Katika semina hiyo vile vile ilielezwa kuwa(Creep feed)
nichakula kwa ajili ya watoto wachanga wa  nguruwe kuanzia
siku ya 14 tangu  kuzaliwa wakiwa bado wananyonya hadi siku
35 baada ya kuachishwa kunyonya.


kampuni ya  Marenga Animal Feeds ambayo inazalisha
chakula bora  cha nguruwe kiasi na namna ya kulisha,
imeeleza kuwa chakula hicho kinawasaidia watoto kuzoea
chakula kigumu,m kutosheleza  mahitaji yao,kuwaandaa
kuachishwa kunyonya wakiwa na umri wa siku 28 au mwezi
mmoja na hivyo kuwawe zesha watoto kukua kwa haraka.


Naye afisa masoko wa kampuni hiyo Maximillan Assenga
alisisitiza kuwa wao pia ni Waniwazalishaji wa chakula
bora cha kuku na kuwa wadau wa ufugaji wanunue chakula
toka kampuni hiyo na watapata faida kubwa kwa kulisha
chakula kutoka MarengaAnimalFeeds.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.