Skip to main content

Marenga Millers waelezea Wajasiriamali ufugaji wa tija

IMEELEZWA chakula bora  kwa Nguruwe ni moja ya suala muhimu
kwenye dhana nzima ya ufugaji wa nguruwe wenye tija na faida
kwa mfugaji kwa sababu kinagharimu kama asilimia 70 ya gharama
zote za ufugaji.



Hayo yalisemwa Dar es Salaam juzi na Shanel John ambaye ni
msemaji wa kampuni ya  Marenga Animal Feeds wakati wa semina
yenyekulenga kutoa fursa kwa wadau.

Image may contain: 1 person, standing
Marenga organized a seminar on getting better profit on your layers and your broilers! Everything you need to profit your birds is included in the feed vision!


Alisema Lishe duni ni kati ya matatizo mengi yanayosababishwa
ukosefu wa tija na ufanisi duni wa uazilishaji wa nguruwe
lakini nguruwe wakipatiwa lishe bora,tija na ufanisi wa uzali
shaji utakuwa mkubwa hivyo kuongeza faida kwa mfugaji.



"kwa mkulima akiwa na mbegu bora ya nguruwe
watoto wanakuwa tayari kuachishwa kunyonya baada
ya mwezi mmoja na hivyo kumwezesha nguruwe kupata
tena joto siku ya tano baada ya kuachishwa watoto
kunyonya,"alisema John


John alisema ilikufikia hilomkulima aongeze gram 150
ya sukari kwenye chakula cha nguruwe  kwa siku 5
mfululizo baada ya kuachishwa kunyonya na pia kuhakikisha
ukuaji wa haraka wa nguruwe na hivyo kupata uzito wa zaidi
ya kilo 100 kwa kipindi cha wastani wa miezi 6.


Aliongeza kuwa chakula kinalishe bora na kamili hivyo
kuongeza faida kwa mfugaji kwa sababu nguruwe atakula
kiasi kidogo tu cha chakula na atachukua muda mfupi
kupata uzito mkubwa na kwa sababu ya ubora wa lishe
hakuna maambukizi ya magonjwa.

Katika semina hiyo vile vile ilielezwa kuwa(Creep feed)
nichakula kwa ajili ya watoto wachanga wa  nguruwe kuanzia
siku ya 14 tangu  kuzaliwa wakiwa bado wananyonya hadi siku
35 baada ya kuachishwa kunyonya.


kampuni ya  Marenga Animal Feeds ambayo inazalisha
chakula bora  cha nguruwe kiasi na namna ya kulisha,
imeeleza kuwa chakula hicho kinawasaidia watoto kuzoea
chakula kigumu,m kutosheleza  mahitaji yao,kuwaandaa
kuachishwa kunyonya wakiwa na umri wa siku 28 au mwezi
mmoja na hivyo kuwawe zesha watoto kukua kwa haraka.


Naye afisa masoko wa kampuni hiyo Maximillan Assenga
alisisitiza kuwa wao pia ni Waniwazalishaji wa chakula
bora cha kuku na kuwa wadau wa ufugaji wanunue chakula
toka kampuni hiyo na watapata faida kubwa kwa kulisha
chakula kutoka MarengaAnimalFeeds.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...